Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa wabunge wengi waliochangia kamati ndogo ya sheria na ajira kuna kubebana sana kwenye SECRETARIAT ya ajira. Wabunge wamesema siku hizi kuna kanda watu wake...
10 Reactions
44 Replies
4K Views
Kenya pamoja na kuwa na katiba mpya ila inaonekana bado kuna mambo hayakuwekwa sawa katika katiba hiyo. Mambo kadhaa bado hayajaweza kupatiwa ufumbuzi kupitia katiba yao mpya hayo ni pamoja na...
1 Reactions
8 Replies
852 Views
Mbunge wa Kibamba, Jumanne Mtemvu ambaye ni wanakamati wa fedha na mipango ameelezea ufisadi wa kutisha mkopo toka shirika la fedha la kimataifa ambapo 24 % ndio zinaonekena kutumika na nyingine...
25 Reactions
125 Replies
9K Views
Habari wana bodi, Kwanza nikiri kabisa kuwa tukio la kipigwa risasi kwa Tundu Lissu mie lilinishtua sana na kunisikitisha. Naamini kupigwa risasi kwa Tundu lissu kulipangwa, lakini kuamini kuwa...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Wakati Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally akieleza kumwita waziri mmoja anayemiliki ekari 1,000 za ardhi mkoani Morogoro, madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro wamewahi kumuomba Waziri wa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakati Mkuu wa wilaya ya Mbeya Benno Malisa akikanusha kutoa amri ya kumweka mahabusu mwalimu aliyehisiwa kupiga picha wanafunzi wa shule ya sekondari waliokaa chini Kwa kukosa madawati akisema...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwanini katiba mpya inabezwa kuwa haikuletei ugali mezani,na kwanini Rais anakuwa Mungu mtu. Soma katiba ya JMT ibara hii hapa 99.-(1) Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo...
1 Reactions
4 Replies
455 Views
Ni Magufuli tena. Tukio hilo la kihistoria la kushushwa kwenye maji kwa meli hiyo inayojengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini litaongozwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Wadau najua hakuna kinachoshindikana kwa serikali ikitaka kujua jambo au mambo yote yanayotokea kwenye hiyo nchi, labda tu iwe haitaki. Kuna haya matukio ambayo mpaka sasa serikali haijayapatia...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Jamaa wameruhusiwa kufanya mikutano ya kisiasa waliyokua wanalilia kila wakati, inashangaza mbona hawana hata hoja za maana? Haikuepo sababu kabisa kuwazuia wasifanye mikutano...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Kitendo cha Waziri wa Fedha kukiri kwamba akiba ya Taifa ya Fedha za kigeni ilichotwa na fedha kutumika kwa ujenzi wa Madarasa ni kiashiria cha dhahiri kukosekana fedha katika njia za kawaida...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu) Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Anayeelewa Ramani ya hii Hospital iliyogharimu bil.3 anueleweshe na partial estimation ya cost tajwa Mpangilio umekaa ki-hospital ?
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo...
9 Reactions
85 Replies
3K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Bungeni Dodoma, kwamba kwa mara ya kwanza tangu kuzaliwa kwa CCM mbunge wa Chama hicho amesimama bungeni na kudai Katiba mpya. Luhaga Mpina aliyeshiriki kikamilifu...
27 Reactions
62 Replies
4K Views
Sijui kama ameandaliwa makusudi au vinginevyo. Ila angalau kwa sasa anaonyesha kuwa wabunge wa CCM wote yeye ndiye anaweza kumfunga paka kengele. Anaongea yaliyofichwa na Serikali bila kuogopa.
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa...
4 Reactions
115 Replies
4K Views
USHAURI WA SPIKA BUNGENI KUHUSU UDAKTARI WA HESHIMA (PhD) Spika wa Bunge, Dr. Tulia Ackson ameshauri Taifa kufahamu utaratibu mzuri wa kutumika linapokuja suala la utoaji wa Degree za heshima kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania, Siku zote watanzania walihitaji na walikuwa na kiu ya kuwa na kiongozi mkuu wa nchii na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama atakaye kuwa...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom