Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
1. Umejaa rushwa
2. Vijana waliochaguliwa ni wa mijini ambao hata hawajawahi waza kilimo
3. Umejaa matumizi mabaya ya fedha za umma.
4. Umeletwa kwa muhemko kuliko uhalisia.
Vigezo vinavyo chochea rushwa
1. Kijana anapewa ekari 10 for free pamoja na hati, shamba linadafishwa na anaruhusiwa kukopa bank kwa kutumia hiyo hati ya ekari 10. Hivyo vijana wanacho taka ni kuwa na hiyo ekari 10 na sio kufanya kilimo.
Wazo mbadala.. Vijana walitakiwa kuja na kukodi (makato wakati wa mavuno) hayo mashamba ili kutoa fursa kwa vijana wengine pale kijana anapo shindwa kuendelea na kilimo.
2. Uchaguzi wa vijana hauna uwazi
Vijana walitakiwa kuleta mawazo yao na sio kuandika barua tuu .. wakitakiwa wafanyiwe interview na wanataaluma na wakulima wenye uzoefu pamoja na taasisi za kifedha ili kupata vijana makini na wenye malengo ya udhubutu kwenye kilimo.
3. Mafunzo miezi 4
Hii inaonyesha ni danganya toto, kwenye nchi yenye vijana zaidi ya mil 20 wanao weza kuwekeza kwenye kilimo, kuwaweka vijana 200 kwenye kambi ya miezi 4 eti wataleta mapinduzi ya kilimo ni utapele kama sio utakatishaji wa fedha.
2. Vijana waliochaguliwa ni wa mijini ambao hata hawajawahi waza kilimo
3. Umejaa matumizi mabaya ya fedha za umma.
4. Umeletwa kwa muhemko kuliko uhalisia.
Vigezo vinavyo chochea rushwa
1. Kijana anapewa ekari 10 for free pamoja na hati, shamba linadafishwa na anaruhusiwa kukopa bank kwa kutumia hiyo hati ya ekari 10. Hivyo vijana wanacho taka ni kuwa na hiyo ekari 10 na sio kufanya kilimo.
Wazo mbadala.. Vijana walitakiwa kuja na kukodi (makato wakati wa mavuno) hayo mashamba ili kutoa fursa kwa vijana wengine pale kijana anapo shindwa kuendelea na kilimo.
2. Uchaguzi wa vijana hauna uwazi
Vijana walitakiwa kuleta mawazo yao na sio kuandika barua tuu .. wakitakiwa wafanyiwe interview na wanataaluma na wakulima wenye uzoefu pamoja na taasisi za kifedha ili kupata vijana makini na wenye malengo ya udhubutu kwenye kilimo.
3. Mafunzo miezi 4
Hii inaonyesha ni danganya toto, kwenye nchi yenye vijana zaidi ya mil 20 wanao weza kuwekeza kwenye kilimo, kuwaweka vijana 200 kwenye kambi ya miezi 4 eti wataleta mapinduzi ya kilimo ni utapele kama sio utakatishaji wa fedha.