Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,184
- 11,607
Mwenyezi Mungu Abariki Mawazo, Maneno na Matendo ya waandamanahi wote,
daima yawe ya ustaarabu, utulivu, ungwana, upendo na amani tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano yenyewe.
Wasiohusika wasibughudhiwe, wasiguswe, wasilazimishwe kushiriki maandamano, wasizomewe wala kudhulumiwa chochote kilicho chao.
Msimchokoze mtu, msimbeze wala kumdhihaki mtu yeyote kwa kelele au kwa namna yeyeote ile.
Nawaombea uadilifu na weledi walinzi wote wa amani watakaosimamia usalama tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano ili kila hatua iwe ni ya amani, uhuru, uwazi na haki.
Mungu awatie nguvu sana.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu wabariki viongozi na wananchi wa Tanzania..
daima yawe ya ustaarabu, utulivu, ungwana, upendo na amani tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano yenyewe.
Wasiohusika wasibughudhiwe, wasiguswe, wasilazimishwe kushiriki maandamano, wasizomewe wala kudhulumiwa chochote kilicho chao.
Msimchokoze mtu, msimbeze wala kumdhihaki mtu yeyote kwa kelele au kwa namna yeyeote ile.
Nawaombea uadilifu na weledi walinzi wote wa amani watakaosimamia usalama tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano ili kila hatua iwe ni ya amani, uhuru, uwazi na haki.
Mungu awatie nguvu sana.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu wabariki viongozi na wananchi wa Tanzania..