Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni aliyepiga simu kuelekeza ng'ombe 293 waliokamatwa Ihefu wasiuzwe. JAMHURI limemtaja 'live', yeye aruka Kimanga, aanza kutafuta mchawi aliyevujisha. Chanzo: Gazeti la Jamhuri, Desemba...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeingia kwenye tovuti ya TRC nimekutana na mpango kazi wa ujenzi wa mtandao wa reli ya kisasa ukiwa na awamu 5. Katika awamu zote hizo hakuna maelezo/ratiba yoyote ya ujenzi wa SGR ya kutoka...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Tuchague watu wenye maadili mema katika jamii. Huyu mtu anautafuta uzee lakini anafanya mambo ya mtoto wa darasa la 3. Vipi alipokuwa chini ya umri wa sasa akili yake ilikuwaje? Huyu jamaa...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesajili jumla ya miradi 132 yenye thamani ya dola za Marekani 3.16 bilioni (takribani Sh7 trilioni) katika kipindi cha Julai hadi Novemba 2022. Tunaomba hii...
2 Reactions
11 Replies
697 Views
Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika...
5 Reactions
58 Replies
6K Views
Ni jambo la hatari, la hovyo na usaliti mkubwa dhidi ya Watanzania, pale kiongozi anapopuuza, anapodharau au kutozingatia matakwa na maamuzi ya umma. Tume ya Katiba ya Jaji Warioba, ilikuwa ni...
5 Reactions
6 Replies
508 Views
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Ukweli utabaki hivyo,tuna tatizo kubwa kwenye vipaumbele vya taifa,hatujui nini tunataka na wakati gani tunahitaji hicho tunachokitaka. Madhara yake ni nchi kuendesha kama biashara ya daladala...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Nyakati kama hizi tulizoea kuona salaam za Heri ya Krismas na Mwaka Mpya hapa JF kutoka kwa Viongozi mashuhuri wa Kisiasa, mwaka huu nasoma salamu za CCM tu sijajua tatizo ni nini? Hata hivyo...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Hayati Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira Wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa...
24 Reactions
52 Replies
5K Views
Mood usiufute uzi huu huku please! Leo tuache siasa kidogo tuyajenge. Bila sheria madhubuti, imara na nyumbulishi kizazi chetu kitakufa njaa, mazingira yataharibika sana na kila sehemu itakuwa ni...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
CCM ni chama kikubwa hivyo namuomba Mungu wa mbinguni 2023 akipe uvumilivu wa kujibu Hoja zenye kuleta matumaini CCM ndio Serikali hivyo tuwe tunawapa Elimu ya Siasa Wapinzani badala ya...
0 Reactions
13 Replies
605 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Heri ya kumbukumbu njema ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanganyika iliungana na Zanzibar mnamo mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania,Bendera ya Tanganyika ilivyoanza kupepea mwaka 1961 tulishuhudia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati sisi tumenunua 'midosho' ya reli ya kisasa (SGR) ,cheki treni waliyozindua wachina. Ni Kama wanasema "Wakati mmenunua 'midosho' kwa Bei ya kupigwa kwa nini msingetuambia tuwauzie zetu Kali...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Kumekuwa na michango mbalimbali ya vijana kushangaa ilikuaje Mwl. Nyerere alimwamini Balozi Dr. Agustine Mahiga kuwa Director wa TISS akiwa na miaka 35 tu. Ikumbukwe, kwa mujibu wa wasifu wake...
48 Reactions
61 Replies
13K Views
chanzo: gazeti la MTANZANIA Mfanyabiashara awanasa wabunge *Awaandalia semina, awapa posho ya kujikimu *Awandaa wapinge ugawaji vitalu vya uwindaji *Matokeo ya kazi kuanza kusikika bungeni leo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kuna hiki kinachoitwa ungamo. Kwamba mtuhumiwa wa wizi, ugaidi, mauaji nk; kwamba kwa hiari yake aliungama. Kutokea hapo mtu au watu wakahukumiwa kunyongwa au hata kufungwa. Kesi hii: Maelezo...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Nataka kulisafisha hili jiji ndani ya siku 90 tu litakuwa kama paris, !nataka niwaonyeshe watu kwamba hii dar usafi ni lazima sio hiyari na katika hili nikipata nitaanza na mbagala kisha...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom