Tume ya Madini Tanzania imeiruhusu kampuni ya Acacia kuendelea na utaratibu wa kusafirisha dhahabu baada ya kuzuiliwa kwa takribani mwezi mmoja. Taarifa iliyotolewa na Acacia inaeleza sasa...
Taarifa muhimu kuhusu Mradi wa JNHPP zimeshindwa kuwekwa wazi licha ya kutambua kuwa Mradi huu ni wa watanzania na wala sio mali binafsi ya familia ya 'Watu wazuri hawafi"
Ni sababu zipi...
Ndugu zangu,
Rais Samia Ni kiongozi wa kipekee Sana, Ni kiongozi mkweli na muwazi Sana. Ni kiongozi mcha Mungu na mwenye hofu ya Mwenyezi MUNGU. Ni kiongozi ambaye Dhamira yake na kifua chake...
Mods Msitoe huu Uzi.
Serikali Juzi imefanya sherehe ya kurudisha mtiririko wa asili wa Mto Rufiji Kwa Kufunga geti la kupitisha maji katika diversion tunnel( njia ya mchepuko), sherehe...
1. Ndie anaeamua ulipwe kiasi gani.
2. Ndie anayebutua mkataba wako wa ajira Kama ilikuwa ya kudumu inakuwa on temporary basis.
3. Ndie anayeweza kuamua uongezwe makato au uongezewe Kodi kwenye...
Yusuph Makamba anaweza kuwa ameleta UFA mkubwa sana Serikalini na kwenye chama kwa kauli zake za chuki dhidi ya Hayati Magufuli.
Alijua anamfurahisha mama kumbe anamgombanisha na watu. Mama Samia...
✓ JUU: ni mwonekano wa behewa za SGR Kenya...
=== BEI YAKE:
Ni KES 52.2m kwa behewa moja sawa na TZS 980M
✓ CHINI: Mwonekano wa behewa za SGR ya Tanzania yaliyonunuliwa juzi kati hapa...
Miaka zaidi ya sitini, nchi bado hata haieleweki ni lini itaondokana na uchumi tegemezi licha ya kuwa na kila kitu.
Kitabu cha mwanzo kwa wasomaji wa Biblia, nyoka alitambulika kama nyoka tuu...
MHESHIMIWA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
MJI WA SERIKALI MITUMBA,
S.L.P. 2908, 40477 – DODOMA
Ndugu,
YAH: MGOGORO WA ARDHI KATI YA KANISA KATOLIKI JIMBO LA KIGOMA NA CHAMA CHA...
Data za mwisho wa mwaka wa 2021 ziki onesha viwango vya kinishati ya umene Tanzania pamoja na mataifa mengine walicho zalisha kwa mwaka.
Data hizo zili tawaliwa kwa taifa la China kwa kuongoza...
Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya...
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.
Balile...
Mataifa yalioendelea zamani ya huko Ulaya Magharibi, Marekani na China walikuwa wanakopa wapi kujenga miradi ya miundominu yao na kutoa huduma za umma kwa raia wake?
Hayo mataifa wao waliwezaje...
Haiwezekani nchi ambayo Mungu ameipa rasilimali nyingi kiasi hiki lakini wananchi wake ni maskini.
Tanzania ina
1. Ardhi nzuri
2. Madini
3. Gas
4. Misitu
5. Mito na Mabwawa
6. Mbuga za Wanyama...
WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR YAKABIDHIWA JUMLA YA VISHKWAMBI 6,600
Na Ipyana Mwaipaja,
WyEST, DSM
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Desemba 22, 2022 imetoa jumla ya vishkwambi 6,600 kwa...
Kwa kipindi kirefu nimefuatilia wakosoaji wa Bwana January Makamba tangu mara tu alipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Wakosoaji wa Mh Waziri wakaanza na tuhuma kuwa huyu Bwana ni mpigaji.
Kwa...
Kutokana na mlolongo wa matukio yanayotokea nchini, nimekuwa nikijiuliza Sana, je kipaumbele Cha CCM, ni kuendelea kubaki madarakani au ni kuwaletea maendeleo watanzania?
Kipaumbele Cha utawala...
Naomba nianze kwa kusema mimi sio mtaalamu wa haya mambo ya ujenzi wa dam za kuzalisha umme na wala sijui chochote kuhusu mambo haya.
Hata hivyo, nina vitu viwili vilivyoniongoza mpaka kuanza...
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.
Na wale wataosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.