Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,302
- 9,809
Wanabodi ngoja leo nideclare interest mnajua Mimi ni CCM Damu yani ukichanja damu yangu ni CCM tu.
Lakini sasa CCM wamegusa maslai yangu tena inaniuma [emoji22][emoji22] Sana nilikuwa Tu nasikia Kwa watu unaweza ukadhulumiwa haki yako.
Miaka ya nyuma nilinunua mashamba sehemu cha ajabu na kinachonisikitisha Serikali ya CCM wanayataka Kwa nguvu wameweka na Wanajeshi pale wanajenga fensi kweli?
Na Hilo eneo Spika Tulia anajua na hayo mashamba ni ya wananchi na tulirudishiwa mbele ya Spika Tulia na waziri wa Ardhi wa kipindi hicho Lukuvi.
Saivi huyu Bashe anayataka kaanza kujenga wigo bila mawasiliano na wenye maeneo. Hayo mashamba tunalima toka 1974.
Nimeumia sana sana kuanzia Leo hiyo CCM imeniudhi Sana Sana mpaka nimeukumbuka wimbo wa Roma wa Maandazi na CCM.
Uchaguzi ujao Nachagua Andazi.
Lakini sasa CCM wamegusa maslai yangu tena inaniuma [emoji22][emoji22] Sana nilikuwa Tu nasikia Kwa watu unaweza ukadhulumiwa haki yako.
Miaka ya nyuma nilinunua mashamba sehemu cha ajabu na kinachonisikitisha Serikali ya CCM wanayataka Kwa nguvu wameweka na Wanajeshi pale wanajenga fensi kweli?
Na Hilo eneo Spika Tulia anajua na hayo mashamba ni ya wananchi na tulirudishiwa mbele ya Spika Tulia na waziri wa Ardhi wa kipindi hicho Lukuvi.
Saivi huyu Bashe anayataka kaanza kujenga wigo bila mawasiliano na wenye maeneo. Hayo mashamba tunalima toka 1974.
Nimeumia sana sana kuanzia Leo hiyo CCM imeniudhi Sana Sana mpaka nimeukumbuka wimbo wa Roma wa Maandazi na CCM.
Uchaguzi ujao Nachagua Andazi.