Lissu anafanya ziara binafsi au ya Chama?

Lissu anafanya ziara binafsi au ya Chama?

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
817
Reaction score
2,091
Inavyoonekana ziara za Tundu Lissu mikoani zimekuwa kama zile Kampeni zake za 2020. Hakuna machinary ya Chama inayoambatana nae. Sio CHADEMA media wala uongozi wa Chama.

Je Lissu anaanza kupitia kikaango cha Makamu Wenyeviti wenzie waliomtangulia akina Wangwe, Arfi na Prof Safari? Hawa wote walikuwa wananyimwa rasilimali za kufanya ziara mikoani. Naona ndio kinachomkuta Lissu sasa
 
Ngoja awavunje vunje alafu ahamie ACT .


Lissu hakubaliani na maridhiano ya Mbowe yanayotaka Wasiweke mgombea 2025

Kaeni Kwa kutulia
 
Lissu ni mtundu, na namna ya ku deal na mtoto mtundu mzazi/mlezi anatakiwa kuwa brave.
 
Lisu akionaga uchaguzi wa ndani unakaribia tu basi na yeye huanza pilika pilika za kujifanya yeye ni bora kuliko mwenye chama. Yabi kupata uungwaji mkono kutoka kwa yule chawa wao wa hapa JF anaetutangazia kuhusu mikutano yake huko Morogoro na kwengineko, kuna mfanya aone kwamba sasa sikio linaweza kuzidi kichwa.

Lisu atambue kwamba yeye ni kijana mdogo sana kwa Mbowe, iwe kisiasa, kimaneno au kiushawishi chamani. So akae tu kwa kutulia otherwise muda sio mrefu atakuja tena kukimbia nchi bila viatu. Afu aje asingizie kuwa watu wasiojulikana walikuwa wanataka wamuue.
 
Lissu ni mtundu, na namna ya ku deal na mtoto mtundu mzazi/mlezi anatakiwa kuwa brave.
Lisu na utundu wake hana ujanja wa kumshikia akili mtoto wa mjini ambae ndio mwenyekiti wa chama.

Hapo ni mawili 👇
1) apige kelele akichoka arudi ubelgiji

2) ahame au aanzishe chama chake ambacho atakuwa na uwezo wa kusema na kusikilizwa na yeyote chamani kama mwenzake ayatollah wa ACT Wazalendo.
 
Inavyoonekana ziara za Tundu Lissu mikoani zimekuwa kama zile Kampeni zake za 2020. Hakuna machinary ya Chama inayoambatana nae. Sio CHADEMA media wala uongozi wa Chama.

Je Lissu anaanza kupitia kikaango cha Makamu Wenyeviti wenzie waliomtangulia akina Wangwe, Arfi na Prof Safari? Hawa wote walikuwa wananyimwa rasilimali za kufanya ziara mikoani. Naona ndio kinachomkuta Lissu sasa
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene.
 
Inavyoonekana ziara za Tundu Lissu mikoani zimekuwa kama zile Kampeni zake za 2020. Hakuna machinary ya Chama inayoambatana nae. Sio CHADEMA media wala uongozi wa Chama.

Je Lissu anaanza kupitia kikaango cha Makamu Wenyeviti wenzie waliomtangulia akina Wangwe, Arfi na Prof Safari? Hawa wote walikuwa wananyimwa rasilimali za kufanya ziara mikoani. Naona ndio kinachomkuta Lissu sasa
Chadema imekufa, Lissu Hana impact! Sasa hii miwasho inatoka wapi? Chadema hamuiwezi
 
Lisu akionaga uchaguzi wa ndani unakaribia tu basi na yeye huanza pilika pilika za kujifanya yeye ni bora kuliko mwenye chama. Yabi kupata uungwaji mkono kutoka kwa yule chawa wao wa hapa JF anaetutangazia kuhusu mikutano yake huko Morogoro na kwengineko, kuna mfanya aone kwamba sasa sikio linaweza kuzidi kichwa.

Lisu atambue kwamba yeye ni kijana mdogo sana kwa Mbowe, iwe kisiasa, kimaneno au kiushawishi chamani. So akae tu kwa kutulia otherwise muda sio mrefu atakuja tena kukimbia nchi bila viatu. Afu aje asingizie kuwa watu wasiojulikana walikuwa wanataka wamuue.
Sentensi yako ya kwanza nimeielewa.
 
Inavyoonekana ziara za Tundu Lissu mikoani zimekuwa kama zile Kampeni zake za 2020. Hakuna machinary ya Chama inayoambatana nae. Sio CHADEMA media wala uongozi wa Chama.

Je Lissu anaanza kupitia kikaango cha Makamu Wenyeviti wenzie waliomtangulia akina Wangwe, Arfi na Prof Safari? Hawa wote walikuwa wananyimwa rasilimali za kufanya ziara mikoani. Naona ndio kinachomkuta Lissu sasa
Binafsi

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna siasa tena hapo bali kusalimia na kuangalia gari lililojeruhiwa
 
Lisu na utundu wake hana ujanja wa kumshikia akili mtoto wa mjini ambae ndio mwenyekiti wa chama.

Hapo ni mawili 👇
1) apige kelele akichoka arudi ubelgiji

2) ahame au aanzishe chama chake ambacho atakuwa na uwezo wa kusema na kusikilizwa na yeyote chamani kama mwenzake ayatollah wa ACT Wazalendo.
Uongo wako umepangiliwa vilivyo. Hongera.
 
Back
Top Bottom