Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hotuba ya Waziri Mkuu Kivuli juu ya miezi 10 ya Kamati ya kuisimamia Serikali ya ACT Wazalendo; Mwaka wa misukosuko; chungu kwa wanyonge, raha kwa vibonge. 1. Utangulizi Mnaelewa kuwa tupo...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mdau wangu anafanya kazi KIA kitengo fulani, amenitonya kwamba ile ndege ni kweli ilishusha mizigo mingi sana ya Mwarabu yakiwemo Magari na vitu vingine, Ila Pia kuna Mabox yalipakiwa na...
8 Reactions
61 Replies
5K Views
NUKUU MUHIMU YA JANUARY MAKAMBA KWA WATANZANIA Mh Rais kazi hii uliyotupa ya kusimamia mradi huu na sekta nzima ya nishati sisi tunaimudu, tunaiweza mipango tunayo mikakati tunayo namna ya...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Dotto Biketo (MNEC) 2. Januari Makamba (MNEC) 3. Mwigulu Nchemba (MNEC) 4. Nape Nauye (MNEC) 5. Angelina Mabula (MNEC) 6. Ashatu Kijaji (MNEC) 7. Angela Kairuki(MNEC) 8. Hussein Bashe(MNEC) 9...
0 Reactions
4 Replies
634 Views
Kitendo cha Televisheni ya Kimataifa ya CGTN Africa kuacha kumpa nafasi Waziri Januari Makamba kwenye ripoti yao kuhusu Bwawa la Nyerere ina maana gani? Pascal Mayalla hii kitaalam mnaitaje...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu zangu Ni wachache wenye kuona na kutambua kazi kubwa inayofanywa na hivi vyombo vyetu katika kuilinda na kuipigania nchi yetu usiku na mchana na hatimaye kufanya watanzania tuishi kwa amani...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mtihani kwa mwanadamu ni kawaida sana hapa duniani. Kwa upande wa wanachama wa Chadema mwaka huu tunao umaliza tuligubikwa na majonzi makuu. Kiongozi wetu mkuu wa chama mh Mbowe alisota sana...
5 Reactions
16 Replies
620 Views
KUTOKANA na Hali mbaya ya uchumi, pamoja na serikali kumiliki deni la Taifa la Trilion 91, Serikali imemshinda kuwalipa Posho za madaraka ya walimu wakuu,wakuu washule,vyuo,na maafisa elimu kata...
18 Reactions
107 Replies
8K Views
Dk Tulia anapata wapi kiburi cha kuwaambia wapiga kura wake Mbeya waache Majungu ===== SPIKA wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson amewataka wananchi kuacha tabia za...
1 Reactions
8 Replies
884 Views
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia anasimama mbele ya hadhara na kuwaambia wananchi waliomchangua kuingia bungeni waache majungu sasa tunajiuliza kiburi hiki na ulevi huu wa madaraka anautoa wapi Tulia...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wana jf. Kamtizamo tu binafsi, inaonekana kwa namna hizi mvua zinavonyesha 2023 inaezakuwa na kaneema kidogo hasa kwenye kilimo, watu wakalima na Wakavuna sana tu japo bei ya Chakula...
3 Reactions
7 Replies
599 Views
Niona vita kali kati ya Hamisi Kigwangalla Mbunge na ndugu yangu Ta Balille, Chanzo cha vita ni RIPOTI aliyoitoa Balile na wenzake mbele ya Makamu wa Rais siku za hivi karibuni. Za chini chini...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Ndiyo ukweli halisi huo kuitoa ccm kwenye Uongozi wa nchi msifikirie na wala msiwaze hata kidogo kama nyie wenyewe hata kujiongoza hamuwezi na tunajikuta wanaharakati wa mitandao kwahiyo ndugu...
7 Reactions
59 Replies
3K Views
Kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2021 watanzania wengi tulikuwa hoiiiiii. Tulilia sana, Tuliomba sana kwa Mungu juu ya kuitwa majina mengi ya ajabu ajabu na vijana waliojiita wazalendo. Tulibezwa...
22 Reactions
148 Replies
6K Views
Hiki Chama kitakuwa na lengo kubwa la kuleta mapinduzi ya nchi hususani kwenye kuleta mikakati ya job creation, democracy and youth leadership opportunities maana nafasi zote hizi wamemkalia...
12 Reactions
43 Replies
2K Views
TRC wamesema SGR yetu imejengwa kwa kutumia Fedha kidogo ukilinganisha na SGR zote barani Africa kwa sababu iliwatumia Wahandisi Wazalendo kufanya Upembuzi yakinifu wa mradi na Kazi za ushauri...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Mahakama Kuu nchini imesema kuwa wafungwa wa makosa ya kawaida ya jinai wana haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu. Mahakama hiyo imetamka haki hiyo baada ya kubatilisha kifungu cha 11(1) (c)...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Tukubali tukate lakini ukweli utabaki kuwa huu kwamba tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu amefanikisha kulituliza taifa na kuhakikisha tupo salama. Maswali ya wengi yalikuwa angewezaje...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza. Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful! Kwa maoni yako endelea;
14 Reactions
267 Replies
26K Views
Back
Top Bottom