Bei ya debe la mahindi kwa sasa ni sh. 20,000/= huku kwetu.
Ni bei kubwa kabisa kuwahi kutokea kwa takribani miongo kadhaa iliyopita.
Wakati huo, pesa hakuna. Pesa imekuwa ni ngumu sana kupata...
Kwa miaka mingi tumekuwa na demokrasia, haki na uhuru wa hadaa, na watawala badala ya kufanya yale wanayoyataka wananchi, wao wanataka wananchi wafanye yale wanayoyataka wao watawala.
Tangu mwaka...
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Bonga, Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara leo Novemba 22, 2022.
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na...
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake...
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali, akiambatana na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, ameondoka...
Mpaka sasa sijajua ni kigezo kipi kilimpa Uwaziri wa kilimo kwa sababu ni moja ya Mawaziri wa hovyo sana wanao shinda kutafuta sifa.
Bashe aliruhusu mahindi yaende sana nje, na kwa sasa cha ajabu...
Hizi Ziara za Samia zinawaacha wananchi wakiwa wamekata tamaa tu.
Kwanza anawapandisha wapiga pambio tu, wanamsifia mda wote as if wananchi alosimama nao hawana changamoto.
JPM alikuwa...
Waziri wa Kilimo mh Bashe amewahakikishia Wakulima mjini Singida kuwa hawezi kufunga mipaka kwa sababu ya Mfumuko wa Bei inayolalamikiwa hivyo wasiwe na wasiwasi
Bashe amesema Wachumi Wana njia...
Nawasalimu kwa Jina lile liyapitayo majina yote la BWANA wetu Yesu Kristo
Hakuna ushuhuda wowote umewahi kutolewa kwamba JPM aliteka au kudhulumu na huu ni Uzushi na masingizio tu kama yale ya...
Dk. Bashiru alikuwa ndio msimamizi wa sera za serikali akiwa kama Katibu Mkuu wa CCM. Wakati wake wa uongozi, kulikuwa na matukio mengi ya wananchi kutekwa na kupigwa risasi. Hakuwahi kuwasemea...
Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya...
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.
Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa...
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze...
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na...
Kuna huyu Mbunge wa Mtera sijui Kibajaji anaye act kama Msemaji wa Serikali make yeye ni kungoja tukioa then aitishe press.
Jimboni kwake kuna umasikini wa kutisha kabisa, na nazani ndio...
Matatizo ya nchi kwa kila nyanja yamekuwa makubwa mno lakini propaganda na kusifiana kiuongo uongo umekuwa ndio utamaduni wetu siku kama nchi.
Hakuna nafuu yeyote. Sio kwenye umeme au maji mijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.