Na Mwl Udadis, Mtwara
Makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na kampuni za Equinor & Shell yamekamilika kwaajili ya uwekezaji katika mradi wa gesi asilia, mradi wenye thamani ya Dola Bilioni...
Hizi ndio taarifa Kutoka Mkoani Katavi kwamba sasa Tundu Lisu na J J Mnyika watakuwa Kikosi cha Anga na Mwamba ataongoza Kikosi cha Ardhini
Siasa ni Sayansi, Siasa ni Mipango na Siasa ni...
Mungu ibariki Tanzania🇹🇿
Julius Kambarage Nyerere.
1. Kiongozi aliyekuwa mzalendo wa kweli.
2. Kiongozi aliyewapenda Watanzania na kuwalilia siku zake za mwisho.
3. Kiongozi aliyekuwa na...
Watanzania Wengi siyo wabobezi au wafuatiliaji wa Siasa hivyo hawanaga Muda wa kumfagilia Mwanasiasa yoyote
Hivyo kinachotokea ni kuunda Vikundi vya kusifu na kuabudu mfano ni hawa Chawa wa CCM...
Habari wadau wa siasa na masuala ya serikali.
Mada hapo juu imejidadavua vizuri.
Mwaka 2020 madarasa mawili yatahitimu shule za msingi. Yani darasa la sita na saba. 2021 form one zitakuwa mbili...
"Mahakama kuu masijala ya Moshi (Moshi Registry), imeruhusu shughuli za kilimo kuendelea kwenye shamba la kampuni ya Kilimanjaro Veggies inayomilikiwa na FREEMAN MBOWE Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa...
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani...
Mbunge wa zamani wa Maswa kupitia Chadema, aliyekihama chama hicho na kwenda kujificha ACT Wazalendo Leo Amerejea tena Chadema.
Marejeo hayo yamefanyika mbele ya Umati wa Wananchi kwenye Mkutano...
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais...
Toka mwaka 2023 uanze hatujasikia lolote toka kwa Mkuu wa shule ya Uongozi.
Hivyo basi, wadau tukiwa bado tunasubiri nondo za shule ya uongozi toka kwa Mheshimiwa Balozi H. Polepole. Ni Bora...
Mwenyekiti wa CHADEMA, moyo wa ukarimu,
Mtu wa watu, anayesimama kidete kila wakati.
Freeman Mbowe, kiongozi hodari,
Anapenda na kujali kila mmoja wetu kwa dhati.
Anapowatembelea watu, furaha...
Hicho Kijiji CCM ya Waziri Awesu ipo lakini wananchi kwa mapenzi mema wakawaomba CHADEMA wawafungulie mradi wao wa maji walioujenga wao wenyewe basi nawapongeza sana wanakijiji na CHADEMA.
Na...
Angalia mradi wa kifisadi alioingia January na Mabinzi Chande kuwapa Mahindra tech mabilioni ya pesa eti kuleta ufanisi Tanesco ni nonsense na wizi wa mali za umma.
Pesa hizo zingetumika kuunda...
Wanabodi,
Kiongozi siku zote hawezi kutekeleza majukumu yake au ilani yake bila kushirikiana na taasisi mbalimbali serikalini. Hii ina maanisha kwamba mbunge yeyote lazima ashirikiane na madiwani...
Ndugu zangu watanzania,
Kwa hakika Rais Samia Anaheshimika Na kukubalika Sana na mamillion ya watanzania,ndio maana kila utakakopita mitaani unaona namna mh Rais anavyozungumzwa kwa mema,kila...
Jana mzee Wetu Malecela amewasili Dar kwa ajili ya msiba wa mwanae Le mutuz
Mzee Malecela ni Makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu alistahili mapokezi yenye hadhi katika wakati huu mgumu
CCM...
Ijulikane kwamba Dikteta John Magufuli na Kachero Bernard Membe wote Sasa ni marehemu. Wote walikuwa ni wana-CCM. Wote wamehudumu kama Mawaziri chini ya Dk. Jakaya Kikwete. Wote waliutaka Urais...
Jamani, mimi binafsi naanza kuafiki idea ya chadema ya utawala wa kimajimbo.
Inaweza kuforce maendeleo Kwa kasi sana kulingana na ukubwa wa inchi yetu.
Lakini nimekutana na pingamizi, hacha...
Mkutano wa mawakala wa usafiri Africa ya Mashariki na Kusini mwa Africa mjini Zanzibar.
video: courtesy of Millard Ayo
ESATA wahoji vipi gharama ya tiketi ya ndege Dar es Salaam Nairobi iwe...
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.
Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.