Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuelekea maadhimisho ya Miaka Miwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wananchi katika kata za Ubungo, Tandale, Manzese, Kijitonyama, Sinza Ndugumbi...
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Wanabodi nachukua fursa hii kuwatakia afya njema. Nami naomba nichukue fursa hii kutoa maoni yangu juu ya yale aliyoyazungumza Mh. Jesca Kishoa mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA na mke halali...
29 Reactions
327 Replies
32K Views
Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo amewataka watu wenye degree wakasome VETA Ili kupata Uwezo wa Kujiajiri. Kujiajiri kunataka maarifa ambayo ukienda VETA utayapata Source: Mwananchi
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Sisi vijana wa nchi hii ndo tunamakosa makubwa na sio viongozi, yaani vitu vinapigwa huko sisi tumelooowa tu, sjui shda iko wapi jmn au ni ujamaa wa Baba etu wa taifa MWALIMU NYERERE umetukuza...
2 Reactions
11 Replies
590 Views
Viongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema...
11 Reactions
77 Replies
5K Views
Moja ya mambo nitakayoangalia kwa umakini mkubwa ni mitandao hii yaani inaweza ukakutoa kwenye reli kabisa. Many social media edicted monsters speak nonsense, allogancy, stupid, fallacy and...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Ungana Nami; Kitilingo Ramadhani Wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum imekuja na mfuko wa maendeleo ya wanawake kutokana na tamko la Bunge lililopitishwa mwezi Agosti...
0 Reactions
2 Replies
603 Views
Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Aloyce Kwezi ameendelea na ziara yake katika jimbo na kutembelea miradi mbalimbali ambapo ameongea na wananchi wa Kata mbalimbali wa maeneo hayo. "Ndugu zangu Wananchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanasiasa wa Kenya na kiongozi wa Chama cha Roots, George Wajackoyah amedai kuwa licha ya kuruhusiwa kuingia Tanzania siku mbili zilizopita akiwa mgeni wa CHADEMA, alinyanyaswa na mamlaka upande...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwekezaji wa Shamba kubwa la alizeti huko Ikungi Singida amemwambia Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo kwamba Vijana wa eneo hilo ni Wavivu sana Mwekezaji amesema hulipa ujira wa tsh 10,000 kwa...
43 Reactions
176 Replies
11K Views
Wanawake wa Tanzania wamepewa kanga zakutosha na vitenge kuelekea siku ya wanawake Duniani. Wanawake wengi wamejipanga Kuvaa vitenge kusherekea siku ya wanawake Duniani. Wanawake wengi watabeba...
0 Reactions
2 Replies
722 Views
Habari Wakuu.. Ni swali nauliza , Zanzibar wanaweza vipi kuendesha Serikali na Kugharamia Miradi Ikiwa Mapato Yao na Bajeti ya Nchi Yao hawafikishi hata Tilioni Moja? Yaani Kwa mwaka 2022...
1 Reactions
64 Replies
4K Views
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Said Othman Yakubu na Viongozi wengine wa Serikali wakiwa katika siku ya pili ya Mkutano wa faragha wa viongozi unaondelea Kituo cha mikutano cha...
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Mtoto akililia wembe mwache umkate. Mtu yeyote anayesema bodaboda na vikoba siyo njia sahihi yakumkomoa Mtanzania akapimwe akili. Ukiona MTU amekubali kuwa bodaboda na ukamwambia ukuletwa Duniani...
3 Reactions
10 Replies
972 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete ameendelea na ziara yake katika maeneo mbalimbali ya miradi ya kimakakati mkoani Mara huku akishiriki ziara ya Kamati ya Siasa Wilaya...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Mbunge wa Viti Maalum kutokea Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete tarehe 01 Machi 2023 ameshiriki Mkutano wa Uzinduzi wa Daraja la Mto Mori & Wamaya Katika Kata ya Kirogo Wilayani Rorya Mkoani...
0 Reactions
7 Replies
936 Views
MKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa G20 uliofanyika Alhamisi ulikuwa wa mafanikio makubwa huku matokeo yakionyesha matamanio ya nchi zinazoendelea, na nchi za G20 zikijadili masuala mengine ya...
0 Reactions
1 Replies
528 Views
Mikopo inayotolewa kwa sekta binafsi imezidi kuongezeka kutoka 7.8% mwaka 2021 hadi 22.5% mwaka 2022 pia imeongezeka zaidi hadi kufikia january 2023 imefikia 23.1%. Hii inaashiria kuimarika kwa...
0 Reactions
9 Replies
760 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA mh Godbless Lema amesema wanawafundisha Wanachama wao kutomkosoa au kumtukana Rais Wetu kwa sababu ameonesha kwa vitendo kuiheshimu Demokrasia. Tutamshauri tu...
23 Reactions
252 Replies
13K Views
Back
Top Bottom