johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema katika Katika Katiba Mpya wanataka Viongozi wawe wanapatikana kihalali kwa kupigiwa kura na kushinda bila mizengwe
Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwenyekiti wa Kijiji, Diwani, Mbunge au Rais anayepatikana kwa Kura za Wizi huyo ni Mwizi kama Mwizi wa Kuku, amesisitiza mzee Mbowe
Source: Mwanzo tv
Mwenyekiti wa Kitongoji, Mwenyekiti wa Kijiji, Diwani, Mbunge au Rais anayepatikana kwa Kura za Wizi huyo ni Mwizi kama Mwizi wa Kuku, amesisitiza mzee Mbowe
Source: Mwanzo tv