Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nionavyo Mimi, Kweli mpango ulikuwa ni mzuri kusaidia kaya masikini. Lakini kwa Hali inavyoendelea kama kuna pesa zimeliwa nchi hii basi ni hizi za TASAF. Zimeliwa kweli. Lakini hapa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
MBUNGE JANEJELLY NTATE AWAOMBA WANANCHI KUWA WALINZI WA MIRADI YA MAJI INAYOZINDULIWA KIPINDI HIKI CHA MBIO ZA MWENGE Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha Wafanyakazi Nchini anayetokea Mkoa wa...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Tulitegemea kwamba wale walioumiza wengine wachukuliwe hatua kwa mjibu wa sheria, au hata kuomba msamaha hadharani lkn ni tofauti ndio kwanza wanapandishwa vyeo. Tulitegemea kwamba wale...
1 Reactions
3 Replies
565 Views
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Jokate Mwegelo ameandaa mbio za Mama Wajawazito wilayani Korogwe zilizopewa jina “#MAMATHON’. Mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika Jumapili ya Mei 28 mwaka huu lengo...
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Nimesikiliza hizi clips mbili,Sound clip pamoja na video clip ya Mwanafamilia! Kwa kutaka kulianzisha mnalolitaka!Ni wazi kuna ka asili ka visasi ndani ya ukoo ,na nimekuja na tafsiri moja tu...
17 Reactions
62 Replies
5K Views
Chadema kuna maigizo wanaendelea, na wakiendelea kuigiza kuwa hawaoni hili tatizo la msingi, natabiri kuwa kabla ya mwaka 2025 "CHADEMA ITAGAWANYIKA", .....stay with me Martin na Malcom: Kisa cha...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hawa wakichangia jambo bungeni unaona wanafahamu nini maana ya kuwa mbunge na uzito wa jukumu walilo nalo kwa taifa linalowahudimia kwa kodi za raia wavuja jasho. Wanakuwa wamesoma na kujiandaa...
5 Reactions
10 Replies
847 Views
Chadema na mihemko yenu mnakumbushwa msije kutuletea hasara kama Nchi kadhaa za jirani ===== Mwanasiasa mkongwe nchini Balozi Getrude Mongella, ameshauri Katiba iliyoundwa na waasisi wa Taifa...
2 Reactions
11 Replies
906 Views
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema katika Katika Katiba Mpya wanataka Viongozi wawe wanapatikana kihalali kwa kupigiwa kura na kushinda bila mizengwe Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwenyekiti wa...
2 Reactions
3 Replies
462 Views
Zambia wana upungufu wa Chakula na kwa sasa hawaruhusu Nafaka kutoka nje ya mipaka ya nchi yao hii ni ili kulianda Walaji wa ndani, kwa hio ni kwamba Mahindi ya Wakulima wa Zambia ni ya Umma...
9 Reactions
56 Replies
4K Views
Ndugu zangu, kutokana na usiri na harufu ya ufisadi kwenye mradi wa kilimo wa BBT nimelazimika kumuandikia barua waziri wa kilimo na kumpa siku 30 za kuweka wazi kwa umma taarifa na mchanganuo wa...
16 Reactions
106 Replies
7K Views
Ndani ya wiki hii kumekuwa na matukio mawili ya kushtusha ndani ya Kijitonyama yote yakihusiana na majengo aina ya ghorofa ambapo moja limepelekea kifo cha MC Joel kwa kujirusha toka ghrofa ya...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au...
19 Reactions
159 Replies
23K Views
Rais Samia serikali yake haipendi viongozi wanaotatua matatizo ya wananchi? Kwa nini kila kiongozi active kutatua shida za wananchi na kulinda masilahi ya nchi anatenguliwa alafu wale wasiotatua...
16 Reactions
62 Replies
4K Views
Mbowe anaweza kusema Rais Samia anafanya kazi nzuri sana: amejenga baarabara hapa na pale na pale. Lissu anaweza kusema Rais Samia ana matatizo makubwa sana; pale na pale na pale bado hajajenga...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kile chama pekee cha siasa nchini Tanzania chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara, baada ya kumaliza ziara yake Mkoa wa Kigoma kwa mafanikio ya kutukuka...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii stori Ina ukweli ndani yake,yaani Waziri yoyote bajeti yake ikipita tu Bungeni, ufanya sherehe Sasa najiuliza nani anae staihli kufuraia kupitishwa Kwa bajeti Bungeni? Ni Waziri na watumishi...
1 Reactions
2 Replies
437 Views
TUNAPOELEKEA sio pazuri,wala sio sahihi na hapawezi kuwa salama kama taifa! Kama tunajisifu kuwa na serikali sikivu,basi na ituonyeshe huo usikivu kabla mambo hayajaharibika zaidi. Wale wenye...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom