Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wabunge wengi waliochangia kamati ndogo ya sheria na ajira kuna kubebana sana kwenye SECRETARIAT ya ajira. Wabunge wamesema siku hizi kuna kanda watu wake...
Kenya pamoja na kuwa na katiba mpya ila inaonekana bado kuna mambo hayakuwekwa sawa katika katiba hiyo.
Mambo kadhaa bado hayajaweza kupatiwa ufumbuzi kupitia katiba yao mpya hayo ni pamoja na...
Mbunge wa Kibamba, Jumanne Mtemvu ambaye ni wanakamati wa fedha na mipango ameelezea ufisadi wa kutisha mkopo toka shirika la fedha la kimataifa ambapo 24 % ndio zinaonekena kutumika na nyingine...
Habari wana bodi,
Kwanza nikiri kabisa kuwa tukio la kipigwa risasi kwa Tundu Lissu mie lilinishtua sana na kunisikitisha. Naamini kupigwa risasi kwa Tundu lissu kulipangwa, lakini kuamini kuwa...
Wakati Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally akieleza kumwita waziri mmoja anayemiliki ekari 1,000 za ardhi mkoani Morogoro, madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro wamewahi kumuomba Waziri wa...
Wakati Mkuu wa wilaya ya Mbeya Benno Malisa akikanusha kutoa amri ya kumweka mahabusu mwalimu aliyehisiwa kupiga picha wanafunzi wa shule ya sekondari waliokaa chini Kwa kukosa madawati akisema...
Kwanini katiba mpya inabezwa kuwa haikuletei ugali mezani,na kwanini Rais anakuwa Mungu mtu. Soma katiba ya JMT ibara hii hapa
99.-(1) Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo...
Ni Magufuli tena.
Tukio hilo la kihistoria la kushushwa kwenye maji kwa meli hiyo inayojengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini litaongozwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa...
Wadau najua hakuna kinachoshindikana kwa serikali ikitaka kujua jambo au mambo yote yanayotokea kwenye hiyo nchi, labda tu iwe haitaki. Kuna haya matukio ambayo mpaka sasa serikali haijayapatia...
Wakuu,
Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana?
Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano...
Kitendo cha Waziri wa Fedha kukiri kwamba akiba ya Taifa ya Fedha za kigeni ilichotwa na fedha kutumika kwa ujenzi wa Madarasa ni kiashiria cha dhahiri kukosekana fedha katika njia za kawaida...
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)
Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili...
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo...
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Bungeni Dodoma, kwamba kwa mara ya kwanza tangu kuzaliwa kwa CCM mbunge wa Chama hicho amesimama bungeni na kudai Katiba mpya.
Luhaga Mpina aliyeshiriki kikamilifu...
Sijui kama ameandaliwa makusudi au vinginevyo.
Ila angalau kwa sasa anaonyesha kuwa wabunge wa CCM wote yeye ndiye anaweza kumfunga paka kengele.
Anaongea yaliyofichwa na Serikali bila kuogopa.
Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa...
USHAURI WA SPIKA BUNGENI KUHUSU UDAKTARI WA HESHIMA (PhD)
Spika wa Bunge, Dr. Tulia Ackson ameshauri Taifa kufahamu utaratibu mzuri wa kutumika linapokuja suala la utoaji wa Degree za heshima kwa...
Ndugu zangu watanzania,
Siku zote watanzania walihitaji na walikuwa na kiu ya kuwa na kiongozi mkuu wa nchii na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama atakaye kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.