Mbunge Wa Jimbo la Ndanda Cecil David Mwambe ameendelea na ziara Jimboni Ndanda.
Leo Jumanne ya tarehe 18 Julai, 2023 amefanya Mikutano Vijiji vya Mihima na Nambawala kwenye Kata ya Mpanyani kwa...
Mwaka 1964, Rais Nyerere na Karume Walipoamua kuunganisha Taifa la Zanzibar na Tanganyika, kila nchi ilipoteza katiba yake, bendera yake na Wimbo wa Taifa lake.
Wakati wa utawala wa Jakaya Mrisho...
Ndio, Uraisi ni Wadhifa nyeti Duniani kote na Raisi anapaswa kulindwa na mfumo na Sheria za Nchi akiwa ndani na hata nje ya madaraka. Lakini swali ni Je, Kinga za kisheria wanazopewa viongozi Hawa...
Waziri wa maji Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Kaimu Meneja Ruwasa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Bakari Kiwitu na kumuondoa katika mradi Mkandarasi Nangai Engineering na Contractors wa mradi wa...
Nampongeza Mhe. Rais kwa kuona umuhimu wa kuunda sub committee za kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya haki jinai
Lakini nadhani kuna jambo ambalo Mhe. Rais alipaswa kuliona; kamati...
Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.
Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na...
Nina Imani atawakubalia, mkazungumze kama watanzania.
Mpe mawazo yenu in a cordial environment and I am optimistic she will heed to your request maana mna hoja za msingi sana.
Tanzania inafanya vizuri zaidi kwa gharama za umeme kuliko nchi nyingi za EAC na SADAC na eneo lingine ni miundombinu inayozidi kuboreshwa na kuimarishwa ukiwamo ujenzi wa reli ya kisasa (SGR)...
Ndugu zanguni, kumekuwa na tetesi kwamba kuna mpango wa kupeleka Muswada Bungeni ili kufuta sheria zinazolinda Rasilimali zetu za Nchi.
Kama hii habari ni ya kweli, naomba wahusika wajiepushe...
Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Wakili Madeleka kupinga utaratibu wa plea bargaining katika kesi yake ya Uhujumu uchumi IMEAMULIWA KUFUTWA KWA UTARATIBU WA NA MASHARTI YOTE YALIYOTUMIKA KUMFANYA...
Msikilize mkurugenzi mtendaji CCK msemaji wa pili baada ya seneta. Alisoma certificate in laws udsm kabla ya kutimkia south africa 2014... wakati huo alikuwa akisakwa na vyombo vya ulinzi na...
Habari za leo wana JF!
Zamani Mwalimu Nyerere atuambia maadui wa kweli wa Nchi hii walikuwa watatu yaani ujinga, maradhi na umasikini. Lakini miaka 60 baada ya uhuru maadui wameongezeka badala ya...
Leo hii kesi moja ya kuvunja mkababa wa uchimbaji tumehukumiwa huko Ulaya tunatakiwa kulipa mabilioni, na hatujali wala hakuna anayewajibika.
Mkataba wa bandari huo tunaonywa tumekomaza shingo...
Habari jf ,
1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .
Akili kubwa siku zote huielewa...
Kwanza kabisa tumsikilize Tundu lissu kuhusu Mali za Tanzania ..
Pili, binafsi sina shaka na alichokiongea Tundu lissu kuhusu JPM .
Mwisho, kama wewe ungekuwa ndio Hayati JPM umeingia madarakani...
Ripoti mpya ya Taasisi ya Uchumi na Amani (IEP) ya mwaka 2023 toleo la 17 imetoa takwimu ya nchi zenye amani zaidi barani Afrika ambapo utafiti huo unaonesha kuwa Tanzania imeshika nafasi ya 17...
MwanaCCM akosoa mtumizi ya influencers kwenye mambo serious kama bandari.
Amekosoa matumizi.ya watu kama kina Maulid Kitenge na Steve Nyerere ambao hawana uwezo wa kujenga hoja.
Naam wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mkuu wa mkoa wa Mbeya alisikika akiwaambia wazee wa kimila kama wanaweza kuwatengeneza wanaopinga ubinafsishaji wa bandari na wafanye hivyo...
Kitu kingine nilichokiona kwenye utawala uliopita ni wananchi kukosa kabisa Uhuru, Amani , furaha na Upendo, kiasi cha kila mtu kuona mwenzake ni Adui.
Kumbe Uhuru, Upendo na Amani vinazalisha...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametangaza Siku ya Mwaka Mpya wa Kiislamu kuwa ni Sikukuu ya Kitaifa Zanzibar “Mwaka Mpya wa Kiislamu ni siku muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.