johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,016
- 142,056
Mkuu wa mkoa wa Mara amesema Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara ni Mzushi na Muongo hajatukanwa na yoyote.
RC anasema wamekuwa Wataalamu wa Ardhi na kuweka barcon yeye Waitara kama Mbunge badala ya kuwaelimisha Wananchi yeye anawapotosha makusudi na kwa maslahi yake Binafsi.
Source: Clouds Media
RC anasema wamekuwa Wataalamu wa Ardhi na kuweka barcon yeye Waitara kama Mbunge badala ya kuwaelimisha Wananchi yeye anawapotosha makusudi na kwa maslahi yake Binafsi.
Source: Clouds Media