Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

COMMON BROTHER PAUL MAKONDA PUT JOKE ASIDE IN DRUG WAR! •Weka kamba kwa 'singo' usibembee •Usitutoe kwenye mjadala wa mkoa wa Dar wenye facilities zote za elimu kuvurunda Na Bollen Ngetti...
67 Reactions
173 Replies
23K Views
Nimemsikiliza Nyalandu akiwajibu waandishi swali la yeye kuhusika na usafirishaji wa TWIGA wetu kwenda Uarabuni kipindi cha JK. Akajibu swali kwa swali - akasema " Hivi unadhani ningekuwa kweli...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/tanesco-kununua-umeme-wa-aqua-4066720
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Heri ya X Mass. Tunamshukuru Mungu kwa siku kuu ya leo,na kwa namna ya kipekee kabisa nawapongeza waKristo wote Tanzania na Duniani. Wakati bado tunaendelea kusheherekea siku hii muhimu naomba...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
Hakika ufisadi wa fedha za walipa kodi hauwezi kukoma nchi hii. Kama mtakumbuka Tanzania kuliundwa bunge la katiba ili lijadili maoni na mapendekezo ya wananchi na ya rasimu ya tume ya Warioba...
0 Reactions
3 Replies
580 Views
Rais na Makamu wake wametoa agizo na ilani kwamba wale wote wanaofanya shughuli zinazoharibu maeneo oevu kama bonde la Ruaha, Usangi na Ihefu waache mora moja vinginevyo sheria itachukua mkondo...
2 Reactions
4 Replies
463 Views
Mimi ni layman wa uchumi lakini alichoongea leo Mwigulu Nchemba katika kipindi cha 360 Clouds TV ni Doctorial Rubbish, amesema, "Hakuna siku Mtanzania atakwenda kugongewa mlango kwamba sasa atoe...
18 Reactions
88 Replies
4K Views
Ililazimu Kamati ya Ulinzi Na Usalama (KUU) Wilaya ya Same kutembelea msitu wa hifadhi Chome (Shengena) baada ya kupata taarifa ya uvamizi wa wachimbaji madini ya dhahabu ndani ya msitu huo...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa. 1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka...
49 Reactions
654 Replies
98K Views
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali Kimsingi...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Bei ya Behewa jipyq ni Kati ya Euro milioni 2 hadi 3 na bei ya Behewa Used ni Euro Laki 8 na ushee na Behewa hili kinakuwa na 80% ya Ubora wa Behewa...
6 Reactions
71 Replies
5K Views
Habari za Christmas Wana jukwaa.. Moja kwa Moja kwenye mada.Binafsi huwa namkubali Rais DK.Samia kwa Kutafuna Mifupa Migumu iliyowashinda wengine.. ✓Alianza na Kuagiza Chanjo za Uviko 19...
7 Reactions
48 Replies
3K Views
Mtaalamu wa Filosofia, Teolojia na Saikolojia Dr Elly amesema Binadamu Wote ni wanafiki Ndio sababu tunavaa nguo Tunavaa nguo kuficha nini? Amehoji Dr Source Clouds tv Aliyemuelewa tafadhali
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari, Heri ya sikukuu ya Noeli kwa wakristo wote. Leo ni siku nyingine tumesheherekea kuzaliwa kwa mwokozi wa ulimwengu kwa hiyo ,pamoja na wakristo wengine tunamshukuru Mwenyezi Mungu kuwa...
1 Reactions
5 Replies
904 Views
=== Baada ya kumsikiliza Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hapo juu,Naomba nidondoe kidogo haya, Wakati wowote kuanzia Sasa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anakwenda kufanya mabadiliko makubwa...
15 Reactions
92 Replies
8K Views
Lengo la kuanzisha Mfumo wa vyama vingi vya Siasa halikuwa kuleta utengano wa kiitikadi bali kuimarisha mshikamano katika kujiletea Maendeleo kama Taifa Lakini Kuanzia mwaka huo 1992 Vyama...
1 Reactions
2 Replies
417 Views
Labda ni tatizo la uelewa tu linalotugawa Mtumba ni kitu kilichotumika halafu unauziwa hivyo hivyo ili ukimalizie mfano yale Magari ya Zimamoto yaliyolalamikiwa na Wabunge Reconditioned ni...
1 Reactions
3 Replies
424 Views
Wazanzibar, Sisi ndugu zenu watanganyika tunapenda muendelee na harakati za kuuvunja muungano yaani huu muungano mlikuwa mnasema ni koti limewabana mnaonaje sasa tuuvunjilie mbali muungano...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwanza kabisa siungi mkono utaratibu wa kukatana kwa kusafirisha mzigo ni utaratibu mgumu sana. Huu ni mkopo pia lakini usioeleweka kabisa, maana marejesho ni kukatana kwenye mizigo utafikiria...
13 Reactions
58 Replies
4K Views
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limesema waliochanjwa chanjo ya Uviko-19 mwaka mmoja au miaka miwili iliyopita hawataruhusiwa kwenda hijja hadi watakaporudia kuchanja chanjo hiyo. Kauli...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom