johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,133
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Raha ya Kuuzwa Nchi ni hata wale Wanaoiuza Wanajiuza Wao na Vizazi vyao na wote wanakuwa Watumwa na inakuwa Harusi kwa wote
Fatma amesema ola Hili la kuwakamata Watu kwa kukosoa ni Msiba kwa familia chache haikubaliki na haistahimiliki
Amesema hayo kwenye ukurasa wake wa twitter
My take; Huyu Fatma amevurugwa na nini yarabi!
Fatma amesema ola Hili la kuwakamata Watu kwa kukosoa ni Msiba kwa familia chache haikubaliki na haistahimiliki
Amesema hayo kwenye ukurasa wake wa twitter
My take; Huyu Fatma amevurugwa na nini yarabi!