SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 454
- 1,273
Zambia wana upungufu wa Chakula na kwa sasa hawaruhusu Nafaka kutoka nje ya mipaka ya nchi yao hii ni ili kulianda Walaji wa ndani, kwa hio ni kwamba Mahindi ya Wakulima wa Zambia ni ya Umma?
Linapo kuja swala la Usalama wa Chakula hakuna cha hii ni mali private wala nini, huwa kinacho angaliwa ni usalama, ndio maana nchi kubwa kama India huwa wanapiga ban kuuza ngano nje, nchi za Asia kuna wakati huzuia uuzwaji nje wa nafaka ili kulinda walaji.
Kwa sasa Tanzania Wakenya wanazunguka na Gari zao zenye number za Kenya yumba kwa nyumba kununua mahindi na Mpunga, Hakuna nchi yoyote ina huu utaratibu wa Foreigners kuruhusiwa kuzunguka nyumba kwa nyuma huu utaratibu uko kwa nchi ya Vilaza tu.
Hali ya Chakula sio nzuri kabisa mwaka huu na huenda ikawa mbaya sana kuliko hata mwaka jana na still Bashe anakuambia tunajitosheleza kwa chakula kwa asilimia , 100+
Zambia wanahofia inaweza tokea ghasia endapo bei ya chakula itapanda sana, Sema Tanzania sisi Mazezeta hata kikipanda namna gani hakuna wa kupanua mdomo.
Na kumbuka ni jukumu la Serikali kulisha raia wake, ni jukumu.
Linapo kuja swala la Usalama wa Chakula hakuna cha hii ni mali private wala nini, huwa kinacho angaliwa ni usalama, ndio maana nchi kubwa kama India huwa wanapiga ban kuuza ngano nje, nchi za Asia kuna wakati huzuia uuzwaji nje wa nafaka ili kulinda walaji.
Kwa sasa Tanzania Wakenya wanazunguka na Gari zao zenye number za Kenya yumba kwa nyumba kununua mahindi na Mpunga, Hakuna nchi yoyote ina huu utaratibu wa Foreigners kuruhusiwa kuzunguka nyumba kwa nyuma huu utaratibu uko kwa nchi ya Vilaza tu.
Hali ya Chakula sio nzuri kabisa mwaka huu na huenda ikawa mbaya sana kuliko hata mwaka jana na still Bashe anakuambia tunajitosheleza kwa chakula kwa asilimia , 100+
Zambia wanahofia inaweza tokea ghasia endapo bei ya chakula itapanda sana, Sema Tanzania sisi Mazezeta hata kikipanda namna gani hakuna wa kupanua mdomo.
Na kumbuka ni jukumu la Serikali kulisha raia wake, ni jukumu.