Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika mazingira ambayo hayakutarajiwa Baadhi ya wastaafu hapa Dar es salaam wamekosa pension zao mwezi May hadi inafika tarehe 31/5/2018.. Wanapoulizia kule wanapochukulia pesa zao wanaambiwa...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari wanaJF Naomba kuuliza, hizi fedha za tozo wanazokata serikali kwenye miamala yetu ya simu huwa zinafanya kazi gani? Ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo au matumizi ya kawaida, naomba kujua...
0 Reactions
3 Replies
529 Views
Mkuu wa Jeshi la polisi Mstaafu, kamanda Saimoni Sirro katika mahojiano ya kipindi Cha dakika 45 Cha ITV akijibu swali la mtangazaji Fahria Middle ametoa majibu hayo baada ya kuulizwa kuhusiana na...
11 Reactions
133 Replies
9K Views
Kuna wimbi la Wazungu wanapigana vikumbo kutaka hekari na hekari za maeneo kwenye wilaya za Monduli, Simanjiro na Longido, na sana Simaniro na Longido ndizo wilaya zinaweza poteza robo tatu ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu wa Wizara ya Mambo ya Nje,Wizara ya Maliasili/Utalii na Msemaji wa Serikali mumelala huku Jarida la Bloomberg Africa likiandika Makala ya upotoshaji inayolenga Kujichafua Nchi na kuhujumu...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 32 leo Mei 24, 2023. Mbunge ahoji wazee wa bara kutopata pensheni kama wanavyopewa wenzao wa zanzibar Mbunge Boniphace Mwita...
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Huo ndio Ukweli japo ni mchungu Mikutano ya CHADEMA inajaza Watu bila ya uwepo wa Msanii Maarufu yoyote Wananchi hujitokeza kwa wingi kumsikiliza Msema kweli Tundu Antipas Lisu na siyo kuona...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii nimeikuta kwenye makala Moja ya waarabu wa Zanzibar inayozungumzia Uislamu na Haki Kumbe kuna vitu huesabiwa ni vikubwa katika Ulimwengu wa roho kuliko haya mambo ya Mwilini na tamaa zake...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Mtoto alipewa Kuku na Mama yake ili amfuge, na mtoto alimpenda sana Kuku wake, lakini mtoto huyu ndoto yake ni kua mwanasiasa mkubwa katika nchi yetu, siku Mbowe amefika Kigoma mtoto aliemwambia...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Je, ikulu ya Chamwino ni ya Tanzania, je ina maana Tanganyika imezikwa, au kama sivyo ikulu yake itajengwa wapi?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mpina akiwasha tena Sh2 Trilioni za SGR ataka mkandarasi atimuliwe; Naibu Waziri amjibu
1 Reactions
7 Replies
979 Views
Wananchi wa Buhigwe Kigoma wamelalamika kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe kwamba Wanatozwa Tozo ya kibali cha Mazishi tsh 20,000. Kadhalika wakiwa na Sherehe za Kimila za kuwapa Zawadi maharusi au...
2 Reactions
5 Replies
791 Views
Kwa mujibu wa sheria kazi ya msingi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na Mali zao, hii ni kazi inayohitaji wito Kama kua padri wa kirumi, inahitaji mtu muadilufu kama shehe wa kule makka...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Katibu wa umoja wa vijana wa CCM Khenan Kihongosi amemuonya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Diallo kuwa aache upotoshaji mara moja, kitendo cha kusema baadhi ya viongozi waliopita...
15 Reactions
183 Replies
18K Views
Katibu mkuu wa UVCCM, Kenani Kihongosi amemtaka Mbunge Humphrey Polepole awe na nidhamu na adabu katika serikali ya awamu ya 6 kama alivyofanya kwa serikali ya awamu ya 5. Hiyo ni baada ya...
28 Reactions
250 Replies
24K Views
Wote tunafahamu baadhi ya viongozi wamefikishwa kwenye vyombo vya sheria akiwemo JOHN PIMA aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Arusha, wito wangu ni kwamba wale wote walionufaika na mgao huo kupitia...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Usiku wakati tarehe 15 Mei 2023 ikielekea ukingoni Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu iliachia "PDF" ya Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa ambapo wakuu wa mikoa minne waliguswa na mabadiliko...
4 Reactions
71 Replies
9K Views
Back
Top Bottom