Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu leo amegusia suala la migogoro la ardhi amesema kuwa:
"Wakati wananchi wanavamia maeneo, wanasiasa hatuwaambii wananchi ukweli, tunawaangalia wakivamia na...
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu...
Rais Samia Suluhu amemaliza Ziara yake leo mkoani Manyara kwa kukagua Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Baada ya ukaguzi huo alikutana na kuzungumza na wananchi. Kabla ya Rais Samia...
Inasikitisha, Inahuzunisha ila uhalisia unabaki hivyo.
Nchi ya Tanzania kama yalivyo mataifa mengine Duniani inatamaduni zake na mifumo yake ya kiutawala! Democracy ndio mfumo unaotumika ktk...
Dr. Bashiru anauliza, tabia yenu na mienendo yenu wakati wa Uchaguzi ikoje? Chama mnachokichagua mnakijua?
Mnaye mchagua mnamjua? Tusichague Mtu kwasababu ametupa Ubwabwa, kofia, Kanga, pesa...
Hivi punde pale Kondoa Rais Samia akiwa njiani kuelekea Babati alimuita Waziri wa Kilimo ndugu Bashe na kwa msisitizo akamtaka aongelee kwa kina mambo matatu yahusuyo Sekta ya Kilimo ambayo ni...
Kumekuwa na fukuto kubwa baina ya wanachama wa chama Cha Mapinduzi CCM wakimjia juu aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally.
Wanachama hao wanamlaumu Bashiru kwa uchochezi na...
Vikao vya ngazi ya Taifa vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) vimeanza jijini Dodoma huku miongoni mwa kazi zitakazofanyika ni kupokea mapendekezo, kujadili, kupitisha na kufanya uteuzi wa mwisho wa...
Moja, wakulima ni kundi kubwa sana. Yeyote anayeeleweka kwa wakulima anakuwa amejiweka kwenye nafasi nzuri sana kisiasa.
Mbili, kazi ya kusemea kero za wananchi si ya wakati wa kampeni tu. Ni...
Ama kweli mkuki uusafishao kila siku ndiwo wenye kuweza kukujeruhi hapo siku za mbele.
Kenani Kihongosi ni jina lililopendekezwa na Polepole kwa Bashiru ili lipelekwe Ikulu kwa Mamlaka za juu ili...
Watu 20, akiwamo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, Ndirango Senge Laizer wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya kukusudia ya...
Jamani Kama kuna Mtu anajua CV ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Na Kupambana na Dawa za Kulevya Bwana Rogers William Sianga anijuze.:
Nimesikiliza Hotuba yake Leo kidogo nikaona nimugoogle...
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake...
Huo ndio mtazamo wangu ukiniuliza juu ya utawala wa HayatiMagufuli.
Kaburi kilikuwa kikubwa aliogopewa na kila kiumbe Cha Tanzania alizungumzwa sirini watu waliogopa hata kuta za nyumba zao...
Mkuu wa mkoa wa Tabora ndiye aliyeyasema maneno hayo.
Mkuu Wa Mkoa Wa Tabora Aggrey Mwanri Amesema Wao Kama Watu Wa Tabora Watamuomba Mungu Kwamba Yeye Mungu Ndio Amshukuru Rais Wetu Na Kumwambia...
Safu ya uongozi wa nchi imekaa mbele, kuna waziri mkuu, makamu wa raisi naibu Spika. Wote hawa hawajavaa barakoa na wala hawako umbali unaofikia mita mbili kutoka kwa kila moja. Hata hivyo raisi...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Kwa mara ya kwanza Jamhuri ya watu wa China imepitisha uamuzi wa kuondoa kodi (Zero-Tarrif) kwa asilimia 98 ya bidhaa zinazotoka Tanzania kuanzia Mosi Disemba 2022...
Ni wazi kuwa nchi sasahivi inajiongoza tu automatic, kila mtumishi wa serikali analamba asali kama walivyolekezwa na kiongozi wa Chama Chao tawala, wakurugenzi wanapiga, wakuu wa wilaya na mikoa...
Manji alirudisha fedha kwa niabaya "Kagoda" akidai kuwa aliyehusika ni marehemu baba yake. Serikali ikapokea fedha hizo na kuzijumlisha kwenye ile jumla ya Rais.
Soma pia Kagoda Agriculture Ltd...
Wananodi,
Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii,
CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.