johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Ni vema tukaangalia tulijikwaa wapi na wala siyo tulipoangukia.
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na watu wakakaa kimya. Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu huyu ni yeye CCM ikapiga kimya. Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya.
Leo mbegu ya kejeli na matusi ndio imeshakomaa, yaani kambale hukunjwa akiwa mbichi. Turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili.
Heri ya Mwaka Mpya!
Siasa za matusi na dharau hazijaanza leo na hata kumkejeli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna awamu aliitwa Dhaifu tena bungeni na watu wakakaa kimya. Shujaa Magufuli aliitwa Dikteta Uchwara na huyu huyu ni yeye CCM ikapiga kimya. Shujaa Magufuli akaitwa Mshamba na yule Siasa Kali wa ACT Wazalendo, CCM kimya.
Leo mbegu ya kejeli na matusi ndio imeshakomaa, yaani kambale hukunjwa akiwa mbichi. Turudi kwa Viongozi wa Dini waturekebishie hili.
Heri ya Mwaka Mpya!