johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,005
- 142,040
Kufuatia sintofahamu ya mipaka huko Tarime Vijijini Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji zaidi ya 15 Wamejiuzulu.
Kujiuzulu kwao kumefuatia kutoridhika na maelezo yaliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Angellah Kairuki.
Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara alisema yeye alishatimiza wajibu wake hivyo Wananchi waamue wenyewe.
Source: Star TV
Kujiuzulu kwao kumefuatia kutoridhika na maelezo yaliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Angellah Kairuki.
Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara alisema yeye alishatimiza wajibu wake hivyo Wananchi waamue wenyewe.
Source: Star TV