Mwaka kogwa imembeba nini kwa mizania ya kiroho?

Emanueli misalaba

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
1,111
1,658
Wana Jf Salaam , bila shaka mko poa poa na weekend hii.

Kwa mda sasa nimekua nikisikia hii sherehe ya mwaka kogwa ambayo huazimishwa huko Makunduchi,
Juzi ilibidi nimpigie simu mtu anaishi huko ili nimuombe anipe picha kamili huwa ikoje, aliniambia,
1. Kabla ya siku ya kwanza ya mwaka kogwa, wazee huchinja Mnyama kwenye mizimu yao kisha watu wenye kutaka kuchukua huwa wanaenda kwenye mzimu na kupewa nyama huko kwenye mizimu yao.
2. Kesho yake Siku ya mwaka kogwa yenyewe, huambatana na mambo mengi ikiwemo watu kuwa makundi mawili kundi la kaskazini na kundi jingine la kusini na kupigana kwa fimbo Zamani na kwa sasa hutumia migomba, kwa kuanzia asubuhi hadi around ya saa 6 adhuhuri,

3. Siku hiyo hiyo huwa kuna kibanda kimejengwa na mtu huingia ndani yake, kisha kibanda huchomwa moto na mtu aliye ndani hutakiwa atoke kwa kasi ndani yake asije kuteketea ndani yake,

4. Siku zinazofuata huwa ni kuburudika kwa mziki.

Wadau hayo ndiyo mambo ya Mwaka kogwa, nilikuwa na maswali mengi kwa huyo mkaazi wa huko Makunduchi ila alikuwa mengine hawezi kunijibu.
Wajuvi na wabobevu wa mambo ndugu zangu Mshana Jr, Shimba ya Buyenze, Rakim, TumainiEl, Herbalist Dr MziziMkavu, Robert Heriel Mtibeli nk
Mwaka kogwa upi uono wenu kwa radar ya kiroho?
Kwa darubini ya imani hili jambo limebeba nini nyuma ya pazia?
Vipi ambaye anamwamini Mungu mmoja na mtume wake (s.a w) kisawasawa akishiriki kwenye sherehe hizi hapati hatia nafsini mwake?
Baadhi ya viongozi wa serikali kushiriki hii sherehe je jambo hili ni jambo ambalo laweza kuleta faida au hasara za kiroho kwa taifa lote au ni kwa eneo husika tu?
Natanguliza shukurani nyingi saaaaaaana asanteeeeen"
 
Sherehe hizo ni za kimila, na zilianza kabla ya kuingia kwa dini. Hivyo basi si za kiroho na Kama u muumini mzuri wa dini yako hazina maana yoyote kwako.
 
Sherehe hizo ni za kimila, na zilianza kabla ya kuingia kwa dini. Hivyo basi si za kiroho na Kama u muumini mzuri wa dini yako hazina maana yoyote kwako.
Kibunango asante sana kwa majibu ila naomba kukuuliza ndugu yangu, hii ni sherehe ya jamii ya watu wa Makunduchi ambao ni Waislamu safi kwa sasa na wameendelea na mila yao huo, kuna jamii nyingine za Watu wa Jambiani, Chwaka, Kizimzika Nungwi, Matemwe, Tumbatu nk nk, vipi hawa hawakuwa na mila zao?
Au mila zao waliachana nazo wakaamua kushika dini kwa uthabiti?
 
Wana Jf Salaam , bila shaka mko poa poa na weekend hii.

Kwa mda sasa nimekua nikisikia hii sherehe ya mwaka kogwa ambayo huazimishwa huko Makunduchi,
Juzi ilibidi nimpigie simu mtu anaishi huko ili nimuombe anipe picha kamili huwa ikoje, aliniambia,
1. Kabla ya siku ya kwanza ya mwaka kogwa, wazee huchinja Mnyama kwenye mizimu yao kisha watu wenye kutaka kuchukua huwa wanaenda kwenye mzimu na kupewa nyama huko kwenye mizimu yao.
2. Kesho yake Siku ya mwaka kogwa yenyewe, huambatana na mambo mengi ikiwemo watu kuwa makundi mawili kundi la kaskazini na kundi jingine la kusini na kupigana kwa fimbo Zamani na kwa sasa hutumia migomba, kwa kuanzia asubuhi hadi around ya saa 6 adhuhuri,

3. Siku hiyo hiyo huwa kuna kibanda kimejengwa na mtu huingia ndani yake, kisha kibanda huchomwa moto na mtu aliye ndani hutakiwa atoke kwa kasi ndani yake asije kuteketea ndani yake,

4. Siku zinazofuata huwa ni kuburudika kwa mziki.

Wadau hayo ndiyo mambo ya Mwaka kogwa, nilikuwa na maswali mengi kwa huyo mkaazi wa huko Makunduchi ila alikuwa mengine hawezi kunijibu.
Wajuvi na wabobevu wa mambo ndugu zangu Mshana Jr, Shimba ya Buyenze, Rakim, TumainiEl, Herbalist Dr MziziMkavu, Robert Heriel Mtibeli nk
Mwaka kogwa upi uono wenu kwa radar ya kiroho?
Kwa darubini ya imani hili jambo limebeba nini nyuma ya pazia?
Vipi ambaye anamwamini Mungu mmoja na mtume wake (s.a w) kisawasawa akishiriki kwenye sherehe hizi hapati hatia nafsini mwake?
Baadhi ya viongozi wa serikali kushiriki hii sherehe je jambo hili ni jambo ambalo laweza kuleta faida au hasara za kiroho kwa taifa lote au ni kwa eneo husika tu?
Natanguliza shukurani nyingi saaaaaaana asanteeeeen"
Mm subiri nikujibu kwa kadri niwezavyo

1.kwanza kuhusu hilo suala la kuchinja hawa watu wanaendekeza mambo yao ya mila potofu jpo ni waislamu ila kwenye Uislamu kuchinja kinyume na Allah si sahihi na wapata dhambi kwaio hya mambo wao wameyakuta na wanaendelea kuyafanya ila deep side they are wrong in Religion perspective


2.kuhusu kibanda kuchomwa moto
Hapa hawa watu ndo wamezidi kukufuru kwa kuiga kua Nabii Ibrahim alitiwa kwenye moto na haukumchoma na wao ndo wanaigiza hivyo ila tukija upande wa dini wanakosea sana mna wanajaribu kujifanananisha na nguvu alizonazo Muumba hali ya kua hawawezi hilo


3.katika Uislamu hizi sherehe hazipo ila watu wanajifanyia wenyewe tu.Pia iyo siku kuna maovu mengi yanayofanywa yaliyo kinyume na maadili ya Uislamu

Nb:sijawahi na Allah aniepushe kuhudhuria sehemu na sherehe kama hizo kuhusu hii sherehe alinieleza Mzee wangu kipindi hiko ni Public servant walipelekwa ila baada ya ple hakuwahi tena kwenda huko
 
Kibunango asante sana kwa majibu ila naomba kukuuliza ndugu yangu, hii ni sherehe ya jamii ya watu wa Makunduchi ambao ni Waislamu safi kwa sasa na wameendelea na mila yao huo, kuna jamii nyingine za Watu wa Jambiani, Chwaka, Kizimzika Nungwi, Matemwe, Tumbatu nk nk, vipi hawa hawakuwa na mila zao?
Au mila zao waliachana nazo wakaamua kushika dini kwa uthabiti?
Zanzibar ni ndogo na imejaa mambo ya kiukoo, kifamilia na kitaifa. Makundi haya yote hupenda kuendeleza Mila na desturi zao.

Kimsingi Zanzibar ni ya wahamiaji ambao wanajitambua kama; Arabs, Indians na Natives.

Suala lako ya Makuduchi lipo chini ya kundi la Natives , ambao wapo katika makundi makubwa mawili:- Wahadimu na Watumbatu.

Wahadimu ndio hao wote uliowataja happy juu, nao wamejigawanya katika sehemu watokazo.

Wamakuduchi wao wameenda mbali zaidi na kuanzisha lugha yao ifaninao na kiswahili. Hi ni kutokana na kutaka kujiona wao ni wakipekee.

Upekee huo ndio uliofanya kuwa na mwaka wao ambao ni tofauti na mwaka wa kiarabu, kizungu na kichina.

Kuoga mwaka ni sherehe ya mwaka mpya, ambayo wamekuwa wakiifanya pasi kujali dini. Ni taratibu tu walizojiwekea ili kujitofautisha na Wahadimu wengine.

Hivyo si Jambo la kushangaza kuona vitongoji vingi wakihudhuria sherehe hizo, kwani wana mahusiano ya asili.

Cha msingi jaribu kufanya tafiti kama Watumbatu wanathamini huo mwaka mpya.
 
Ndio nilishuhudia mwaka flani kwenye Tanzania safari channel
Kile kibanda kikichomwa moto na mtu kutoka kasi
Watu hushangilia Sana kuashiria mambo tayari

Zanzibar ni ndogo na imejaa mambo ya kiukoo, kifamilia na kitaifa. Makundi haya yote hupenda kuendeleza Mila na desturi zao.

Kimsingi Zanzibar ni ya wahamiaji ambao wanajitambua kama; Arabs, Indians na Natives.

Suala lako ya Makuduchi lipo chini ya kundi la Natives , ambao wapo katika makundi makubwa mawili:- Wahadimu na Watumbatu.

Wahadimu ndio hao wote uliowataja happy juu, nao wamejigawanya katika sehemu watokazo.

Wamakuduchi wao wameenda mbali zaidi na kuanzisha lugha yao ifaninao na kiswahili. Hi ni kutokana na kutaka kujiona wao ni wakipekee.

Upekee huo ndio uliofanya kuwa na mwaka wao ambao ni tofauti na mwaka wa kiarabu, kizungu na kichina.

Kuoga mwaka ni sherehe ya mwaka mpya, ambayo wamekuwa wakiifanya pasi kujali dini. Ni taratibu tu walizojiwekea ili kujitofautisha na Wahadimu wengine.

Hivyo si Jambo la kushangaza kuona vitongoji vingi wakihudhuria sherehe hizo, kwani wana mahusiano ya asili.

Cha msingi jaribu kufanya tafiti kama Watumbatu wanathamini huo mwaka mpya.
Mkuu Kibunango Asante sana ndugu yangu kwa darsa hili kwangu,
 
Mm subiri nikujibu kwa kadri niwezavyo

1.kwanza kuhusu hilo suala la kuchinja hawa watu wanaendekeza mambo yao ya mila potofu jpo ni waislamu ila kwenye Uislamu kuchinja kinyume na Allah si sahihi na wapata dhambi kwaio hya mambo wao wameyakuta na wanaendelea kuyafanya ila deep side they are wrong in Religion perspective


2.kuhusu kibanda kuchomwa moto
Hapa hawa watu ndo wamezidi kukufuru kwa kuiga kua Nabii Ibrahim alitiwa kwenye moto na haukumchoma na wao ndo wanaigiza hivyo ila tukija upande wa dini wanakosea sana mna wanajaribu kujifanananisha na nguvu alizonazo Muumba hali ya kua hawawezi hilo


3.katika Uislamu hizi sherehe hazipo ila watu wanajifanyia wenyewe tu.Pia iyo siku kuna maovu mengi yanayofanywa yaliyo kinyume na maadili ya Uislamu

Nb:sijawahi na Allah aniepushe kuhudhuria sehemu na sherehe kama hizo kuhusu hii sherehe alinieleza Mzee wangu kipindi hiko ni Public servant walipelekwa ila baada ya ple hakuwahi tena kwenda huko
Naam kiongozi Akhi shukurani shukurani sana ndugu.
 
Wakuu Kibunango na Akhi najiuliza sipati taswira, kwa mfano Sheikh au Ustadhi nk wa Kimakunduchi sherehe kama hizi huwa wanasheherekea kweli?

Kama hawafanyi hivyo je kwenye darsa zao huko Makunduchi wanaweza kuwa na ujasiri wa kukemea?
 
Wana Jf Salaam , bila shaka mko poa poa na weekend hii.

Kwa mda sasa nimekua nikisikia hii sherehe ya mwaka kogwa ambayo huazimishwa huko Makunduchi,
Juzi ilibidi nimpigie simu mtu anaishi huko ili nimuombe anipe picha kamili huwa ikoje, aliniambia,
1. Kabla ya siku ya kwanza ya mwaka kogwa, wazee huchinja Mnyama kwenye mizimu yao kisha watu wenye kutaka kuchukua huwa wanaenda kwenye mzimu na kupewa nyama huko kwenye mizimu yao.
2. Kesho yake Siku ya mwaka kogwa yenyewe, huambatana na mambo mengi ikiwemo watu kuwa makundi mawili kundi la kaskazini na kundi jingine la kusini na kupigana kwa fimbo Zamani na kwa sasa hutumia migomba, kwa kuanzia asubuhi hadi around ya saa 6 adhuhuri,

3. Siku hiyo hiyo huwa kuna kibanda kimejengwa na mtu huingia ndani yake, kisha kibanda huchomwa moto na mtu aliye ndani hutakiwa atoke kwa kasi ndani yake asije kuteketea ndani yake,

4. Siku zinazofuata huwa ni kuburudika kwa mziki.

Wadau hayo ndiyo mambo ya Mwaka kogwa, nilikuwa na maswali mengi kwa huyo mkaazi wa huko Makunduchi ila alikuwa mengine hawezi kunijibu.
Wajuvi na wabobevu wa mambo ndugu zangu Mshana Jr, Shimba ya Buyenze, Rakim, TumainiEl, Herbalist Dr MziziMkavu, Robert Heriel Mtibeli nk
Mwaka kogwa upi uono wenu kwa radar ya kiroho?
Kwa darubini ya imani hili jambo limebeba nini nyuma ya pazia?
Vipi ambaye anamwamini Mungu mmoja na mtume wake (s.a w) kisawasawa akishiriki kwenye sherehe hizi hapati hatia nafsini mwake?
Baadhi ya viongozi wa serikali kushiriki hii sherehe je jambo hili ni jambo ambalo laweza kuleta faida au hasara za kiroho kwa taifa lote au ni kwa eneo husika tu?
Natanguliza shukurani nyingi saaaaaaana asanteeeeen"
Naomba nikiri ya kwamba sikulifahamu hili kabla ndio nimelisoma hapa lakini vyovyote iwavyo karamu yoyote inayohusika na kuchinja hilo ni kafara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Kibunango na Akhi najiuliza sipati taswira, kwa mfano Sheikh au Ustadhi nk wa Kimakunduchi sherehe kama hizi huwa wanasheherekea kweli?

Kama hawafanyi hivyo je kwenye darsa zao huko Makunduchi wanaweza kuwa na ujasiri wa kukemea?
Mm huko makunduchi sijawahi kwenda na sitaki kwenda

Na kuhsu hilo swali lako mimi sifahamu kiukweli mna sijawahi fika
 
Back
Top Bottom