Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Upelelezi kesi ya Sabaya bado Jumatano, Oktoba 12, 2022 Muktasari: Wakati aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya akiendelea kusota mahabusu kwa siku 132 sasa tangu afikishwe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti Mh Tundu Lissu akiwa katika mtandao wa Club house ameweka wazi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeanza kupokea Ruzuku Mwezi huu uliopita. Makamu huyo nguli wa sheria na...
16 Reactions
209 Replies
13K Views
Serikali imejaa ujanja yaani unataka msomi wa degree umgeuze msukule eti awe mchuuzi? Hizi rasilimali tulizonazo zinabidi. Kulisaidia Taifa kwa watu wote . Hizo Kazi za bodaboda wapeni watoto...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Ndugu zangu watanzania, Watanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa, Dini zao, makabila Yao, Kanda zao, jinsia zao,Rika zao, Elimu zao Na vipato vyaao Wameonyesha kuridhishwa na utendaji kazi...
0 Reactions
8 Replies
527 Views
SWALI tajwa lahusika. Tupo hapa masaa machache RC anamaliza kukagua mradi wa MAJENGO usiku wa saa 2 kasoro usiku. Je, kama zipo kasoro katika MIRADI hiyo au MAJENGO. Je, zitabainika kweli au...
0 Reactions
11 Replies
828 Views
Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka...
4 Reactions
63 Replies
6K Views
Yaani hawa wanaChadema waliogwuza bunge ndio iwe msaada kwa Watanzania? Acheni kudanganya umma bana. Mbona akina Njelu kasaka na wenzao waliweza kuikosao na kuisimamia serikali wakati wa chama...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Viongozi wa CCM acheni kuwadanganya vijana wetu kuwa kuendesha bodaboda ni kazi kama kazi nyingine. Mbona watoto wenu haweendeshi bodaboda? Kiongozi yupi ambaye mwanaye ni dereva bodaboda...
34 Reactions
142 Replies
7K Views
Tumeshuhudia katika ziara anayoendelea kuifanya Rais Magufuli, akiwazodoa na kuwakejeli kupita kiasi wabunge wa upinzani wa Chadema! Nimekuwa nikijiuliza hivi ina maana gani kwa Katiba yetu ya...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Ndugu watanzania bei ya mahindi mwisho wa Feb 2023 ilikua kwa jumla 1, 120 kwa Dar Es Salaam lakini bei ya leo 6 March 23 yamepanda kufikia 1, 330 kwa kilo moja. Ongezeko hili ni hatari kubwa kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tanzania ni moja ya nchi Duniani zenye upungufu mkubwa wa Wanasayansi. Toka tupate Uhuru mwaka 1961 Serikali zilizopita zimekuwa zikijitahidi kuweka Sera, mikakati na jitihada mbali mbali ili...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Kama kuna kitu ambacho CHADEMA wamekosea sana ni kuanza harakati za kupambana na kiongozi, kipenzi cha Watanzania, Rais John Pombe Joseph Magufuli. Nasema CHADEMA...
11 Reactions
90 Replies
7K Views
Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama ccm na serikali ni wazi rais ana wakati mgumu kiuongozi. Kauli yake kuwa mambo ya vyama weka kando na tufanye kazi ni kauli ya maandalizi ya mageuzi ambayo...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habarini, Tayari tupo makao makuu ya chama cha ACT WAZALENDO tunamsubili Kiongozi wa chama hicho Zitto Zuberi kabwe. Waandishi wamejitokeza wengi kweli kweli. Viongozi wa chama wanaendelea...
35 Reactions
382 Replies
60K Views
Ubunifu ni muhimu sana kwa nchi. Ushauri wangu huu ni serious sana kuliko watu nwengi wanavyofikiria. Mimi ni diaspora hapa USA naona jinsi ambavyo kazi nyingi za technolojia zinafanywa kutokea...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa muda mchache nimefuatilia siasa za JPM, na tafsiri ya moja kwa moja ni kwamba anaonekana kukwerwa kwa urahisi anapokosolewa, na amekuwa ana react excessively pale anapokosolewa kwa kiwango cha...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni miezi michache tu toka Hayati Magufuli afariki lakini historia yake huwezi kuandika bila mabaya aliyowafanyia raia wake kwasababu tu ni wapinzani. Naona kwa mwendo huu wa Polisi wanampeleka...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli akiagana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar...
25 Reactions
341 Replies
41K Views
naona kama unatumia nguvu nyingi na upendeleo wa wazi kabisa ambao hauitaji mtu afike chuo kikuu kutambua hilo, mfano umepiga marufuku kwa mtu asiye mbunge ,au diwani kuitisha mkutano jimboni...
9 Reactions
26 Replies
3K Views
Rais Magufuli kuendelea kukaa kimya wakati wapinzani wanapofanyiwa vitendo vya kikatili, inatengeneza picha hizi. 1: Unaridhika na kufurahishwa na vitendo hivi juu ya viongozi wa vyama pinzani na...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom