Watu 20, akiwamo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, Ndirango Senge Laizer wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya kukusudia ya...
Jamani Kama kuna Mtu anajua CV ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Na Kupambana na Dawa za Kulevya Bwana Rogers William Sianga anijuze.:
Nimesikiliza Hotuba yake Leo kidogo nikaona nimugoogle...
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake...
Huo ndio mtazamo wangu ukiniuliza juu ya utawala wa HayatiMagufuli.
Kaburi kilikuwa kikubwa aliogopewa na kila kiumbe Cha Tanzania alizungumzwa sirini watu waliogopa hata kuta za nyumba zao...
Mkuu wa mkoa wa Tabora ndiye aliyeyasema maneno hayo.
Mkuu Wa Mkoa Wa Tabora Aggrey Mwanri Amesema Wao Kama Watu Wa Tabora Watamuomba Mungu Kwamba Yeye Mungu Ndio Amshukuru Rais Wetu Na Kumwambia...
Safu ya uongozi wa nchi imekaa mbele, kuna waziri mkuu, makamu wa raisi naibu Spika. Wote hawa hawajavaa barakoa na wala hawako umbali unaofikia mita mbili kutoka kwa kila moja. Hata hivyo raisi...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Kwa mara ya kwanza Jamhuri ya watu wa China imepitisha uamuzi wa kuondoa kodi (Zero-Tarrif) kwa asilimia 98 ya bidhaa zinazotoka Tanzania kuanzia Mosi Disemba 2022...
Ni wazi kuwa nchi sasahivi inajiongoza tu automatic, kila mtumishi wa serikali analamba asali kama walivyolekezwa na kiongozi wa Chama Chao tawala, wakurugenzi wanapiga, wakuu wa wilaya na mikoa...
Manji alirudisha fedha kwa niabaya "Kagoda" akidai kuwa aliyehusika ni marehemu baba yake. Serikali ikapokea fedha hizo na kuzijumlisha kwenye ile jumla ya Rais.
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd...
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine...
Mkoa wa Morogoro ulifanya uchaguzi wake wa kumpata Mwenyekiti wa Mkoa ambapo rafu mbaya akichezewa mgombea Nasoro Duduma aliyekuwa mmoja wa wagombea.
Baada ya uchaguzi huo uliyompa ushindi James...
Pamoja na malalamiko yako kuwa historia ya Tanu / CCM imekosewa mbona hawa jamaa hawa concede kama kweli?
Hiyo ya kwako mbona inakuwa kama haikubaliki...
Waziri wa Kilimo muda huu akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara mkoani Manyara amesema kuwa Wakulima matatizo yao hayaondolewi kwa kuleta vitisho bali kwa uwezo wa kushirikiana nchi yetu...
Wanafilosofia wanawajua vyema watu hawa. Yuda alikuwa ni mwanafunzi aliyependwa na yesu, msomi kiasi cha kuaminiwa kushika fedha za huduma ya Yesu.
Yuda alimsaliti Yesu na baada ya Yesu kufa yuda...
Friends and Our Enemies,
Kuna msemo wa wanazuoni unaosema kwamba chochote kinamchomfaa mamba Kwa kuliwa either kiwe kimetumbukia mtoni au kimekaa kihasara hasara kwenye kingo za mto mamba...
Kwa mfano ikitokea nikawa na Msaidizi wangu ndani ya Ikulu ambaye nilimwamini mno ila baadae akaanza Kunikosoa, Kuchukizwa na Utendaji wangu na tabia zangu za Ukatii wa Kurithi huku nikagundua...
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.
Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli...
Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania tunaelewa kazi kubwa uliyonayo.
Tunaelewa lawama unazobeba kwakua ndiye Rais wa taifa letu.
Tunaelewa kazi kubwa unayofanya ya kututafutia fedha za...
Mfalme Suleiman alipewa mtihani kwa kuletewa kesi na wanawake wawili wakigombea mtoto mmoja, mtihani ambao aliushinda kwa hekima kubwa sana. Hekima aliyoitumia kushinda mtihani huo ilifanya watu...
Vyama vya Siasa vikubwa, vilivyo na mamilioni ya Wanachama na vyenye nguvu kama CCM duniani kote vina namna yake ya kuwarekebisha Wanachama au Viongozi wanaopotoka kuhusu Kanuni, taratibu na jadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.