Waziri wa Fedha pamoja na wasaidizi wako nataka niwashauri kuhusu kodi ya plate number binafsi [Majina kwenye plate Namba] za vyombo vya moto (Magari) kama tunataka kuongeza mapato huduma hiyo iwe...
Ziara ya katibu itikadi uenezi na mafunzo wa CCM siyo ya kubeza. Ziara hii ni karata muhimu Sana kwa Serikali. Nimeona watu wakitoa kero ya kupoteza wenzi wao kutokana na dhuluma ya Mali zao...
Kwa tunaofuatilia mikutano ya mwenezi wa CCM ndugu Makonda, tutakubaliana kuna shida kubwa sana kwenye Jeshi la Polisi.
Kumekuwa na malalamiko ya watu kuporwa pesa na polisi, kumekuwa na shutuma...
•Lema ni mwanasiasa mzuri Sana lakini apunguze ego.
• Lema afuate protocol za interview kumpa nafasi muongoza kipindi ili mahojiano yaende Kwa mtiririko unaofaa badala ya kutaka kuongea yeye tu...
Kwa kweli suala la watu kupigwa na maafsa ardhi au kuzungushwa ni suala mtambuka sana.
Kazi konk back to back ya katibu muenezi, mjumbe wa sekretarieti cde Makonda inaibua hisia kali sana.wewe...
Habari zenu familia ya JF. Niende kwenye mada hapo juu. Naomba mwenye CV ya Mheshimiwa huyu. Kifupi ni Mbunge, jimbo sijui na ni mmoja wa wanakanati ya Bunge ya uchunguzi wa Almasi na Tanzanite...
Mkitaka Maendeleo mtu sahihi ni muhimu na lazima.
Baada ya Wana Mbeya kumkacha na kumdamp Sugu na kuamua kwenda na Dr.Tulia Ackson(PhD) ambae ni Spika wa Bunge la JMT na Rais wa Mabunge...
Umewahi kumpigia kura mgombea tofauti na wa chama chako kwa kuwa unaona ana sifa bora za kuwa kiongozi kuliko wa chamani kwako? Au unampigia yule tu aliyesimamishwa na chama chako hata kama unaona...
Salaam ndugu yangu,
Ilikuwa mwaka 2019 siku chache kabla ya Uchaguzi, Mzee mmoja aliyekuwa akigombea nafasi ya Uenyekiti alikuwa na ukaribu Mkubwa na mjomba wangu.
Mgombea huyo ilikuwa hakosi...
Mbunge wa zamani wa Arusha juu ya Makonda inafikirisha sana na kuogofya.
Nafikiri mh Lema anajiamini sana kupitiliza kwenye taifa linalo on ongozwa na ccm.
Naomba tumsikilize kwa makini alafu...
Sisi veterans tunalishauri jeshi la polisi yafuatayo.
Liache na kujitenga kutumika kisiasa
Lijitathmini utendaji na utumishi wake kama linaishi kwa mujibu wa Katiba na Sheria inayoliunda...
Kama haya mambo yanafanywa na watu wa Serikali kunyanyasa wengine basi Kuna haja ya Tume ya Kimahakama.
Kwa nini Baadhi ya Watumishi wa Umma na hasa Polisi Wanadhukumu Haki lakini hatua...
MAKONDA APOKELEWA KWA KISHINDO NA TABASAMU LENYE UPENDO KUTOKA KWA WANANCHI WA MASWA - SIMIYU
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul...
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa...
Nyuzi zangu zote huwa zinapotezwa, ukibaki huu, nauliza Mfumo ni nini?
Ni Mazingira ya kuwasaidia walalahoi wainuke au ni mazingira ya kuchukua kila cha walalahoi?
Paul Makonda, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo
Ndugu zangu Watanzania,
Fahamu ya kuwa Ndugu Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM...
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba , Viongozi wa Chadema wataongea na Waandishi wa habari wa ndani na nje ya Nchi kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu , Kinondoni , D'salaam.
Taarifa za Nyuma ya Pazia...
Citizen TV wameripoti kuwa Waziri wa Foreign wa Tanzania mh Makamba anawasiliana na Waziri Kiongozi wa Kenya mh Mudavadi kumaliza tatizo la kufungiwa Ndege za Kenya kutua Tanzania
Tuwaombee...
Hilo ndilo swali huwa najiuliza siku zote.
Wazi huwa yapo mambo mengi ambayo kwa macho ya kawaida kabisa, huhitaji Vyombo vya Dola viikemee Serikali inayoongozwa na CCM kwa kuhatarisha usalama wa...