Hongera babu tale kupata PhD na usishindwe kumshukuru aliyekuweka hapo leo hupo bungeni unipiga makofi ukisikia awamu ya tano iliyopita ilikuwa na maovu.
Jambo lilonileta hapa ni kukuambia ukweli...
Luhaga mpina alisimamia sheria ya Bunge. Sheria zipo wazi kabisa pamoja na kanuni zake. Sasa kama hairuhusiwi kuvua kwa nyavu haramu kwa nini waziri asisimamie sheria?
Ila wewe umejitoa fahamu...
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.
Kuweka...
Mvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto, aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe. Mambo ya hovyo sana haya, hakukuwa na upembuzi yakinifu.
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es Salaam Campus kisa chuo...
Habari wakuu,
Ni mdahalo kwa wagombea Urais kuelekea uchaguzi mkuu 2015. Mdahalo huu unawapa fursa wagombea Urais kuweka wazi ajenda zao kwa nchi yetu ili wananchi wazipime.
Leo Jumapili Oktoba...
Maeneo mengine Yote ya kiutendaji na usimamizi wa nidhamu Kwenye Sekta zote Shujaa Magufuli alifanya vizuri sana
Ila Kwenye eneo la kulazimisha Wenyeviti wa serikali za Mitaa nchi nzima watoke...
Unaombwa kutoa maoni ili kuboresha haki jinai kulingana na kipeperushi hapo chini.
=====
Serikali yawakaribisha wananchi na wadau mbalimbali kutoa maoni na mapendekezo kuhusu jinsi ya kuboresha...
Katika pitapita yangu nikaangukia kwa bahati mbaya TBC1 kwenye Television. Eeh Mungu, maajabu niliyoona ni kwa TBC1 kuonyesha coverage ya ujio wa Tundu Lissu kwa bashasha na uhalisia na...
THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MKUTANO WA HADHARA KESHO MAGOMENI KANISANI:
Mwenyekiti wa CUF-Chama Cha Wananchi Prof. Ibrahim Lipumba kesho Jumamosi...
Zanzibar wamestuka
Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikitangaza zuio la uuzaji nje ya nchi bidhaa ya sukari na mchele, Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kimeitaka itoe maelezo ya...
Sakata la Mwanahabari Luqman Maloto ambaye amefungua kesi ya jinai No. 5/2023 dhidi ya DCI na DPP katika Mahakama Kuu, Dar es Salaam limeendelea leo Februari 9, 2023 ambapo imefikishwa Mahakamani...
Kiukweli CCM ifuatilie na kujifunza kwa karibu yanayovikuta Vyama vikongwe vya ANC na Zanu PF
Watu wa masoko kuna Kitu wanaita Product Life Cycle PLC ni muhimu kuijua Hiyo
Au nasema Uwongo...
Ni mbunge shupavu asiye hitaji hata sekunde ya kumpamba kiongozi.
Huyu bwana mdogo wa "uvccm" ya kwa mzee wetu Madiba hana chembe ya uchawa kwa walio madarakani.
Angekuwa ndani ya bunge letu...
Nilikuwa nafuatilia vyuo vinavyotambuliwa na PhD za heshima walizotoa. Ukiangalia vizuri zimejaa wanaharakati, wachezaji wa michezo mbali mbali na wasanii. Sasa huyu spika kupoteza muda na...
Habari wana JF.
Baada ya Kifo cha Mchungaji Mtikila, ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha Democratic Party (DP), chama hiko kimepata pengo kubwa sana.
Mtikila alikuwa ndio kila kitu ndani...
Baada ya Ben Mkapa hakutokea tena Rais ambaye alikuwa na akili katika hotuba.
Mkapa alikuwa kichwa, alikuwa na akili bahati mbaya tu alikuwa chama ambacho hakitaki watu wenye akili kuwa nazo au...
Kwenye kukopa unaangalia tija ya Mkopo siku zote kwa mtu makini riba inalipika
Sasa kama umekopa kibiashara au kwa riba nafuu ama kwa Islamic banking unaangalia Tija ya Mkopo kama marejesho...
Hello Tanzania, how are going?
Wafahamu Askari Miamvuli4 wa Amiri Jeshi Mkuu, Rais DK.Samia Wasioyumbishwa Wala kutolewa kwenye reli Ili wa loose focus ya Msimamo thabiti wa kile Wanachokiamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.