RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Vijana endeleeni kudanganywa na Mr.dj hata hayo maandamano aliyotangaza NI kiini macho kwa kuwa mpango huo hauwezekani anataka kuaminisha wafuasi kwamba NI mpambanaji kumbe nyuma ya pazia anapiga noti kupitia chama hicho.
Niliwahi kuwaambia kwamba mbowe siyo kiongozi wa upinzani isipokuwa NI kiongozi wa kivuli cha upinzani na mkitaka kuamini Hilo hata uenyekiti hatokuja kutoka hapo kwani serikali inajuwa jinsi ya kumtumia.
Sasa vijana endeleeni na matusi , sikuhizi mdude aneshashituka anapambana kudai haki kivyake maana anajuwa viongozi wa juu wa chama ni watu wa shekeli , wakilushiwa mfupa Wana kaa kimya wakinyimwa maneno huanza kwa kishindo.
Kesho ni tarehe 24/01/2024 DJ alitangaza lakini juweni hakuna maandamano hata yeye analijuwa
Tanzania hakuna upinzani mjuwe hivo upinzani uliopo NI geresha ili kule tunapopata misaada wajue tuna mfumo wa vyama vingi.
Niliwahi kuwaambia kwamba mbowe siyo kiongozi wa upinzani isipokuwa NI kiongozi wa kivuli cha upinzani na mkitaka kuamini Hilo hata uenyekiti hatokuja kutoka hapo kwani serikali inajuwa jinsi ya kumtumia.
Sasa vijana endeleeni na matusi , sikuhizi mdude aneshashituka anapambana kudai haki kivyake maana anajuwa viongozi wa juu wa chama ni watu wa shekeli , wakilushiwa mfupa Wana kaa kimya wakinyimwa maneno huanza kwa kishindo.
Kesho ni tarehe 24/01/2024 DJ alitangaza lakini juweni hakuna maandamano hata yeye analijuwa
Tanzania hakuna upinzani mjuwe hivo upinzani uliopo NI geresha ili kule tunapopata misaada wajue tuna mfumo wa vyama vingi.