Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Angalia mradi wa kifisadi alioingia January na Mabinzi Chande kuwapa Mahindra tech mabilioni ya pesa eti kuleta ufanisi Tanesco ni nonsense na wizi wa mali za umma.
Pesa hizo zingetumika kuunda Dna database ambayo ingeweza kuwasaidia polisi kudhibiti uhalifu.. Mwizi akikamatwa anachukuliwa Dna test na inalinganishwa na viashiria alivyoacha kama nywele au damu na ushahidi unakamilika. Lakini CCM hawawazi la maana kwa nchi nii zaidi ya upigaji tu.
Styupidee styupideee
Pesa hizo zingetumika kuunda Dna database ambayo ingeweza kuwasaidia polisi kudhibiti uhalifu.. Mwizi akikamatwa anachukuliwa Dna test na inalinganishwa na viashiria alivyoacha kama nywele au damu na ushahidi unakamilika. Lakini CCM hawawazi la maana kwa nchi nii zaidi ya upigaji tu.
Styupidee styupideee