Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Madaktari Bingwa kwa kutibu magonjwa ya Moyo kwa Watoto kutoka Nchini Kuwait wa Taasisi ya...
Anaandika, Almalik Mokiwa
Tangu kuigwa kwa mfumo wa vyama vingi 1992 kumekuwepo kwa uchipuaji wa vyama vya siasa tofauti tofauti vikiwa na malengo tofauti kinadharia na mfanano wa kimantiki...
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo...
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu...
Sasa hivi nchi imetulia tulii kama kama maji, hakuna mashindano, hakuna ari ya kutaka kuwa wa kwanza na kuwazidi wengine, hata washindani wa Tanzania kama Kenya wame relaxed na kupumua kwani...
===
Tofauti kabisa na minongo'no na matarajio ya wengi kuwa huenda Mhe Shaka Hamdu Shaka hakufurahishwa kwa kuondolewa kwake kwenye Chama na kuteuliwa kuwa Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kilosa...
Kwa muda sasa kumekuwa na malalamiko kuhusu wananchi kutoridhishwa na utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zinazosimamia haki Jinai nchini kuanzia kwenye ukamataji wa mtuhumiwa, upelelezi,utoaji wa...
Kamati mpya za kudumu za bunge zimewapa shavu baadhi ya wabunge wa CHADEMA kama inavyoonekana kwenye jedwali
Tunashukuru mahakama na bunge kuona umuhimu wa haki za wanawake hapa Tanzania kwani...
Sasa ni wazi kuwa katika ukanda Wa maziwa makuu Tanzania ndio nchi yenye viongozi Bora siasa safi.
Hakuna mtu anayeweza kubisha juu ya hili.nchi hii sasa inafaa kwa kuishi
Tanzania Ya...
Ndugu Mpina.
Unaupiga mwingi sana.
Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya...
Kuna watu tunahoji nini kilimshinda Anthony Mtaka mpaka akahamishiwa Njombe huko kwenye mashamba ya mbao na parachichi, kutoka katika Jiji kuu la kisiasa? . Dodoma ni mahala ambapo angeweza...
Habari zenu wana JF,
Aisee hawa CHADEMA walikuwa kimya muda mrefu ila sasa nauona moto wao najinsi walivyoshika hisia na matumaini ya watanzania.
Leo mida ya saa 4:30 hawa CHADEMA walipita na...
1. Ameshukuru Mungu kuwa yupp hai leo despite maswahibu yaliyomkumba
2. Hajalipwa stahiki zake kama Mbunge
3. Pesa ya matibabu yake hajalipwa kwa mujibu wa sheria
4. Dereva wake yupo Ubeligiji...
Ni wazi kuwa Rais wa awamu ya 6, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameondoa zuio haramu za kufanyika shughuli za kisiasa za vyama vya upinzani na hivyo kurejesha ukuaji wa kidemokrasia Kwa vyama vya...
Wahitimu waliomaliza elimu ya juu kwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kutwa wanabanwa kurudisha mikopo hiyo wakati wengi wao wanahangaika mtaani bila ajira wala shughuli za kufanya.
Wakati...
Heshima mbele wakuu,
Mimi ninaishi Dodoma eneo linaitwa Ntyuka, hivyo basi kila siku ninavyokwenda kazini ninavuka hii reli inayojengwa (mradi wa SGR). Hii inanipa fursa ya kuona maendeleo ya...
Hello Wadau hongereni Kwa kazi..
Ripoti ya hali ya ubora w maisha kutoka Benki ya Dunia inaonyesha kwamba ubora wa Maisha Kwa Kila Mtanzania umeimarika sana Kwa miaka 10 iliyopita.
Tarifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.