Nashangazwa sana na watu kuidharau kazi ya uwalimu. Leo nimeshangaa zaidi kuwasikia viongoza wa waendesha bodaboda wakitoa tamko kuwa kazi yao ya ubodaboda ni bora kuliko uwalimu! Huo ubora wa...
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa Ijumaa iliyopita jijini Dar es Salaam mbele ya Jaji Leila Mgonya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Katika kesi hiyo, Mchechu anawakilishwa na mawakili wa...
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hotuba za Tundu Lisu, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na Komredi Kinana kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Kiukweli Uhutubiaji wa Tundu Lisu leo umekuwa wa viwango...
Hawa ndugu zetu wa Ufipa st Chadema wao huwa hawajihusishi na "ndumba"?
Sijawahi kuwasikia wakiambatana na Waganga wa mitishamba
Hata wakati ule ilikuwa wao na askofu Gwajima au askofu Malone na...
Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ukweli ni kwamba serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inawajali sana wananchi wake kupitia utekelezaji wa mradi mkubwa wa...
Kuelekea maadhimisho ya Miaka Miwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wananchi katika kata za Ubungo, Tandale, Manzese, Kijitonyama, Sinza Ndugumbi...
Wanabodi nachukua fursa hii kuwatakia afya njema. Nami naomba nichukue fursa hii kutoa maoni yangu juu ya yale aliyoyazungumza Mh. Jesca Kishoa mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA na mke halali...
Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo amewataka watu wenye degree wakasome VETA Ili kupata Uwezo wa Kujiajiri.
Kujiajiri kunataka maarifa ambayo ukienda VETA utayapata
Source: Mwananchi
Sisi vijana wa nchi hii ndo tunamakosa makubwa na sio viongozi, yaani vitu vinapigwa huko sisi tumelooowa tu, sjui shda iko wapi jmn au ni ujamaa wa Baba etu wa taifa MWALIMU NYERERE umetukuza...
Viongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema...
Moja ya mambo nitakayoangalia kwa umakini mkubwa ni mitandao hii yaani inaweza ukakutoa kwenye reli kabisa.
Many social media edicted monsters speak nonsense, allogancy, stupid, fallacy and...
Ungana Nami; Kitilingo Ramadhani
Wizara ya maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum imekuja na mfuko wa maendeleo ya wanawake kutokana na tamko la Bunge lililopitishwa mwezi Agosti...
Mbunge wa Jimbo la Kaliua, Aloyce Kwezi ameendelea na ziara yake katika jimbo na kutembelea miradi mbalimbali ambapo ameongea na wananchi wa Kata mbalimbali wa maeneo hayo.
"Ndugu zangu Wananchi...
Mwanasiasa wa Kenya na kiongozi wa Chama cha Roots, George Wajackoyah amedai kuwa licha ya kuruhusiwa kuingia Tanzania siku mbili zilizopita akiwa mgeni wa CHADEMA, alinyanyaswa na mamlaka upande...
Mwekezaji wa Shamba kubwa la alizeti huko Ikungi Singida amemwambia Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongolo kwamba Vijana wa eneo hilo ni Wavivu sana
Mwekezaji amesema hulipa ujira wa tsh 10,000 kwa...
Wanawake wa Tanzania wamepewa kanga zakutosha na vitenge kuelekea siku ya wanawake Duniani.
Wanawake wengi wamejipanga Kuvaa vitenge kusherekea siku ya wanawake Duniani.
Wanawake wengi watabeba...
Habari Wakuu..
Ni swali nauliza , Zanzibar wanaweza vipi kuendesha Serikali na Kugharamia Miradi Ikiwa Mapato Yao na Bajeti ya Nchi Yao hawafikishi hata Tilioni Moja?
Yaani Kwa mwaka 2022...
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote
Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa...
Katibu Mkuu Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Said Othman Yakubu na Viongozi wengine wa Serikali wakiwa katika siku ya pili ya Mkutano wa faragha wa viongozi unaondelea Kituo cha mikutano cha...
Mtoto akililia wembe mwache umkate. Mtu yeyote anayesema bodaboda na vikoba siyo njia sahihi yakumkomoa Mtanzania akapimwe akili.
Ukiona MTU amekubali kuwa bodaboda na ukamwambia ukuletwa Duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.