Spika wa bunge apiga marufuku wabunge kuvua nguo Bungeni

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Spika wa bunge la Tanzania Mh Tulia Aksoni amepiga marufuku wabunge kuvua nguo Bungeni akisema ni kosa kubwa na kuonya tukio kama hilo lisijirudie tena

Tulia Aksoni alikuwa akizungumzia suala la mbunge Mwita waitara kuvua koti na tai alipokuwa anaondoka Bungeni kupinga majibu aliyoyaita sio ya kuridhisha kutoka kwa waziri.

Kuvua tai,koti,mtandio,shati au kitu chochote ulichoingia umevaa bungeni ni kosa la kikanuni na adhabu yake ipo .

USSR

===

IMG_7127.jpeg


Wabunge wa Tanzania wameonywa kutovua nguo zozote wanapokuwa bungeni.

Spika Tulia Ackson alitoa onyo hilo baada ya Mbunge Mwita Waitara kuvua koti na tai wakati wa mjadala.

Alikuwa akionyesha kutoridhishwa na na majibu ya serikali - kuhusu fidia kwa wapiga kura wake walioko kwenye maeneo va uchimbai madini.

Alivua mavazi hayo huku akitoka nje ya ukumbi.

Kwa mujibu wa Spika, hakukerwa na namna ya kuondoka kwake, bali alikiuka kanuni za mavazi ya ubunge, ambayo yanahitaji uvaaji rasmi ndani ya ukumbi wa Bunge.

Alielezea kitendo chake ni kilikuwa ni "utovu wa nidhamu".

"Tabia hii hairuhusiwi ndani ya bunge na isijirudie tena," alisema Bi Ackson.

BBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa bunge la Tanzania Mh Tulia Aksoni amepiga marufuku wabunge kuvua nguo Bungeni akisema ni kosa kubwa na kuonya tukio kama hilo lisijirudie tena

Tulia Aksoni alikuwa akizungumzia suala la mbunge Mwita waitara kuvua koti na tai alipokuwa anaondoka Bungeni kupinga majibu aliyoyaita sio ya kuridhisha kutoka kwa waziri.

Kuvua tai,koti,mtandio,shati au kitu chochote ulichoingia umevaa bungeni ni kosa la kikanuni na adhabu yake ipo .

USSR View attachment 2617201

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge mwenyewe waitara? Condom
 
Yule jamaa alipiga samateka mle na suti yake ilikuwaje?
Iko siku mtu atatoa kimba hapo mezani ndo mtashaa hao walevi.
 
Spika wa bunge la Tanzania Mh Tulia Aksoni amepiga marufuku wabunge kuvua nguo Bungeni akisema ni kosa kubwa na kuonya tukio kama hilo lisijirudie tena

Tulia Aksoni alikuwa akizungumzia suala la mbunge Mwita waitara kuvua koti na tai alipokuwa anaondoka Bungeni kupinga majibu aliyoyaita sio ya kuridhisha kutoka kwa waziri.

Kuvua tai,koti,mtandio,shati au kitu chochote ulichoingia umevaa bungeni ni kosa la kikanuni na adhabu yake ipo .

USSR

===

View attachment 2617231

Wabunge wa Tanzania wameonywa kutovua nguo zozote wanapokuwa bungeni.

Spika Tulia Ackson alitoa onyo hilo baada ya Mbunge Mwita Waitara kuvua koti na tai wakati wa mjadala.

Alikuwa akionyesha kutoridhishwa na na majibu ya serikali - kuhusu fidia kwa wapiga kura wake walioko kwenye maeneo va uchimbai madini.

Alivua mavazi hayo huku akitoka nje ya ukumbi.

Kwa mujibu wa Spika, hakukerwa na namna ya kuondoka kwake, bali alikiuka kanuni za mavazi ya ubunge, ambayo yanahitaji uvaaji rasmi ndani ya ukumbi wa Bunge.

Alielezea kitendo chake ni kilikuwa ni "utovu wa nidhamu".

"Tabia hii hairuhusiwi ndani ya bunge na isijirudie tena," alisema Bi Ackson.

BBC

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mh.Spika wetu mpendwa

#SiempreJMT
 
Waitara anaathirika na kuwa covid ; aliingia bungeni kwa haramu baada ya kuhamia ccm , sasa anajua kuwa hawezi tena kurudi bungeni muhula ujao anahangaika hovyo!!
 
Kanuni inasemaje kuhusu mwanaume kulia na kutoa machozi ndani ya bunge?
 
Waitara blood pressure ilipanda moja ya huduma ya kwanza ni kuvua tai na koti na ndicho alichofanya .
 
Back
Top Bottom