johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,989
- 142,006
Jana mzee Wetu Malecela amewasili Dar kwa ajili ya msiba wa mwanae Le mutuz
Mzee Malecela ni Makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu alistahili mapokezi yenye hadhi katika wakati huu mgumu
CCM tujifunze upendo tusikumbatie Uchawa tu
Hata hivyo Nampongeza Haji Manara kwa upendo na Urafiki wa kweli
Mzee Malecela ni Makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu alistahili mapokezi yenye hadhi katika wakati huu mgumu
CCM tujifunze upendo tusikumbatie Uchawa tu
Hata hivyo Nampongeza Haji Manara kwa upendo na Urafiki wa kweli