Nimeingia kwenye tovuti ya TRC nimekutana na mpango kazi wa ujenzi wa mtandao wa reli ya kisasa ukiwa na awamu 5. Katika awamu zote hizo hakuna maelezo/ratiba yoyote ya ujenzi wa SGR ya kutoka...
Tuchague watu wenye maadili mema katika jamii. Huyu mtu anautafuta uzee lakini anafanya mambo ya mtoto wa darasa la 3. Vipi alipokuwa chini ya umri wa sasa akili yake ilikuwaje?
Huyu jamaa...
Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesajili jumla ya miradi 132 yenye thamani ya dola za Marekani 3.16 bilioni (takribani Sh7 trilioni) katika kipindi cha Julai hadi Novemba 2022.
Tunaomba hii...
Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika...
Ni jambo la hatari, la hovyo na usaliti mkubwa dhidi ya Watanzania, pale kiongozi anapopuuza, anapodharau au kutozingatia matakwa na maamuzi ya umma.
Tume ya Katiba ya Jaji Warioba, ilikuwa ni...
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni
Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule...
Ukweli utabaki hivyo,tuna tatizo kubwa kwenye vipaumbele vya taifa,hatujui nini tunataka na wakati gani tunahitaji hicho tunachokitaka.
Madhara yake ni nchi kuendesha kama biashara ya daladala...
Nyakati kama hizi tulizoea kuona salaam za Heri ya Krismas na Mwaka Mpya hapa JF kutoka kwa Viongozi mashuhuri wa Kisiasa, mwaka huu nasoma salamu za CCM tu sijajua tatizo ni nini?
Hata hivyo...
Mood usiufute uzi huu huku please!
Leo tuache siasa kidogo tuyajenge.
Bila sheria madhubuti, imara na nyumbulishi kizazi chetu kitakufa njaa, mazingira yataharibika sana na kila sehemu itakuwa ni...
CCM ni chama kikubwa hivyo namuomba Mungu wa mbinguni 2023 akipe uvumilivu wa kujibu Hoja zenye kuleta matumaini
CCM ndio Serikali hivyo tuwe tunawapa Elimu ya Siasa Wapinzani badala ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji...
Heri ya kumbukumbu njema ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanganyika iliungana na Zanzibar mnamo mwaka 1964 na kuzaliwa Tanzania,Bendera ya Tanganyika ilivyoanza kupepea mwaka 1961 tulishuhudia...
Wakati sisi tumenunua 'midosho' ya reli ya kisasa (SGR) ,cheki treni waliyozindua wachina.
Ni Kama wanasema "Wakati mmenunua 'midosho' kwa Bei ya kupigwa kwa nini msingetuambia tuwauzie zetu Kali...
Kumekuwa na michango mbalimbali ya vijana kushangaa ilikuaje Mwl. Nyerere alimwamini Balozi Dr. Agustine Mahiga kuwa Director wa TISS akiwa na miaka 35 tu. Ikumbukwe, kwa mujibu wa wasifu wake...
Kuna hiki kinachoitwa ungamo. Kwamba mtuhumiwa wa wizi, ugaidi, mauaji nk; kwamba kwa hiari yake aliungama. Kutokea hapo mtu au watu wakahukumiwa kunyongwa au hata kufungwa.
Kesi hii:
Maelezo...
Nataka kulisafisha hili jiji ndani ya siku 90 tu litakuwa kama paris, !nataka niwaonyeshe watu kwamba hii dar usafi ni lazima sio hiyari na katika hili nikipata nitaanza na mbagala kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.