Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

MtuHabari

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
321
Reaction score
1,020
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
 
Huyo anayeongea anaonekana ana shida na Musiba ndio maana anamuita muhuni..angekuwa huyo bwana muhuni basi Membe asingekufa na wala wala maaskofu wasingetumwa kwa Membe kumuambia asamehe.
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Mzee Ngurumo kumbe alikuwa rafiki wa Membe?Kwa hiyo Membe ndio alimtuma aandike kitabu?Kumbe Mzee Ngurumo JPM alipokufa ulifurahi sana.Lakin Membe unasikitika sana.Mzee Ngurumo ,Tulia sindano ikuuingie vizuri.
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe

Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
 
Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.

Wapo wanaosema pia kwamba huyo wa awamu ya5 alisababishiwa
Mambo mengine tumwachie aliyetuumba tuu
 
Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
Ukimsikiliza wewe inatosha

Wazuri hawafi
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


nawe kaache mambo ya uganga wa kienyeji, katafute kazi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom