johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,020
Hicho Kijiji CCM ya Waziri Awesu ipo lakini wananchi kwa mapenzi mema wakawaomba CHADEMA wawafungulie mradi wao wa maji walioujenga wao wenyewe basi nawapongeza sana wanakijiji na CHADEMA.
Na nasema Mkuu wa Idara ya Maji aliyekwenda kubomoa kibao cha uzinduzi ni "Mshamba" kuliko mwanakijiji japo katokea mkoani Njombe. Bure kabisa Idara ya Maji!
CC: Mzee Mgaya wa Chaugingi Njombe
Na nasema Mkuu wa Idara ya Maji aliyekwenda kubomoa kibao cha uzinduzi ni "Mshamba" kuliko mwanakijiji japo katokea mkoani Njombe. Bure kabisa Idara ya Maji!
CC: Mzee Mgaya wa Chaugingi Njombe