Kipindi mahindi yamepanda bei kanda ya ziwa anakotokea bashe wao walinemeeka na mahindi ya serikali yaliyouzwa kwa bei punguzo,
Kagera, mara, mwanza, kigoma, tabora, shinyanga, simiyu hiyo mikoa ilimwagiwa mahindi kama mvua.
Mikoa hiyo imekaa kisiasa hasa siasa za kanda ya ziwa magharibi ambapo bashe kwa sasa ndio kingpin wa siasa za mikoa hiyo.
Bashe aeleze kwa nini apendelee kanda yake na kidogo mahindi yalipelekwa kule anapojua wapo wasukuma wenzake.
Mahindi yalipelekwa pia ifakara, chunya, katavi ambapo anajua wapo wasukuma wenzake lazima huu upendeleo ukomeshwe haraka sana,
Bashe afhibitiwe hafai maana kapendelea sana watu wa ukanda wake.
Bashe kua kwake kingpin wa siasa za mikoa hiyo isifanye wengine waathirike, adhibitiwe haraka sana.
Kagera, mara, mwanza, kigoma, tabora, shinyanga, simiyu hiyo mikoa ilimwagiwa mahindi kama mvua.
Mikoa hiyo imekaa kisiasa hasa siasa za kanda ya ziwa magharibi ambapo bashe kwa sasa ndio kingpin wa siasa za mikoa hiyo.
Bashe aeleze kwa nini apendelee kanda yake na kidogo mahindi yalipelekwa kule anapojua wapo wasukuma wenzake.
Mahindi yalipelekwa pia ifakara, chunya, katavi ambapo anajua wapo wasukuma wenzake lazima huu upendeleo ukomeshwe haraka sana,
Bashe afhibitiwe hafai maana kapendelea sana watu wa ukanda wake.
Bashe kua kwake kingpin wa siasa za mikoa hiyo isifanye wengine waathirike, adhibitiwe haraka sana.