Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki. Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda. Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota? Watalaam...
15 Reactions
39 Replies
3K Views
Nawapongeza Zanzibar kwa kuwa na msimamo, huwezi kupiga kura ya kumchagua rais wa Zanzibar ikiwa wewe si mzanzibari. Cha ajabu serikali ya Tanganyika inaingiliwa na Zanzibar, yaani raia wa nchi...
18 Reactions
135 Replies
6K Views
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake. Katika mapambano...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
TANESCO wanahitaji kutusikia tunavyowafanyia rating ya huduma zao. Toa neno moja linaweza kuwaondoa pale walipokutana. Mimi neno langu nikuwaomba wafanyakazi wa TANESCO waache kusema WANASIASA...
2 Reactions
14 Replies
761 Views
Polisi hawajawahi kuchunguza ni nani alimshambulia Tundu Lissu tarehe 7/ 09/ 2017 pale Dodoma. Wanatoa kisingizio cha kipumbavu kuwa mpaka wampate Dereva wa Lissu ambaye yuko Ubelgiji. Kwa namna...
29 Reactions
121 Replies
9K Views
Ndugu zangu Watanzania, Bunge letu tukufu chini ya Dada wa Taifa ,Nguli wa sheria ,mwanamke jasiri na msomi wa sheria kuwahi tokea kutoka nyanda za juu kusini na Rais Wa umoja wa Mabunge Duniani...
4 Reactions
144 Replies
7K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,nuru ya wanyonge,nyota ya matumaini,simba wa nyika, komandoo wa vita, mama...
17 Reactions
149 Replies
9K Views
Kila kiongozi anayeingia ofisini kwenye chama jambo la kwanza ni kupendekeza kutengua na kuteua. Tayari wawili hawa wamewasilisha majina ya watu wanaotamani wapewe nafasi waonje keki ya Taifa...
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Makamu mwenyekiti wa CCM Tanzania bara ndugu Abdulrahaman Kinana amekemea baadhi ya viongozi wa CCM wanaowadhalilisha viongozi na watendaji wa serikali hadharani. Kinana amesema badala yake...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa sasa NMB ni benki inayofanya vizuri zaidi ikishindina na CRDB na kuziacha benki nyingine kwa mbali sana. Hii yote imewezekana kwa sababu ya uwekezaji uliotokana na kubinafsishwa kwa sehemu ya...
1 Reactions
4 Replies
557 Views
MBUNGE MARTHA, NAJMA NA TWEVE WAIBANA SERIKALI BUNGENI KUTOA ELIMU KWA WATANZANIA WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA "Tuna zaidi ya Watanzania asilimia 16 hawajui kusoma na kuandika. Ni upi mkakati wa...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amempongeza Rais wa awamu ya 6 Samia Kwa kutoa pesa nyingi kwenye miradi mbalimbali hasa Tamisemi. Amesema hayo wakati akikagua ujenzi wa Shule Mpya ya...
4 Reactions
60 Replies
3K Views
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mnamo tarehe 12 hadi 14 Januari 1964, na yalikuwa harakati za kisiasa zilizosababisha kubadilika kwa utawala na kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Nchi nzima ipo gizani sukari kilo 5,400 mtu anakuja kukuomba kura kwa tiketi ya CCM hakuna haja ya kumuuliza swali maana akija akikuta umeme sukari hataikuta, akikuta sukari umeme hataukuta. CCM...
1 Reactions
9 Replies
590 Views
Siasa na Uchumi vinaenda sawia na Siasa Safi ndio hupelekea Uchumi bora Kinara wa Siasa za Tanzania kwa sasa ni kijana mdogo kabisa mwenye maono ya Kisayansi Komredi Makonda Tuzidi kumuombea...
0 Reactions
9 Replies
638 Views
Ukweli ni kwamba kuendesha nchi kwa mchango wa uchumi wa tujiviwanda hakuna umuhimu sana wa umeme kuwa wa uhakika. Ila kama unataka sekta ya viwanda iwe na mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi...
2 Reactions
4 Replies
451 Views
Hii nchi miaka mingi wizara ya Nishati imekuwa ikihujumiwa pale anapoteuliwa Waziri mwenye malengo ya madaraka ya juu zaidi ya uwaziri. January hakupenda kuondolewa kwenye nafasi ile kwa sababu...
1 Reactions
2 Replies
523 Views
Kuna kitu nashindwa elewa, umeme unakatika kila baada ya masaa mawili, full mgao! TANESCO wakatuambia kuna mgao kwa sababu ya mabwawa kuisha maji, sasa hivi kila sehemu mvua zinanyesha bado tu...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Hii gari ni ya serikali! Ni la idara Gani au wizara Gani?
1 Reactions
7 Replies
540 Views
Nafahamu kwamba ACT wazalendo imeungana na CCM kupitia serikali ya mapinduzi Zanzibar hivyo huwezi kukiita ni Chama Cha Upinzani tena Swali langu ni kwamba; Ukiondoa Chadema walioandamana Juzi...
1 Reactions
17 Replies
928 Views
Back
Top Bottom