Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akiongea mkutanoni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa, amesema yeye aliingia Bungeni kwa mara ya kwanza 2010 na ni mwaka huo CCM walibuni huu usafiri wa Bodaboda. Mchungaji...
2 Reactions
48 Replies
2K Views
Mtu akifanya jambo jema ni heri kumshukuru. Mbowe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia, historia itawakumbuka daima hapa Tanzania na dunia kwa ujumla. Mmeliunganisha taifa la...
5 Reactions
12 Replies
609 Views
Kuna watu wengi(wafanyabiashara na wafanyakazi) wananununua bodaboda na kwawakabidhi vijana kwa mkataba ambao huwaletea makusanyo kila siku au kila wiki. Hawa hawawezi kukubaliana na Lema kamwe...
3 Reactions
4 Replies
413 Views
Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki...
10 Reactions
77 Replies
3K Views
Mbunge wa Viti Maalum Vijana Kusini Unguja Latifa Juwakali alishiriki halfla ya Uzinduzi wa ugawaji wa sare za Skuli kwa watoto wenye mahitaji Maalum katika Skuli ya Uzini, Wilaya ya Kati, Kusini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUNA mambo yanafanyika nchi ambayo unaweza kuyakuta katika Banana Republic tu au "nchi ya kusadikika" isiyojali wala kuzingatia haki na misingi ya kisheria. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
BODABODA ni jina maarufu lililozoeleka nchini Tanzania likimaanisha ni Dereva anayeendesha chombo cha moto aina ya Pikipiki, ambapo kwa siku za nyuma iliaminika ni usafiri ambao anaweza kutumia...
0 Reactions
2 Replies
533 Views
Taarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi ...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Leo hii saa 8 Mchana, Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itatolea uamuzi Mapingamizi yaliyowekwa na Mawakili wa Chadema dhidi ya waliotimuliwa kwenye chama hicho wanaoongozwa na Halima Mdee ...
30 Reactions
315 Replies
28K Views
Wakuu, Askofu mkuu Jimbo Katoliki la Dar es Salaam anaongea na waandishi wa habari juu ya Pugu Marathoni lakini pia amegusia swala la maadili ya jamii. Amesema amefurahishwa na kauli dhabiti ya...
21 Reactions
209 Replies
10K Views
Wala haina ubishi, kila kitu kipo wazi kwa sasa, CHADEMA nawapongeza kwa hii style mliyokuja nayo, hata kule Kenya, kuitoa KANU wapinzani walishika urafiki nao na kujua siri zao zote. Hakukuwa na...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Ni jambo la kheri kuwa CHADEMA itakuwa na ugeni mkubwa kesho. Uthibitisho thabiti kuwa upinzani siyo jinai tena. Pongezi nyingi kwa Mama Samia Rais wetu kwa hili. Hivyo basi itumike fursa hii...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Rais wetu wa awamu ya 5, Dkt Magufuli alishafariki, hatuko naye tena. Hasikii, haoni tena. Amerudi mavumbini. Mtu amefariki tarehe 17/3/2021 lakini hadi leo kuna watu wanamsema vibaya...
2 Reactions
17 Replies
795 Views
MBUNGE MHE. AMINA MZEE AMESHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA CHIPUKIZI WILAYA YA MICHEWENI Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Amina Ali Mzee ameshiriki Maadhimisho ya wiki ya Chipukizi Wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Amefunguka 👇 ==== Alichokisema Hamis Kigwangalla katika majadiliano ClubHouse Mbunge wa Jimbo la Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amezungumza kwenye majadiliano ya Clubhouse na kuelezea...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao...
11 Reactions
73 Replies
3K Views
Miongo mitatu sasa, lugha inayongumzwa na wapinzani ni kufa kwa CCM, lakini mpaka ukimuuliza yeyote akuambie kitatokea lini na wapi au kitasababishwa na nini, hakuna mwenye uhakika. Wengine...
2 Reactions
12 Replies
832 Views
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au...
18 Reactions
93 Replies
8K Views
Naenda moja kwa moja kwenye hoja ya msingi, Hivi umejaribu kutumia hata dakika tano kumsikiliza huyu jamaa anaitwa Ezekia Wenje Mbunge Mstaafu wa CHADEMA wa jimbo moja huko Mwanza, jamaaa anajua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Uchaguzi wa mwaka 2025 hauko mbali, ni wakati sasa vyama vikaanza kuandaa ajenda au ilani kama wengine wanavyopenda kuita. Katika hizo ilani zao haya yasikosekane ajira nzuri za heshima/"Decent...
0 Reactions
2 Replies
565 Views
Back
Top Bottom