COMMON BROTHER PAUL MAKONDA PUT JOKE ASIDE IN DRUG WAR!
•Weka kamba kwa 'singo' usibembee
•Usitutoe kwenye mjadala wa mkoa wa Dar wenye facilities zote za elimu kuvurunda
Na Bollen Ngetti...
Nimemsikiliza Nyalandu akiwajibu waandishi swali la yeye kuhusika na usafirishaji wa TWIGA wetu kwenda Uarabuni kipindi cha JK.
Akajibu swali kwa swali - akasema " Hivi unadhani ningekuwa kweli...
Heri ya X Mass.
Tunamshukuru Mungu kwa siku kuu ya leo,na kwa namna ya kipekee kabisa nawapongeza waKristo wote Tanzania na Duniani.
Wakati bado tunaendelea kusheherekea siku hii muhimu naomba...
Hakika ufisadi wa fedha za walipa kodi hauwezi kukoma nchi hii. Kama mtakumbuka Tanzania kuliundwa bunge la katiba ili lijadili maoni na mapendekezo ya wananchi na ya rasimu ya tume ya Warioba...
Rais na Makamu wake wametoa agizo na ilani kwamba wale wote wanaofanya shughuli zinazoharibu maeneo oevu kama bonde la Ruaha, Usangi na Ihefu waache mora moja vinginevyo sheria itachukua mkondo...
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema,
"Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe...
Ililazimu Kamati ya Ulinzi Na Usalama (KUU) Wilaya ya Same kutembelea msitu wa hifadhi Chome (Shengena) baada ya kupata taarifa ya uvamizi wa wachimbaji madini ya dhahabu ndani ya msitu huo...
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka...
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali
Kimsingi...
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Bei ya Behewa jipyq ni Kati ya Euro milioni 2 hadi 3 na bei ya Behewa Used ni Euro Laki 8 na ushee na Behewa hili kinakuwa na 80% ya Ubora wa Behewa...
Habari za Christmas Wana jukwaa..
Moja kwa Moja kwenye mada.Binafsi huwa namkubali Rais DK.Samia kwa Kutafuna Mifupa Migumu iliyowashinda wengine..
✓Alianza na Kuagiza Chanjo za Uviko 19...
Mtaalamu wa Filosofia, Teolojia na Saikolojia Dr Elly amesema Binadamu Wote ni wanafiki Ndio sababu tunavaa nguo
Tunavaa nguo kuficha nini? Amehoji Dr
Source Clouds tv
Aliyemuelewa tafadhali
Habari,
Heri ya sikukuu ya Noeli kwa wakristo wote. Leo ni siku nyingine tumesheherekea kuzaliwa kwa mwokozi wa ulimwengu kwa hiyo ,pamoja na wakristo wengine tunamshukuru Mwenyezi Mungu kuwa...
===
Baada ya kumsikiliza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hapo juu,Naomba nidondoe kidogo haya,
Wakati wowote kuanzia Sasa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anakwenda kufanya mabadiliko makubwa...
Lengo la kuanzisha Mfumo wa vyama vingi vya Siasa halikuwa kuleta utengano wa kiitikadi bali kuimarisha mshikamano katika kujiletea Maendeleo kama Taifa
Lakini Kuanzia mwaka huo 1992 Vyama...
Labda ni tatizo la uelewa tu linalotugawa
Mtumba ni kitu kilichotumika halafu unauziwa hivyo hivyo ili ukimalizie mfano yale Magari ya Zimamoto yaliyolalamikiwa na Wabunge
Reconditioned ni...
Wazanzibar,
Sisi ndugu zenu watanganyika tunapenda muendelee na harakati za kuuvunja muungano yaani huu muungano mlikuwa mnasema ni koti limewabana mnaonaje sasa tuuvunjilie mbali muungano...
Kwanza kabisa siungi mkono utaratibu wa kukatana kwa kusafirisha mzigo ni utaratibu mgumu sana.
Huu ni mkopo pia lakini usioeleweka kabisa, maana marejesho ni kukatana kwenye mizigo utafikiria...
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema waliochanjwa chanjo ya Uviko-19 mwaka mmoja au miaka miwili iliyopita hawataruhusiwa kwenda hijja hadi watakaporudia kuchanja chanjo hiyo.
Kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.