Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Waziri wa Fedha pamoja na wasaidizi wako nataka niwashauri kuhusu kodi ya plate number binafsi [Majina kwenye plate Namba] za vyombo vya moto (Magari) kama tunataka kuongeza mapato huduma hiyo iwe na watumiaji wengi
Ishuke iwe kwa mwezi, serikali iweke Tsh laki moja kwa mwezi [100,000] itapata Watanzania wengi sana kuliko hizo gharama za milion 5 inabaki kwa watu wachache.
Ikishuka ikawa laki moja kwa mwezi hata IST watu wataweka namba binafsi(Majina) ,wenye namba A ,B,C,D wataweka namba binafsi.
mwigulu Nchemba
Ishuke iwe kwa mwezi, serikali iweke Tsh laki moja kwa mwezi [100,000] itapata Watanzania wengi sana kuliko hizo gharama za milion 5 inabaki kwa watu wachache.
Ikishuka ikawa laki moja kwa mwezi hata IST watu wataweka namba binafsi(Majina) ,wenye namba A ,B,C,D wataweka namba binafsi.
mwigulu Nchemba