Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.
Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.