Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Hii ndio Taarifa mpya kwa leo, hasa baada ya mvutano kati ya viongozi wa Bawacha na Polisi kumalizika .
Bawacha ambayo inatajwa kuwa ndio Taasisi bora zaidi ya Wakina Mama Barani Africa , imeandaa maandamano ya amani Jijini Dar es salaam ambayo yamepangwa kufanyika 11/5/2023 , kwa lengo la kupinga uharamia uliofanywa na serikali ya ccm wa kuwaweka bungeni wabunge wasaliti waliotimuliwa chadema , Wasaliti hao wakiongozwa na Halima Mdee na dadaangu Sophia Mwakagenda wamepachikwa jina Maarufu la COVID 19.
Maandamano hayo yataanzia Posta ya Zamani (Garden) na kuishia kwenye ofisi za Bunge .
Usisahau kumtaarifu na mwenzako
Wote Mnakaribishwa .
UPDATES
========
Mipango ya kurusha live maandamano haya kupitia Vituo kadhaa vya TV inaendelea
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bawacha ambayo inatajwa kuwa ndio Taasisi bora zaidi ya Wakina Mama Barani Africa , imeandaa maandamano ya amani Jijini Dar es salaam ambayo yamepangwa kufanyika 11/5/2023 , kwa lengo la kupinga uharamia uliofanywa na serikali ya ccm wa kuwaweka bungeni wabunge wasaliti waliotimuliwa chadema , Wasaliti hao wakiongozwa na Halima Mdee na dadaangu Sophia Mwakagenda wamepachikwa jina Maarufu la COVID 19.
Maandamano hayo yataanzia Posta ya Zamani (Garden) na kuishia kwenye ofisi za Bunge .
Usisahau kumtaarifu na mwenzako
Wote Mnakaribishwa .
UPDATES
========
Mipango ya kurusha live maandamano haya kupitia Vituo kadhaa vya TV inaendelea
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app