Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Madaktari Bingwa kwa kutibu magonjwa ya Moyo kwa Watoto kutoka Nchini Kuwait wa Taasisi ya...
0 Reactions
3 Replies
412 Views
Anaandika, Almalik Mokiwa Tangu kuigwa kwa mfumo wa vyama vingi 1992 kumekuwepo kwa uchipuaji wa vyama vya siasa tofauti tofauti vikiwa na malengo tofauti kinadharia na mfanano wa kimantiki...
0 Reactions
12 Replies
928 Views
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi. Hii ni Ford...
49 Reactions
275 Replies
27K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo...
16 Reactions
307 Replies
39K Views
Nimeanza kumfuatilia Tundu Lisu nimegundua kuwa amezeeka ni mzee WA miaka 56 na katika umri huu akiwa babu bado ana aikli za kitoto kabisa yaani mtu mzima lakini muigizaji balaa hafu...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
Sasa hivi nchi imetulia tulii kama kama maji, hakuna mashindano, hakuna ari ya kutaka kuwa wa kwanza na kuwazidi wengine, hata washindani wa Tanzania kama Kenya wame relaxed na kupumua kwani...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
=== Tofauti kabisa na minongo'no na matarajio ya wengi kuwa huenda Mhe Shaka Hamdu Shaka hakufurahishwa kwa kuondolewa kwake kwenye Chama na kuteuliwa kuwa Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kilosa...
12 Reactions
61 Replies
5K Views
Kwa muda sasa kumekuwa na malalamiko kuhusu wananchi kutoridhishwa na utekelezaji wa majukumu ya Taasisi zinazosimamia haki Jinai nchini kuanzia kwenye ukamataji wa mtuhumiwa, upelelezi,utoaji wa...
1 Reactions
0 Replies
597 Views
Kamati mpya za kudumu za bunge zimewapa shavu baadhi ya wabunge wa CHADEMA kama inavyoonekana kwenye jedwali Tunashukuru mahakama na bunge kuona umuhimu wa haki za wanawake hapa Tanzania kwani...
0 Reactions
5 Replies
619 Views
Sasa ni wazi kuwa katika ukanda Wa maziwa makuu Tanzania ndio nchi yenye viongozi Bora siasa safi. Hakuna mtu anayeweza kubisha juu ya hili.nchi hii sasa inafaa kwa kuishi Tanzania Ya...
0 Reactions
1 Replies
519 Views
Ndugu Mpina. Unaupiga mwingi sana. Kinachonifurahisha, unahoji mambo ya msingi sana, na hivyo ndivyo inavyotakiwa. Kilichonifanya niandike uzi huu ni baada ya wewe kugusia ishu ya katiba mpya...
17 Reactions
51 Replies
3K Views
Kuna watu tunahoji nini kilimshinda Anthony Mtaka mpaka akahamishiwa Njombe huko kwenye mashamba ya mbao na parachichi, kutoka katika Jiji kuu la kisiasa? . Dodoma ni mahala ambapo angeweza...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
https://theconversation.com/the-london-riots-ten-years-on-how-a-crackdown-on-protest-became-their-main-legacy-165048
1 Reactions
0 Replies
492 Views
Tanzania ni Nchi ya kwanza kuwa na kiwango kidogo cha Mfumuko wa bei ulio chini ya asilimia 5 ukilinganisha na Nchi nyingine za Afrika ya Mashariki.
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Aisee hawa CHADEMA walikuwa kimya muda mrefu ila sasa nauona moto wao najinsi walivyoshika hisia na matumaini ya watanzania. Leo mida ya saa 4:30 hawa CHADEMA walipita na...
12 Reactions
29 Replies
1K Views
1. Ameshukuru Mungu kuwa yupp hai leo despite maswahibu yaliyomkumba 2. Hajalipwa stahiki zake kama Mbunge 3. Pesa ya matibabu yake hajalipwa kwa mujibu wa sheria 4. Dereva wake yupo Ubeligiji...
54 Reactions
90 Replies
5K Views
Ni wazi kuwa Rais wa awamu ya 6, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameondoa zuio haramu za kufanyika shughuli za kisiasa za vyama vya upinzani na hivyo kurejesha ukuaji wa kidemokrasia Kwa vyama vya...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Wahitimu waliomaliza elimu ya juu kwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo kutwa wanabanwa kurudisha mikopo hiyo wakati wengi wao wanahangaika mtaani bila ajira wala shughuli za kufanya. Wakati...
1 Reactions
2 Replies
612 Views
Heshima mbele wakuu, Mimi ninaishi Dodoma eneo linaitwa Ntyuka, hivyo basi kila siku ninavyokwenda kazini ninavuka hii reli inayojengwa (mradi wa SGR). Hii inanipa fursa ya kuona maendeleo ya...
3 Reactions
5 Replies
987 Views
Hello Wadau hongereni Kwa kazi.. Ripoti ya hali ya ubora w maisha kutoka Benki ya Dunia inaonyesha kwamba ubora wa Maisha Kwa Kila Mtanzania umeimarika sana Kwa miaka 10 iliyopita. Tarifa ya...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom