Lissu Amekengeuka? Chama Kinaweza Kumchukulia Hatua? Ipo hivi...

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,173
27,223
Baada ya kujificha muda mrefu hatimaye Lissu ameamua kumwaga mboga kwa kuweka wazi msimamo wake, huu msimamo haujapendwa na viongozi wenzie ndani ya chama.

Mara nyingi nilikuwa nikiwaeleza hapa Ila mlikuwa mnakataa, sasa mambo yapo hadharani.

Lissu Amekengeuka, Lissu anasema viongozi wenzake wanachekacheka kuambiwa watapewa ubunge, Lissu anaenda mbali na kuhoji kama wanatumia akili sawasawa(lugha nyepesi ni wendawazimu tu watakubali). Nitaweka video ya aliyosema ili msije kukataa kuwa hajasema hivyo

Hili ni wazi kabisa lissu amelenga kupinga na kukataa kabisa jitihada za mwenyekiti wake kuhusu maridhiano na serikali. Hapa sasa ni wazi lazima chama kikae kikao na kuchukua hatua. Nimeabiwa na mtu fulani kuwa hili jambo limewaacha mdomo wazi na bado hawajui mwenyekiti anafikiria nini kwa sasa ndio maana nao wamekaa kimya kusoma upepo.

Kama mnafatilia vizuri mtaona hakuna kiongozi wa chadema aliyepost wala kuogngelea kabisa hii hotuba ya Lissu inayopingana na maridhiano na kumnanga mwenyekiti. Wamekaa kimya, na hapo ndio uone kuwa nao ni waoga. Leo wameufyata kwa kuhofia huenda mwenyekiti akachukua hatua.

Swali kwa Lissu, Kama wewe hupendi maridhiano kwa nini.unataka kila mtu asipende? Kama wewe hutaki ubunge wa kupewa kwa nini unalazimisha na wenzie wakatae? Na kwanini umekomalia sana ubunge wa kupewa 2025? Je, hayo pekee ndio yapo kwenye maridhiano?

Lissu amekengeuka, amewageuka wenzake. Mwenyekiti na watu wake wapo kwenye majadiliano nini kifanyike. Muda utasema.

 
Baada ya kujificha muda mrefu hatimaye Lissu ameamua kumwaga mboga kwa kuweka wazi msimamo wake, huu msimamo haujapendwa na viongozi wenzie ndani ya chama.

Mara nyingi nilikuwa nikiwaeleza hapa Ila mlikuwa mnakataa, sasa mambo yapo hadharani.

Lissu Amekengeuka, Lissu anasema viongozi wenzake wanachekacheka kuambiwa watapewa ubunge, Lissu anaenda mbali na kuhoji kama wanatumia akili sawasawa(lugha nyepesi ni wendawazimu tu watakubali). Nitaweka video ya aliyosema ili msije kukataa kuwa hajasema hivyo

Hili ni wazi kabisa lissu amelenga kupinga na kukataa kabisa jitihada za mwenyekiti wake kuhusu maridhiano na serikali. Hapa sasa ni wazi lazima chama kikae kikao na kuchukua hatua. Nimeabiwa na mtu fulani kuwa hili jambo limewaacha mdomo wazi na bado hawajui mwenyekiti anafikiria nini kwa sasa ndio maana nao wamekaa kimya kusoma upepo.

Kama mnafatilia vizuri mtaona hakuna kiongozi wa chadema aliyepost wala kuogngelea kabisa hii hotuba ya Lissu inayopingana na maridhiano na kumnanga mwenyekiti. Wamekaa kimya, na hapo ndio uone kuwa nao ni waoga. Leo wameufyata kwa kuhofia huenda mwenyekiti akachukua hatua.

Swali kwa Lissu, Kama wewe hupendi maridhiano kwa nini.unataka kila mtu asipende? Kama wewe hutaki ubunge wa kupewa kwa nini unalazimisha na wenzie wakatae? Na kwanini umekomalia sana ubunge wa kupewa 2025? Je, hayo pekee ndio yapo kwenye maridhiano?

Lissu amekengeuka, amewageuka wenzake. Mwenyekiti na watu wake wapo kwenye majadiliano nini kifanyike. Muda utasema.

View attachment 2615607
Tukusaidie nini mzee wa marinda
 
Baada ya kujificha muda mrefu hatimaye Lissu ameamua kumwaga mboga kwa kuweka wazi msimamo wake, huu msimamo haujapendwa na viongozi wenzie ndani ya chama.

Mara nyingi nilikuwa nikiwaeleza hapa Ila mlikuwa mnakataa, sasa mambo yapo hadharani.

Lissu Amekengeuka, Lissu anasema viongozi wenzake wanachekacheka kuambiwa watapewa ubunge, Lissu anaenda mbali na kuhoji kama wanatumia akili sawasawa(lugha nyepesi ni wendawazimu tu watakubali). Nitaweka video ya aliyosema ili msije kukataa kuwa hajasema hivyo

Hili ni wazi kabisa lissu amelenga kupinga na kukataa kabisa jitihada za mwenyekiti wake kuhusu maridhiano na serikali. Hapa sasa ni wazi lazima chama kikae kikao na kuchukua hatua. Nimeabiwa na mtu fulani kuwa hili jambo limewaacha mdomo wazi na bado hawajui mwenyekiti anafikiria nini kwa sasa ndio maana nao wamekaa kimya kusoma upepo.

Kama mnafatilia vizuri mtaona hakuna kiongozi wa chadema aliyepost wala kuogngelea kabisa hii hotuba ya Lissu inayopingana na maridhiano na kumnanga mwenyekiti. Wamekaa kimya, na hapo ndio uone kuwa nao ni waoga. Leo wameufyata kwa kuhofia huenda mwenyekiti akachukua hatua.

Swali kwa Lissu, Kama wewe hupendi maridhiano kwa nini.unataka kila mtu asipende? Kama wewe hutaki ubunge wa kupewa kwa nini unalazimisha na wenzie wakatae? Na kwanini umekomalia sana ubunge wa kupewa 2025? Je, hayo pekee ndio yapo kwenye maridhiano?

Lissu amekengeuka, amewageuka wenzake. Mwenyekiti na watu wake wapo kwenye majadiliano nini kifanyike. Muda utasema.

View attachment 2615607
Lissu ameweka Utanzania kabla ya Chama. Katiba mpya ni bora kwa Tanzania kwa ujumla wake
 
Baada ya kujificha muda mrefu hatimaye Lissu ameamua kumwaga mboga kwa kuweka wazi msimamo wake, huu msimamo haujapendwa na viongozi wenzie ndani ya chama.

Mara nyingi nilikuwa nikiwaeleza hapa Ila mlikuwa mnakataa, sasa mambo yapo hadharani.

Lissu Amekengeuka, Lissu anasema viongozi wenzake wanachekacheka kuambiwa watapewa ubunge, Lissu anaenda mbali na kuhoji kama wanatumia akili sawasawa(lugha nyepesi ni wendawazimu tu watakubali). Nitaweka video ya aliyosema ili msije kukataa kuwa hajasema hivyo

Hili ni wazi kabisa lissu amelenga kupinga na kukataa kabisa jitihada za mwenyekiti wake kuhusu maridhiano na serikali. Hapa sasa ni wazi lazima chama kikae kikao na kuchukua hatua. Nimeabiwa na mtu fulani kuwa hili jambo limewaacha mdomo wazi na bado hawajui mwenyekiti anafikiria nini kwa sasa ndio maana nao wamekaa kimya kusoma upepo.

Kama mnafatilia vizuri mtaona hakuna kiongozi wa chadema aliyepost wala kuogngelea kabisa hii hotuba ya Lissu inayopingana na maridhiano na kumnanga mwenyekiti. Wamekaa kimya, na hapo ndio uone kuwa nao ni waoga. Leo wameufyata kwa kuhofia huenda mwenyekiti akachukua hatua.

Swali kwa Lissu, Kama wewe hupendi maridhiano kwa nini.unataka kila mtu asipende? Kama wewe hutaki ubunge wa kupewa kwa nini unalazimisha na wenzie wakatae? Na kwanini umekomalia sana ubunge wa kupewa 2025? Je, hayo pekee ndio yapo kwenye maridhiano?

Lissu amekengeuka, amewageuka wenzake. Mwenyekiti na watu wake wapo kwenye majadiliano nini kifanyike. Muda utasema.

View attachment 2615607
Hapana huyu ametumwa na Mbowe maana yale maridhiano yalikuwa ya Samia na Mbowe sio Samia na Chademu hii ndio rangi halisi ya chadema,Mbowe atulie tu

USSR
 
Mawazo tofauti ndio afya kwa chama, japo wengi hupenda yakasemwe kwenye vikao halali vya chama.

Hapa inaonekana Lissu ameonesha ameshindwa kudhibiti hisia zake kwa kiwango fulani, mpaka akaamua kutamka hayo aliyotamka.

Kwa hali hii, wale wanaosema Lissu ana mihemko naona hoja yao inapata nguvu, hapa tukubaliane kitu kimoja..

Wakati mwingine kitendo kinachoonekana cha kijasiri kwa mmoja, pia kitendo hicho hicho kinaweza kuwa sawa na kukosa uvumilivu kwa mwingine.

Vichwa vya sampuli ya Lissu vinataka hekima sana kuvi-manage, hivi visipotazamwa kwa makini vinaweza kutengeneza makundi ndani ya chama ambayo yatakuja kukisumbua chama baadae.

Japo wengi kwa sasa inaonekana hamu yao ni Mbowe kuondoka madarakani, lakini kuwepo na watu wa aina ya Lissu bado ni mtihani, kwani haijulikani lini, na wapi, atasema nini.

Hayo pia ndio mawazo tofauti kama aliyonayo Lissu kwa wenzie, sasa swali la kujiuliza, je, mtu wa aina hii anafaa kuwa kiongozi ndani ya chama kikuu cha upinzani?

Siasa ni mchezo, na huu mchezo lazima uchezwe kwa mbinu tofauti, kujizoesha mbinu moja pekee ya kutumia mabavu mbele ya wenye polisi, wakati mwingine ni sawa na kujiumiza mwenyewe.

Binafsi sikumbuki lini mabavu yamewahi kusogeza Chadema wakapata wanachotaka, kuanzia yale maandano ya Kinondoni yakaondoa uhai wa Akwilina (R.I.P) na Mbowe kukoswa koswa risasi...
 
Daah wakeleketwa wa hivi vyama viwili mnakazi sana sijui huwa nawachukuliaje,,

Wafuasi wa ccm hua siwatofautishi na wafuasi wa Mchungaji Makenzi

Wafuasi wa Chadema huwa nawafananisha na wafuasi wa mfalme Zumaridi
Kwa ccm umekosea, kwa chadema umepatia
 
Baada ya kujificha muda mrefu hatimaye Lissu ameamua kumwaga mboga kwa kuweka wazi msimamo wake, huu msimamo haujapendwa na viongozi wenzie ndani ya chama.

Mara nyingi nilikuwa nikiwaeleza hapa Ila mlikuwa mnakataa, sasa mambo yapo hadharani.

Lissu Amekengeuka, Lissu anasema viongozi wenzake wanachekacheka kuambiwa watapewa ubunge, Lissu anaenda mbali na kuhoji kama wanatumia akili sawasawa(lugha nyepesi ni wendawazimu tu watakubali). Nitaweka video ya aliyosema ili msije kukataa kuwa hajasema hivyo

Hili ni wazi kabisa lissu amelenga kupinga na kukataa kabisa jitihada za mwenyekiti wake kuhusu maridhiano na serikali. Hapa sasa ni wazi lazima chama kikae kikao na kuchukua hatua. Nimeabiwa na mtu fulani kuwa hili jambo limewaacha mdomo wazi na bado hawajui mwenyekiti anafikiria nini kwa sasa ndio maana nao wamekaa kimya kusoma upepo.

Kama mnafatilia vizuri mtaona hakuna kiongozi wa chadema aliyepost wala kuogngelea kabisa hii hotuba ya Lissu inayopingana na maridhiano na kumnanga mwenyekiti. Wamekaa kimya, na hapo ndio uone kuwa nao ni waoga. Leo wameufyata kwa kuhofia huenda mwenyekiti akachukua hatua.

Swali kwa Lissu, Kama wewe hupendi maridhiano kwa nini.unataka kila mtu asipende? Kama wewe hutaki ubunge wa kupewa kwa nini unalazimisha na wenzie wakatae? Na kwanini umekomalia sana ubunge wa kupewa 2025? Je, hayo pekee ndio yapo kwenye maridhiano?

Lissu amekengeuka, amewageuka wenzake. Mwenyekiti na watu wake wapo kwenye majadiliano nini kifanyike. Muda utasema.

View attachment 2615607
Kwamba hata Erythrocytes nae hajaripoti chochote kuhusu hii hotuba!? Basi lazima kutakuwa na namna maana jamaa ni "MFIA MBOWE" ebye hatari!
 
Mawazo tofauti ndio afya kwa chama, japo wengi hupenda yakasemwe kwenye vikao halali vya chama.

Hapa inaonekana Lissu ameonesha ameshindwa kudhibiti hisia zake kwa kiwango fulani, mpaka akaamua kutamka hayo aliyotamka.

Kwa hali hii, wale wanaosema Lissu ana mihemko naona hoja yao inapata nguvu, tukubaliane, wakati mwingine kitendo kinachoonekana cha kijasiri kwa mmoja, pia kinaweza kuwa sawa na kukosa uvumilivu kwa mwingine.

Swali la kujiuliza, je, mtu wa aina hii anafaa kuwa kiongozi ndani ya chama kikuu cha upinzani?
Contradictions

Mara useme mawazo tofauti ni afya, Mara useme inatakiwa aseme kwenye vikao vya chama.

Hebu simama tukuhesabu wewe upo kwa Lissu pangu pakavu au kwa mbowe kwenye masega ya asali?
 
majuzi alimkubali jpm,leo kaweka wazi Sasa ,anamsimamo kinzani na mbowe ,maana aliyeyakubali maridhiano ni mbowe. mpaka hapo Kuna Vita ipo hapa Kati ya hii miamba miwili.

NB.ukitaka kuwamaliza maadui ,tengeneza figisu wagombane waowao !!
Mimi nasema wacha kiwake. Atakeumia ni kina mmawia na erthrocyte
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom