Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2023/2024
1 Reactions
2 Replies
618 Views
Uwepo wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema kwenye kambi ya Taifa Stars kule Ivory Coast kumeifanya Timu yetu kuweka Historia Mpya kwa kurudi Nyumbani na jumla ya pweinti 2 Ikumbukwe akina Tenga na...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu baadhi ya hoja zilizoibuliwa kuhusu kupanda bei kwa sukari huku akiwatahadharisha Wafanyabishara wanaotumia Wanasiasa kuishikilia bango ajenda ya kupanda kwa...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Daima nimemsifu Bashe kwa msimamo wake wa kutokuzuia wakulima kuuza mazao yao mahali popote, iwe ndani ya nchi au nje ya nchi. Kwenye hilo mpaka sasa namwunga mkono. Lakini taarifa kwamba...
28 Reactions
109 Replies
7K Views
Hatimaye imesalia siku moja kufikia 24/1/2024 ambayo ni siku ya kihistoria Tanzania. Ni siku ya mageuzi halisi. Yameandaliwa na kuratibiwa na Chadema kupinga miswada ya sheria za uchaguzi kama...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Sisi wengine ambao hatubebwi na mihemko ya kivyama bali ukweli wa nafasi, tunaona dhahiri kuwa Rais Samia kuna mambo amekosea lakini pia kuna mambo amefanya na anafanya vizuri. Lakini pia kwa...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini). Idara ambayo ni mama ya inchi kama...
12 Reactions
55 Replies
4K Views
Zote tunajua kuwa katiba yetu inamapungufu mengi. lakini sasa wewe kama mtanzania mzalendo ungepewa nafasi ya kuifanyia marekebisho ungetamani jambo gani jipya liwemo na lipi liondolewe ili Sisi...
1 Reactions
13 Replies
630 Views
Mikopo inayotolewa na hazina katika mkoa wa Tabora imejaaa rushwa na ukilitimba. Hii ipo zaidi katika Tabora manispaaa pamoja wilaya ya Uyui ambapo maafisa utumishi wako wazi kabisa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Iko wapi ACT Wazalendo? Iko wapi CUF? Iko wapi NCCR mageuzi? Kiukweli tumebakia na Chadema tu inayowakilisha Upinzani nchi nzima Chaguzi zijazo ni CCM vs Chadema, hilo halina ubishi Mlale Unono 😂
0 Reactions
3 Replies
469 Views
Wanabodi, Makala ya Jumapili ya Tarehe 22./01/2023\ Leo naendelea na sehemu ya pili ya mada ya wiki iliyopita kuhusu haki kuu mbili za kisiasa zilizotolewa na katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977, na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanabodi hi ni Makala ya Nipashe ya Jumapili ya Leo, 29 January 2023 Kwa Maslahi ya Taifa, bado inajikita kwenye Katiba yetu, Katiba ndio sheria mama, sheria nyingine yoyote yoyote inayokwenda...
7 Reactions
23 Replies
4K Views
Wanabodi Hii ni Makala ya Jumapili ya Leo Leo naendelea na ile mada ya kuhusu Haki za Kikatiba, zilizotolewa na Ibara moja ya Katiba, halafu zikaja kuporwa kwa kuchomekewa vifungu vinavyopora...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Maamuzi ya wizara ya habari kutafuta Software developers au ushirikiano toka sekta ya kibenki ni wa kupongezwa,Serikalini bado wanajikongoja sana software engineers wake ,Wale vijana waliokuwa...
1 Reactions
0 Replies
771 Views
Baada ya Mwenyekiti wa Chadema kuutangazia Umma kuwa chama chake kinategemea kufanya maandamano ya amani jijini Dar tarehe 24 mwezi huu, kama kawaida viliibuka baadhi ya vyama, wakiongozwa na...
24 Reactions
71 Replies
4K Views
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso anaeendelea na ziara ya kikazi mkoani Lindi katika kukagua na kusimamia utekelezaji wa Miradi ya Maji ameanza kwa kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Kipindi cha JK, hadi watoto wa primary waliandamana eti nao wanadai haki yao, wanavyuo, vyama pinzani, mpaka wabadini nao waliandamana kudai haki zao Inashangaza sana Nakumbuka 2013 nilikuwa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna mambo yanayogusa maisha ya wananchi ya kila dakika. Suala la mgao wa umeme, miundombinu ya maji kuharibika na kutokutengezwa kwa haraka ili kurejesha huduma, barabara mbovu, dawa hospitalini...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Friends and Our Enemies, Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...
10 Reactions
202 Replies
7K Views
Kwenye mkutano wa Makonda huko Moshi kumejetokeza kwamba Manisipaa imechukua eneo la mtu (Mhindi) na kulipima kimakosa kisha kuwauzia wananchi. Mhindi kaenda mahakamani, kashinda kesi dhidi ya...
31 Reactions
39 Replies
3K Views
Back
Top Bottom