Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nashangazwa sana na watu kuidharau kazi ya uwalimu. Leo nimeshangaa zaidi kuwasikia viongoza wa waendesha bodaboda wakitoa tamko kuwa kazi yao ya ubodaboda ni bora kuliko uwalimu! Huo ubora wa...
3 Reactions
16 Replies
757 Views
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam mbele ya Jaji Leila Mgonya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Katika kesi hiyo, Mchechu anawakilishwa na mawakili wa...
13 Reactions
101 Replies
10K Views
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hotuba za Tundu Lisu, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na Komredi Kinana kwa zaidi ya miaka 10 sasa Kiukweli Uhutubiaji wa Tundu Lisu leo umekuwa wa viwango...
15 Reactions
25 Replies
3K Views
Hawa ndugu zetu wa Ufipa st Chadema wao huwa hawajihusishi na "ndumba"? Sijawahi kuwasikia wakiambatana na Waganga wa mitishamba Hata wakati ule ilikuwa wao na askofu Gwajima au askofu Malone na...
3 Reactions
5 Replies
855 Views
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ukweli ni kwamba serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inawajali sana wananchi wake kupitia utekelezaji wa mradi mkubwa wa...
0 Reactions
1 Replies
466 Views
Kuelekea maadhimisho ya Miaka Miwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wananchi katika kata za Ubungo, Tandale, Manzese, Kijitonyama, Sinza Ndugumbi...
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Wanabodi nachukua fursa hii kuwatakia afya njema. Nami naomba nichukue fursa hii kutoa maoni yangu juu ya yale aliyoyazungumza Mh. Jesca Kishoa mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA na mke halali...
29 Reactions
327 Replies
32K Views
Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo amewataka watu wenye degree wakasome VETA Ili kupata Uwezo wa Kujiajiri. Kujiajiri kunataka maarifa ambayo ukienda VETA utayapata Source: Mwananchi
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Sisi vijana wa nchi hii ndo tunamakosa makubwa na sio viongozi, yaani vitu vinapigwa huko sisi tumelooowa tu, sjui shda iko wapi jmn au ni ujamaa wa Baba etu wa taifa MWALIMU NYERERE umetukuza...
2 Reactions
11 Replies
593 Views
Viongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema...
11 Reactions
77 Replies
5K Views
Moja ya mambo nitakayoangalia kwa umakini mkubwa ni mitandao hii yaani inaweza ukakutoa kwenye reli kabisa. Many social media edicted monsters speak nonsense, allogancy, stupid, fallacy and...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Ungana Nami; Kitilingo Ramadhani Wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum imekuja na mfuko wa maendeleo ya wanawake kutokana na tamko la Bunge lililopitishwa mwezi Agosti...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Aloyce Kwezi ameendelea na ziara yake katika jimbo na kutembelea miradi mbalimbali ambapo ameongea na wananchi wa Kata mbalimbali wa maeneo hayo. "Ndugu zangu Wananchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanasiasa wa Kenya na kiongozi wa Chama cha Roots, George Wajackoyah amedai kuwa licha ya kuruhusiwa kuingia Tanzania siku mbili zilizopita akiwa mgeni wa CHADEMA, alinyanyaswa na mamlaka upande...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwekezaji wa Shamba kubwa la alizeti huko Ikungi Singida amemwambia Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo kwamba Vijana wa eneo hilo ni Wavivu sana Mwekezaji amesema hulipa ujira wa tsh 10,000 kwa...
43 Reactions
176 Replies
11K Views
Wanawake wa Tanzania wamepewa kanga zakutosha na vitenge kuelekea siku ya wanawake Duniani. Wanawake wengi wamejipanga Kuvaa vitenge kusherekea siku ya wanawake Duniani. Wanawake wengi watabeba...
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Habari Wakuu.. Ni swali nauliza , Zanzibar wanaweza vipi kuendesha Serikali na Kugharamia Miradi Ikiwa Mapato Yao na Bajeti ya Nchi Yao hawafikishi hata Tilioni Moja? Yaani Kwa mwaka 2022...
1 Reactions
64 Replies
4K Views
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Said Othman Yakubu na Viongozi wengine wa Serikali wakiwa katika siku ya pili ya Mkutano wa faragha wa viongozi unaondelea Kituo cha mikutano cha...
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Mtoto akililia wembe mwache umkate. Mtu yeyote anayesema bodaboda na vikoba siyo njia sahihi yakumkomoa Mtanzania akapimwe akili. Ukiona MTU amekubali kuwa bodaboda na ukamwambia ukuletwa Duniani...
3 Reactions
10 Replies
974 Views
Back
Top Bottom