Kuelekea Maandamano ya CHADEMA, Januari 24, 2024

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Wakuu kwema?

Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa mwaka 2023.

Mpaka sasa ruti ya maandano hayo imetolewa huku watu mbalimbali wakijitokeza kuunga na kupinga maandamano hayo, lakini pia na serikali ilitangaza kufanya usafi tarehe 23 na 24/1/2024 ikigusa siku moja iliyopangwa kufanywa maandamano, CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Ili tusikose matuo yanayojiri mpaka siku ya maandamano hayo kufanyika, ni vizuri tukawa na uzi utakaokuwa na updates zote, Hivyo wakuu tutumie uzi huu kupeana updates ya matukio yanayojiri na kufatilia mwendo wake mpaka siku yaliyopangwa kufanyika.

Screenshot 2024-01-24 094122.png

Lissu awasili nchini kwaajili ya maandamano

Hali ilivyo maeneo ya Buguruni Jijini Dar es Salaam ambapo Wanachama wa Chama cha Demokrasia ...jpeg
maandamano.jpeg
 

Attachments

  • Hali ilivyo maeneo ya Buguruni Jijini Dar es Salaam ambapo Wanachama wa Chama cha Demokrasia ...jpeg
    Hali ilivyo maeneo ya Buguruni Jijini Dar es Salaam ambapo Wanachama wa Chama cha Demokrasia ...jpeg
    133.4 KB · Views: 2
Wakuu kwema?

Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa mwaka 2023.

Mpaka sasa ruti ya maandano hayo imetolewa huku watu mbalimbali wakijitokeza kuunga na kupinga maandamano hayo, lakini pia na serikali ilitangaza kufanya usafi tarehe 23 na 24/1/2024 ikigusa siku moja iliyopangwa kufanywa maandamano, CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Ili tusikose matuo yanayojiri mpaka siku ya maandamano hayo kufanyika, ni vizuri tukawa na uzi utakaokuwa na updates zote, Hivyo wakuu tutumie uzi huu kupeana updates ya matukio yanayojiri na kufatilia mwendo wake mpaka siku yaliyopangwa kufanyika.

===

Pia soma:

-
CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

- Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano

- CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

- Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN
Sina uhakika kama huu Uzi utamaliza masaa 48 hapa
 
Wakuu kwema?

Matukio mengi yanatokea kuelekea maandamano yaliyotangazwa tarehe 13 Januari 2024, maandamano yaliyopangwa kufanyika siku ya Jumatano tarehe 24/1/2024 yakilenga kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa bungeni mwishoni mwa mwaka 2023.

Mpaka sasa ruti ya maandano hayo imetolewa huku watu mbalimbali wakijitokeza kuunga na kupinga maandamano hayo, lakini pia na serikali ilitangaza kufanya usafi tarehe 23 na 24/1/2024 ikigusa siku moja iliyopangwa kufanywa maandamano, CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Ili tusikose matuo yanayojiri mpaka siku ya maandamano hayo kufanyika, ni vizuri tukawa na uzi utakaokuwa na updates zote, Hivyo wakuu tutumie uzi huu kupeana updates ya matukio yanayojiri na kufatilia mwendo wake mpaka siku yaliyopangwa kufanyika.

===

Pia soma:

-
CHADEMA yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni

- Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano

- CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

- Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN
CHADEMA nao wakajibu mapigo kuwa wataungana na serikali kwenye usafi huo, na matukio mengine kadha wa kadha yakiendelea kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom