Kesi ya kina Mbowe: Kibatala amuweka kwenye kona Mkuu wa Upelelezi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,208
103,785
Sehemu ya mahojiano ya Wakili Msomi Peter Kibatala na Mkuu wa upelelezi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, SSP Gerald Ngichi kuhusu kesi nambari 112 ya Mwaka 2018 inayowahusu Freeman Mbowe na wenzake.

KIBATALA: Umesema Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?

SSP Ngichi: Siwafahamu.

KIBATALA: Sasa uliwezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wake?

SSP Ngichi: Walikuwa wakimsaidia

KIBATALA: Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake?

SSP Ngichi: Kimya.

KIBATALA: Mbowe alisema hatupaswi kuona kawaida wenzetu kunyongwa hadi kuuawa. Je unajua alikua anamaanisha nini?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: kimya

KIBATALA: Umesema Mbowe alisema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tugeuzwe mandondocha. Je kuna tatizo gani kwenye maneno hayo?

SSP Ngichi: Huo ni uchochezi

KIBATALA: Wewe ni mwanaume au mwanamke?

SSP Ngichi: Mwanaume?

KIBATALA: Je uko tayari kugeuzwa ndondocha?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: Kimya

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu. Je ni kweli au si kweli?

SSP Ngichi: Sifahamu

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Mugabe aling'olewa madarakani. Je ni kweli Mugabe aling'olewa au hakung'olewa?

SSP Ngichi: Sijui

KIBATALA: Unawezaje kufungua mashtaka kwa mambo ambayo hata wewe hujui?

SSP Ngichi: Sifuatilii vyombo vya habari.

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Maneno hayo yana shida gani?

SSP Ngichi: Magufuli sio mwepesi kama karatasi

KIBATALA: Wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?

SSP Ngichi: Magufuli yupi?

KIBATALA: Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka

SSP Ngichi: Simjui

KIBATALA: Kwahiyo kwenye hati ya mashtaka mmeandika watu msiowafahamu?

SSP Ngichi: Aulizwe askari aliyeandika hiyo hati

KIBATALA: Kama wewe humfahamu kwanini unakataa kuwa si mwepesi kama karatasi?

SSP Ngichi: Kimya
 
Sehemu ya mahojiano ya Wakili Msomi Peter Kibatala na Mkuu wa upelelezi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, SSP Gerald Ngichi kuhusu kesi nambari 112 ya Mwaka 2018 inayowahusu Freeman Mbowe na wenzake.

KIBATALA: Umesema Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?

SSP Ngichi: Siwafahamu.

KIBATALA: Sasa uliwezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wake?

SSP Ngichi: Walikuwa wakimsaidia

KIBATALA: Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake?

SSP Ngichi: Kimya.

KIBATALA: Mbowe alisema hatupaswi kuona kawaida wenzetu kunyongwa hadi kuuawa. Je unajua alikua anamaanisha nini?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: kimya

KIBATALA: Umesema Mbowe alisema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tugeuzwe mandondocha. Je kuna tatizo gani kwenye maneno hayo?

SSP Ngichi: Huo ni uchochezi

KIBATALA: Wewe ni mwanaume au mwanamke?

SSP Ngichi: Mwanaume?

KIBATALA: Je uko tayari kugeuzwa ndondocha?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: Kimya

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu. Je ni kweli au si kweli?

SSP Ngichi: Sifahamu

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Mugabe aling'olewa madarakani. Je ni kweli Mugabe aling'olewa au hakung'olewa?

SSP Ngichi: Sijui

KIBATALA: Unawezaje kufungua mashtaka kwa mambo ambayo hata wewe hujui?

SSP Ngichi: Sifuatilii vyombo vya habari.

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Maneno hayo yana shida gani?

SSP Ngichi: Magufuli sio mwepesi kama karatasi

KIBATALA: Wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?

SSP Ngichi: Magufuli yupi?

KIBATALA: Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka

SSP Ngichi: Simjui

KIBATALA: Kwahiyo kwenye hati ya mashtaka mmeandika watu msiowafahamu?

SSP Ngichi: Aulizwe askari aliyeandika hiyo hati

KIBATALA: Kama wewe humfahamu kwanini unakataa kuwa si mwepesi kama karatasi?

SSP Ngichi: Kimya
Ha ha ha!!! Huyu ndiyo Kibatala.
 
Akili ndogo KAMWE haiwezi kushinda akili kubwa.

Alutta!

Sehemu ya mahojiano ya Wakili Msomi Peter Kibatala na Mkuu wa upelelezi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, SSP Gerald Ngichi kuhusu kesi nambari 112 ya Mwaka 2018 inayowahusu Freeman Mbowe na wenzake.

KIBATALA: Umesema Freeman Mbowe aliondolewa kwenye Mkutano na walinzi wake?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Unawajua walinzi wa Mbowe?

SSP Ngichi: Siwafahamu.

KIBATALA: Sasa uliwezaje kuwatambua kuwa ni walinzi wake?

SSP Ngichi: Walikuwa wakimsaidia

KIBATALA: Kwahiyo kila anayemsaidia Mbowe ni mlinzi wake?

SSP Ngichi: Kimya.

KIBATALA: Mbowe alisema hatupaswi kuona kawaida wenzetu kunyongwa hadi kuuawa. Je unajua alikua anamaanisha nini?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: kimya

KIBATALA: Umesema Mbowe alisema kuwa haiwezekani wanaume wazima kama sisi tugeuzwe mandondocha. Je kuna tatizo gani kwenye maneno hayo?

SSP Ngichi: Huo ni uchochezi

KIBATALA: Wewe ni mwanaume au mwanamke?

SSP Ngichi: Mwanaume?

KIBATALA: Je uko tayari kugeuzwa ndondocha?

SSP Ngichi: Hapana

KIBATALA: Kwahiyo Mbowe yupo sahihi?

SSP Ngichi: Kimya

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Jacob Zuma alilazimishwa kujiuzulu. Je ni kweli au si kweli?

SSP Ngichi: Sifahamu

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Mugabe aling'olewa madarakani. Je ni kweli Mugabe aling'olewa au hakung'olewa?

SSP Ngichi: Sijui

KIBATALA: Unawezaje kufungua mashtaka kwa mambo ambayo hata wewe hujui?

SSP Ngichi: Sifuatilii vyombo vya habari.

KIBATALA: Unadai Mbowe alisema Rais Magufuli ni Mwepesi kama Karatasi?

SSP Ngichi: Ndio

KIBATALA: Maneno hayo yana shida gani?

SSP Ngichi: Magufuli sio mwepesi kama karatasi

KIBATALA: Wewe unaufahamu uzito wa Magufuli?

SSP Ngichi: Magufuli yupi?

KIBATALA: Magufuli aliyeandikwa kwenye hati ya Mashtaka

SSP Ngichi: Simjui

KIBATALA: Kwahiyo kwenye hati ya mashtaka mmeandika watu msiowafahamu?

SSP Ngichi: Aulizwe askari aliyeandika hiyo hati

KIBATALA: Kama wewe humfahamu kwanini unakataa kuwa si mwepesi kama karatasi?

SSP Ngichi: Kimya
 
Back
Top Bottom