Hatimaye fursa imekuja mlangoni kabisa mwa makazi ya Ufipa. Huyu katibu mkuu wa zamani atawafaa sana Ufipa kuwa mgombea wao wa urais endapo atajitoa au kufukuzwa CCM kufuatia hili sakata lake...
Ripoti ya ajali ya ndege ya awali imetoka. Yale yote yaliyokuwa yanapigiwa mapambio hakuna hata moja.
Sio Majaliwa au kuvunja mlango kwa kutumia kasia kama alivyo kueleza msaidizi wako mkuu...
Naam!
Huo ndio Ukweli,mmeuweka Ubunge wenu Rehani!
Wenyewe mmeshuhudia kilichotokea baada ya kujitokeza na kuleta Porojo za kimkashifu Dkt Bashiru!
Kisa tu,amesema Ukweli wake,kwamba ma-Chawa...
Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama...
'Tanzania, kutoka kuwa ndovu kuja kuwa kunguni'.
Hakika Tanzania katika ushawishi wa kidiplomasia Afrika, duniani, imekuwa si chochote. Jana, mkataba muhimu wa amani baina ya Ethiopia na...
Kwenye video Hayati Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao.
Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
Nipo naangalia kipindi cha clouds 360 na namsikia mmoja wa watangazaji wake ndugu Ngoma akidai kwamba amewasiliana na TRA kuhusu yale magari yaliyoibuliwa jana na PM.
Ngoma anasema kwa mujibu wa...
Kaka yangu Freeman Mbowe Pole na hongera kwa kuachiwa huru kwa amri ya amiri jeshi mkuu wa majeshi yote Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Karibu tena uraiani,Sisi Watanzania kwa sasa ni wamoja...
Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha, nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala...
Kabla ya kuropoka mbele ya media tupime kwanza athari za tamko husika.
Wabunge wanaoteuliwa na Rais ndio wenye Heshima ya Juu kabisa kwa sababu anayewateua amepigiwa kura na makundi yote ya...
Sis wakazi wa Dar bila umeme ni sawa na kutupwa jehenam ukiwa hai. Yaani kwa sasa hatulali usiku maana kuna joto balaa.
Ukiweka kitu kwenye fridge kinaoza maana umeme umekuwa wa mgao na hawa...
Habari za asubuhi
Nakupa ushauri wa mapema kabisa nimeona wakijitokeza wengi wanaojifanya "machawa" kuwa nao makini sana usije ukachukua maamuzi ya kubomoa badala ya kujenga.
Zile siasa za...
Hiki ndiyo kilichokuwa kikitokea kwenye uchaguzi wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Simiyu ambao ulifanyika Alhamis ya wiki iliyopita, Novemba 17, 2022
Huu anayeonekana...
Kamati ya Dkt. Harisson Mwakyembe iliyokuwa ikitafuta chanzo cha kufeli wanafunzi wengi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST) imeshauri kuundwa upya kozi za Sheria ikiwemo...
Awamu ya baba wa taifa na ile ya mzee ruhusa hakukuwa na changamoto la katika katika kwa umeme maeneo ambayo huduma hii ilikuwa imeyafikia. Ni kweli kwamba maeneo hayo yalikuwa hasa kwenye miji...
Wagalatia tunaamini katika msamaha
Na msamaha wa dhambi zetu tuliupata msalabani pale Calvary
Na ili kuepusha shari huwa Tunaomba msamaha
Je, alhaj Bashiru atayafuata mafundisho ya nabii Issa?
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la...
Mkurugenzi wa Tanesco Ndugu Maharage Chande akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania , amesema kwamba Matatizo yote ya umeme yatamalizika rasmi mwezi Novemba 2025 .
Na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.