Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Mbunge wa zamani wa Maswa kupitia Chadema, aliyekihama chama hicho na kwenda kujificha ACT Wazalendo Leo Amerejea tena Chadema.
Marejeo hayo yamefanyika mbele ya Umati wa Wananchi kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa Jimboni hapo na John Pambalu akishirikiana na Twaha Mwaipaya.
Bado haijafahamika kilichomuondoa Chadema wala kinachomrejesha sasa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Marejeo hayo yamefanyika mbele ya Umati wa Wananchi kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa Jimboni hapo na John Pambalu akishirikiana na Twaha Mwaipaya.
Bado haijafahamika kilichomuondoa Chadema wala kinachomrejesha sasa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app