Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
TANESCO wanahitaji kutusikia tunavyowafanyia rating ya huduma zao. Toa neno moja linaweza kuwaondoa pale walipokutana.
Mimi neno langu nikuwaomba wafanyakazi wa TANESCO waache kusema WANASIASA WANATUMIA SHIRIKA HILO KIBIASHARA...Niwaombe watoe huduma kwa uzalendo kwani wanaoumia siyo mawaziri na viongozi bali watanzania. Mawaziri wote na viongozi wakubwa wamefungiwa standby generator so kwao wao kuona mgawo hadi watoke nje wachungulie majirani. Japo pia majirani ni wao wenyewe.
Tukumbuke pia viongozi wote wakubwa nchini mwisho wakitembea nje ya makazi maalum ni saa 12 jioni. So yawezekana kabisa Tunao mawaziri na viongozi wengine wana miaka bila kuona giza
Mimi neno langu nikuwaomba wafanyakazi wa TANESCO waache kusema WANASIASA WANATUMIA SHIRIKA HILO KIBIASHARA...Niwaombe watoe huduma kwa uzalendo kwani wanaoumia siyo mawaziri na viongozi bali watanzania. Mawaziri wote na viongozi wakubwa wamefungiwa standby generator so kwao wao kuona mgawo hadi watoke nje wachungulie majirani. Japo pia majirani ni wao wenyewe.
Tukumbuke pia viongozi wote wakubwa nchini mwisho wakitembea nje ya makazi maalum ni saa 12 jioni. So yawezekana kabisa Tunao mawaziri na viongozi wengine wana miaka bila kuona giza