UCHAGUZI TLS 2023: Kwanini ni wakati wa Sungusia

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
TLS.jpeg
Kwa heshma na taadhima naomba kura kwa Harold Sungusia. Ni wakati wa TLS kutoka kwenye mkwamo na kurudi kutumikia wanachama.

Sungusia ni nani?
Mbali na uzoefu wake wa zaidi ya miaka 20 kwenye uwakili na kufanya kazi na mashirika mengi ya ndani na kimataifa, Sungusia ni mtu mwenye uzoefu mkubwa kwenye kuendesha taasisi za kijamii ambazo hazitegemei bajeti ya serikali.

Sungusia ni mentor wa mawakili wengi sana na si mchoyo wa kugawa karama zake kwa wengine. Sungusia ni mwaminifu na mnyenyekevu. Sungusia ni mtu mwenye maono na ndiye aliyetoa wazo na kusaudiakutengebeza Strategic Plan ya TLS kwa Mara ya kwanza ambayo bahati mbaya hadi Sasa uongozi umeshindwa kuendelea kureview ili kuendana na mazingira halisi ya Sasa.

Sungusia ni mkufunzi mbobevu katika mambo ya uwajibikaji, utawala bora na kadhalika.

Kwanini Sungusia sasa na siyo kesho?
Ni wakati wa TLS kuacha ubosi na kuwa mtumishi wa mawakili ambao ndio mabosi wake. Ni wakati wa TLS kuwapunguzia mizigo isiyo ya lazima wanachama wake ikiwa ni pamoja na ada za EALS ambazo ni chakula cha watu fulani.

Ni wakati wa TLS kurusidusha mafunzo ya kila mwaka kwa mawakili wachanga ambapo kila mwaka mawakili 50 wslipelekwa kwenye mafunzo kueawezesha jinsi ya kuendesha law firm lakini tangu uongozi wa sasa uingie mafunzo hayapo tena.

Ni wakati wa TLS kuendesha miradi mingi ambayo itanufaisha mawakili pia ambapo toka uongozi huu uingie hakuna donor funded project kabisa.

Ni wakati wa TLS kuhakikisha inawapa ywakilishi wa kisheria mawakili wanaofikishwa Kamati ya Maadili jambo ambalo liliishia awamu ya nyuma.

Ni wakati wa TLS kusimamia nashauri ya maslahi ya umma kwa kutumia funds mbalimbali ili kunufaisha jamii lakini pia mawakili kupata fursa.

Ni wakati wa TLS kuanzisha utaratibu kabambe wa kuboresha mazingira ya practice.

Ni wakati wa TLS kufanya exchange program za mawakili hasa wachanga kwenda nchi nyingine kujifunza kama ilivyowahi fanyika huko nyuma na mawakili walipelekwa China.

Ni wakati wa TLS kuweka utaratibu na miongozo ya uanzishwaji na uendeshashi wa law firm.

Hayo yote yanawezekana kwa kupata kiongozi thabiti na mwenye maono sahihi.

Furahia kazi ya Uwakili chagua Sungusia mtu wa kuaminika.
 
View attachment 2580562Kwa heshma na taadhima naomba Kura kwa HAROLD SUNGUSIA.
Ni wakati wa TLS Kutoka kwenye mkwamo na kurudi kutumikia wanachama.

SUNGUSIA ni Nani
Mbali na uzoefu wake wa zaidi ya miaka 20 kwenye uwakili na kufanya kazi na mashirika mengi ya ndani na kimataifa, Sungusia ni mtu mwenye uzoefu mkubwa kwenye kuendesha taasisi za kijamii ambazo hazitegemei bajeti ya serikali.

Sungusia ni mentor wa MAWAKILI wengi Sana na si mchoyo wa kugawa karama zake kwa wengune.

SUNGUSIA ni mwaminifu na mnyenyekevu. Sungusia ni mtu mwenye maono na ndiye aliyetoa wazo na kusaudiakutengebeza Strategic Plan ya TLS kwa Mara ya kwanza ambayo bahati mbaya hadi Sasa uongozi umeshindwa kuendelea kureview ili kuendana na mazingira halisi ya Sasa.

Sungusia ni mkufunzi mbobevu katika Mambo ya uwajibikaji, utawala bora nk.

Kwa Nini Sungusia *Sasa*na siyo kesho

Ni wakati wa TLS kuacha ubosi na kuwa mtumishi wa mawakili ambao ndio mabosi wake. Ni wakati wa TLS kuwapunguzia mizigo isiyo ya lazima wanachama wake ikiwa ni pamoja na ada za EALS ambazo ni chakula Cha watu fulani.
Ni wakati wa TLS kurusldusha mafunzo ya kila Mwaka kwa mawakili wachanga ambapo kila Mwaka mawakili 50 wslipelekwa kwenye mafunzo kueawezesha jinsi ya kuendesha law firm lakini tangu uongozi wa Sasa uingie mafunzo hayapo Tena.

Ni wakati wa TLS kuendesha miradi mingi ambayo itanufaisha mawakili pia ambapo toka uongozi huu uingie Hakuna donor funded project kabisa.

Ni wakati wa TLS kuhakikisha inawapa ywakilishi wa kisheria mawakili wanaofikishwa Kamati ya maadili Jambo ambalo liliishia awamu ya nyuma.

Ni wakati wa TLS kusimamia nashauri ya maslahi ya umma kwa kutumia funds mbalimbali ili kunufaisha jamii lakini pia mawakili kupata fursa.

Ni wakati wa TLS kuanzisha utaratibu kabambe wa kuboresha mazingira ya practice.

Ni wakati wa TLS kufanya exchange program za mawakili hasa wachanga kwenda nchi nyingine kujifunza Kama ilivyowahi fanyika huko nyuma na mawakili walipelekwa China.

Ni wakati wa TLS kuweka utaratibu na miongozo ya uanzishwaji na uendeshashi wa Law firm.

Hayo yote yanawezekana kwa kupata kiongozi thabiti na mwenye maono sahihi.

Furahia kazi ya UWAKILI chagua SUNGUSIA mtu wa kuaminika.
Ukifika kwenye mahakama kuna mawakili vishoka kama wapiga debe wa stand ya Magufuli kule ,hii taaluma ni laana

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifika kwenye mahakama kuna mawakili vishoka kama wapiga debe wa stand ya Magufuli kule ,hii taaluma ni laana

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
OMG, what ashame, na wengine inasemekana wamefungua ofisi zao ndani ya steshenari za jirani na mahakama.

haya yote Sungusia atashughulikia kwa kuwapa elimu lakini kuwakopesha fedha zao ili wawe na ofisi zenye hadhi zao.
 
View attachment 2580562Kwa heshma na taadhima naomba kura kwa Harold Sungusia. Ni wakati wa TLS kutoka kwenye mkwamo na kurudi kutumikia wanachama.

Sungusia ni nani?
Mbali na uzoefu wake wa zaidi ya miaka 20 kwenye uwakili na kufanya kazi na mashirika mengi ya ndani na kimataifa, Sungusia ni mtu mwenye uzoefu mkubwa kwenye kuendesha taasisi za kijamii ambazo hazitegemei bajeti ya serikali.

Sungusia ni mentor wa mawakili wengi sana na si mchoyo wa kugawa karama zake kwa wengine. Sungusia ni mwaminifu na mnyenyekevu. Sungusia ni mtu mwenye maono na ndiye aliyetoa wazo na kusaudiakutengebeza Strategic Plan ya TLS kwa Mara ya kwanza ambayo bahati mbaya hadi Sasa uongozi umeshindwa kuendelea kureview ili kuendana na mazingira halisi ya Sasa.

Sungusia ni mkufunzi mbobevu katika mambo ya uwajibikaji, utawala bora nk.

Kwanini Sungusia sasa na siyo kesho?
Ni wakati wa TLS kuacha ubosi na kuwa mtumishi wa mawakili ambao ndio mabosi wake. Ni wakati wa TLS kuwapunguzia mizigo isiyo ya lazima wanachama wake ikiwa ni pamoja na ada za EALS ambazo ni chakula cha watu fulani.

Ni wakati wa TLS kurusidusha mafunzo ya kila mwaka kwa mawakili wachanga ambapo kila mwaka mawakili 50 wslipelekwa kwenye mafunzo kueawezesha jinsi ya kuendesha law firm lakini tangu uongozi wa sasa uingie mafunzo hayapo tena.

Ni wakati wa TLS kuendesha miradi mingi ambayo itanufaisha mawakili pia ambapo toka uongozi huu uingie hakuna donor funded project kabisa.

Ni wakati wa TLS kuhakikisha inawapa ywakilishi wa kisheria mawakili wanaofikishwa Kamati ya Maadili jambo ambalo liliishia awamu ya nyuma.

Ni wakati wa TLS kusimamia nashauri ya maslahi ya umma kwa kutumia funds mbalimbali ili kunufaisha jamii lakini pia mawakili kupata fursa.

Ni wakati wa TLS kuanzisha utaratibu kabambe wa kuboresha mazingira ya practice.

Ni wakati wa TLS kufanya exchange program za mawakili hasa wachanga kwenda nchi nyingine kujifunza kama ilivyowahi fanyika huko nyuma na mawakili walipelekwa China.

Ni wakati wa TLS kuweka utaratibu na miongozo ya uanzishwaji na uendeshashi wa law firm.

Hayo yote yanawezekana kwa kupata kiongozi thabiti na mwenye maono sahihi.

Furahia kazi ya Uwakili chagua Sungusia mtu wa kuaminika.
Huu uchaguzi 2023 wapiga kura wengi hawapigi kura chaguo la watu ni gumu, mtu atoke Kyela au Masasi au Nkasi aje kupiga kura Arusha.
I think its the most expensive election to exercise voter's right in the world, some have to travel a thousand kilometers to exercise their voting right, Kiongozi anachaguliwa na minority of the minority, ngumu kupata chaguo la mawakili. Mwakani utaratibu ubadilishwe ni wa ajabu sana.
Mbinu hii imewekwa na hawa ma seniour kuzuia mawakili wapya vijana wasipige kura, hakuna kura ya uwakilishi[proxy]
 
Mgombea umakamu TLS wakili Aisha Sinda - TLS imekosa viongozi walio majasiri na wenye ushawishi ...

1683016023379.png
 
01 May 2023

MUBASHASHARA / LIVE : MAWAKILI AMBAO NI PONTETIAL WAPIGA KURA KUWA WACHACHE WALIOJITOKEZA UKUMBINI, KULIKONI ? JE HADHI YA TLS NDIYO SABABU? IKIFIKA TAREHE 12 MAY 2023 WATAJITOKEZA KWA WINGI




Wagombea uongozi wa Urais TLS, Umakamu wachuana vikali live wakinadi sera zao, huku ukumbi ukiwa tupu, wagombea watoa sababu za kutokuwepo wapiga kura wengi ukumbini kwa kina kilichosibu chama cha mawakili ... wapiga kura wakereka na uchaguzi wa kila mwaka wa viongozi wa TLS baadhi waomba utaratibu huo ubadilike ... walidhani rais anayemaliza muda wake profesa .. angeweza kushawishi mabadiliko ..

Lugha ya Kiingereza na viongozi wa TLS ili kuweza kuwa na ubora katika kutoa huduma na pia ushawishi ndani ya nchi, kikanda na kimataifa ..
 
Wakili Emmanuel Augustino - AGM madaraka yake yasipokwe mfano fee ya uanachama EALS ulifanyika bila ridhaa ya wanachama wa TLS .. society hii lazima irude to its glory days ...

1683016239080.png
 
Wakili Emmanuel Augustino - AGM madaraka yake yasipokwe mfano fee ya uanachama EALS ulifanyika bila ridhaa ya wanachama wa TLS .. society hii lazima irude to its glory days ...

View attachment 2607024
Huyu anafaa ila mawakili vijana wanamalamikia sana, huwa ana jipozisheni kama vile very seniour kumbe ndio kwanza ana miaka 9 kwenye fani, dharau na kujiona kama mwananchiu namba moja, haya ni malalamiko toka kwa mawakili vijana.
 
01 May 2023

MUBASHASHARA / LIVE : MAWAKILI AMBAO NI PONTETIAL WAPIGA KURA KUWA WACHACHE WALIOJITOKEZA UKUMBINI, KULIKONI ? JE HADHI YA TLS NDIYO SABABU? IKIFIKA TAREHE 12 MAY 2023 WATAJITOKEZA KWA WINGI




Wagombea uongozi wa Urais TLS, Umakamu wachuana vikali live wakinadi sera zao, huku ukumbi ukiwa tupu, wagombea watoa sababu za kutokuwepo wapiga kura wengi ukumbini kwa kina kilichosibu chama cha mawakili ... wapiga kura wakereka na uchaguzi wa kila mwaka wa viongozi wa TLS baadhi waomba utaratibu huo ubadilike ... walidhani rais anayemaliza muda wake profesa .. angeweza kushawishi mabadiliko ..

Lugha ya Kiingereza na viongozi wa TLS ili kuweza kuwa na ubora katika kutoa huduma na pia ushawishi ndani ya nchi, kikanda na kimataifa ..

sungusia amefuni mbaya kabisa, na Huyu Emmanuel.
 
Kuna dalili kama vile TLS wanataka kujinasua kutoka mikono ya dola ambayo awamu ya tano walifanya jitihada kubwa kuzima mawazo ya wanachama wa TLS kuwa kiwe chama cha wanataaluma huru kujiamulia mambo yao na hata ikibidi kuipa ushauri dola na mihimili mingine ya dola pale inapokengeuka kimaamuzi kwa mihimili hiyo ya dola kutozingatia katiba ya nchi na haki zinazoendana kama zilivyotamkwa ndani ya katiba ya nchi.
 

06 MAY 2023

ARUSHA, TANZANIA

UCHAGUZI TLS 2023

Welcome to Tanganyika Law Society

The Tanganyika Law Society (TLS) is the Bar association of Tanzania Mainland, founded in 1954 by an Act of Parliament – the Tanganyika Law Society Ordinance 1954. The Tanganyika Law Society is currently governed by the Tanganyika Law Society Act, Cap 307 R.E. 2002
 
Back
Top Bottom