Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
MAKONDA APOKELEWA KWA KISHINDO NA TABASAMU LENYE UPENDO KUTOKA KWA WANANCHI WA MASWA - SIMIYU
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda leo Jumatatu tarehe 29 Januari, 2024 , amepokelewa kwa kishindi na Wananchi wa Maswa walionesha tabasamu lenye upendo wa kweli kutoka kwao.
Mwenezi Makonda amewasili Mkoani Simiyu kwa ziara ya siki moja mkoani huo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya mikoa 20 Back To Back.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda leo Jumatatu tarehe 29 Januari, 2024 , amepokelewa kwa kishindi na Wananchi wa Maswa walionesha tabasamu lenye upendo wa kweli kutoka kwao.
Mwenezi Makonda amewasili Mkoani Simiyu kwa ziara ya siki moja mkoani huo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya mikoa 20 Back To Back.