iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Ziara ya katibu itikadi uenezi na mafunzo wa CCM siyo ya kubeza. Ziara hii ni karata muhimu Sana kwa Serikali. Nimeona watu wakitoa kero ya kupoteza wenzi wao kutokana na dhuluma ya Mali zao, wengine wakitekwa na kupotezwa hawajulikani walipo utadhani viongozi ngazi ya Kijiji, kata, wilaya na mkoa hawapo.
Mkoa uliovunja rekodi kwa unyanyasaji, kudhulumu wananchi, kubambikia kesi, naweza kusema ni Shinyanga.
Mkoa uliovunja rekodi kwa unyanyasaji, kudhulumu wananchi, kubambikia kesi, naweza kusema ni Shinyanga.