Upelelezi kesi ya Sabaya bado
Jumatano, Oktoba 12, 2022
Muktasari:
Wakati aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya akiendelea kusota mahabusu kwa siku 132 sasa tangu afikishwe...
Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huu uliopita.
Makamu huyo nguli wa sheria na...
Serikali imejaa ujanja yaani unataka msomi wa degree umgeuze msukule eti awe mchuuzi?
Hizi rasilimali tulizonazo zinabidi. Kulisaidia Taifa kwa watu wote .
Hizo Kazi za bodaboda wapeni watoto...
Ndugu zangu watanzania,
Watanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa, Dini zao, makabila Yao, Kanda zao, jinsia zao,Rika zao, Elimu zao Na vipato vyaao Wameonyesha kuridhishwa na utendaji kazi...
SWALI tajwa lahusika. Tupo hapa masaa machache RC anamaliza kukagua mradi wa MAJENGO usiku wa saa 2 kasoro usiku.
Je, kama zipo kasoro katika MIRADI hiyo au MAJENGO.
Je, zitabainika kweli au...
Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka...
Yaani hawa wanaChadema waliogwuza bunge ndio iwe msaada kwa Watanzania?
Acheni kudanganya umma bana. Mbona akina Njelu kasaka na wenzao waliweza kuikosao na kuisimamia serikali wakati wa chama...
Viongozi wa CCM acheni kuwadanganya vijana wetu kuwa kuendesha bodaboda ni kazi kama kazi nyingine.
Mbona watoto wenu haweendeshi bodaboda?
Kiongozi yupi ambaye mwanaye ni dereva bodaboda...
Tumeshuhudia katika ziara anayoendelea kuifanya Rais Magufuli, akiwazodoa na kuwakejeli kupita kiasi wabunge wa upinzani wa Chadema!
Nimekuwa nikijiuliza hivi ina maana gani kwa Katiba yetu ya...
Ndugu watanzania bei ya mahindi mwisho wa Feb 2023 ilikua kwa jumla 1, 120 kwa Dar Es Salaam lakini bei ya leo 6 March 23 yamepanda kufikia 1, 330 kwa kilo moja.
Ongezeko hili ni hatari kubwa kwa...
Tanzania ni moja ya nchi Duniani zenye upungufu mkubwa wa Wanasayansi.
Toka tupate Uhuru mwaka 1961 Serikali zilizopita zimekuwa zikijitahidi kuweka Sera, mikakati na jitihada mbali mbali ili...
Wadau, amani iwe kwenu.
Kama kuna kitu ambacho CHADEMA wamekosea sana ni kuanza harakati za kupambana na kiongozi, kipenzi cha Watanzania, Rais John Pombe Joseph Magufuli. Nasema CHADEMA...
Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama ccm na serikali ni wazi rais ana wakati mgumu kiuongozi.
Kauli yake kuwa mambo ya vyama weka kando na tufanye kazi ni kauli ya maandalizi ya mageuzi ambayo...
Wakuu habarini,
Tayari tupo makao makuu ya chama cha ACT WAZALENDO tunamsubili Kiongozi wa chama hicho Zitto Zuberi kabwe.
Waandishi wamejitokeza wengi kweli kweli.
Viongozi wa chama wanaendelea...
Ubunifu ni muhimu sana kwa nchi. Ushauri wangu huu ni serious sana kuliko watu nwengi wanavyofikiria.
Mimi ni diaspora hapa USA naona jinsi ambavyo kazi nyingi za technolojia zinafanywa kutokea...
Kwa muda mchache nimefuatilia siasa za JPM, na tafsiri ya moja kwa moja ni kwamba anaonekana kukwerwa kwa urahisi anapokosolewa, na amekuwa ana react excessively pale anapokosolewa kwa kiwango cha...
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani.
Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka...
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiagana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar...
naona kama unatumia nguvu nyingi na upendeleo wa wazi kabisa ambao hauitaji mtu afike chuo kikuu kutambua hilo, mfano umepiga marufuku kwa mtu asiye mbunge ,au diwani kuitisha mkutano jimboni...
Rais Magufuli kuendelea kukaa kimya wakati wapinzani wanapofanyiwa vitendo vya kikatili, inatengeneza picha hizi.
1: Unaridhika na kufurahishwa na vitendo hivi juu ya viongozi wa vyama pinzani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.