Awamu ya sita ni mti unao nyauka kila kukicha

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatugharimu.
 
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatughari
Hakuna kiongozi hapa ni bomu Tena la kienyeji .
 
Matatizo ya Tanzania yamesababishwa naa ccm. Kamwe ccm haiwezi kuja na solutions. Nawashangaa wale wanaoenda kusikiliza zile ngonjera za Bashite. Yaani watu wanapangwa kutoa ushuhuda kama wafanyavyo wale wa mwamposa
Kama tumelogwa
Wewe umekuja na makasiriko yako! Hoja hapa siyo hiyo wewe mama Bashe
 
Wewe umekuja na makasiriko yako! Hoja hapa siyo hiyo wewe mama Bashe
Shida kubwa ni ujinga wa kihalaiki tu wala hakuna kingine. Ukiwa mjinga wa kihalaiki mara zote unafikiri watu wote hufikiria sawa. Katibu wa itikadi na uwenezi ana uwezo upi wa kumuamrisha mtumishi wa umma?.ndo mana alipofika kwa bashe alipigwa ngwala
 
Shida kubwa ni ujinga wa kihalaiki tu wala hakuna kingine. Ukiwa mjinga wa kihalaiki mara zote unafikiri watu wote hufikiria sawa. Katibu wa itikadi na uwenezi ana uwezo upi wa kumuamrisha mtumishi wa umma?.ndo mana alipofika kwa bashe alipigwa ngwala
Hakuna unalojua wewe mkimbizi. Bashe anatembelea magoti Sasa hivi!!

Halafu wabongo mbona tuna akili za kujipendekeza kwa wageni? Yaani kabisa wewe mkulima wa Kisarawe unakuja kumtetea Msomali!!? Huo ni upuuzi uliopitiliza
 
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatugharimu.
NLISEMA SANA HAPA KUWA SAMIA ANANYOTA YA MAVII TENA HIYO NYOTA KAITENGENEZA YEYE MWENYEWE WALA SIYO BAHATI MBAYA KUWA NAYO
 
Hakuna unalojua wewe mkimbizi. Bashe anatembelea magoti Sasa hivi!!

Halafu wabongo mbona tuna akili za kujipendekeza kwa wageni? Yaani kabisa wewe mkulima wa Kisarawe unakuja kumtetea Msomali!!? Huo ni upuuzi uliopitiliza
Wageni ndio wenye akili🐼
 
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatugharimu.
Pendekezo lako ni nini? Kwanza kuhusu Rais aliyeko madarakani mwenye nia ya kuendelea 2025-2030; azuiweje?

Pili huyo mwenye skills; “aajiriwe” kwa njia gani? Malizia bandiko.
 
Matatizo ya Tanzania yamesababishwa naa ccm. Kamwe ccm haiwezi kuja na solutions. Nawashangaa wale wanaoenda kusikiliza zile ngonjera za Bashite. Yaani watu wanapangwa kutoa ushuhuda kama wafanyavyo wale wa mwamposa
Kama tumelogwa
Ccm ndio chanjo cha umaskini wetu, wanatembea wanagawa vijicent kama njugu kuunga mkono umaskini wetu
 
Matatizo ya Tanzania yamesababishwa naa ccm. Kamwe ccm haiwezi kuja na solutions. Nawashangaa wale wanaoenda kusikiliza zile ngonjera za Bashite. Yaani watu wanapangwa kutoa ushuhuda kama wafanyavyo wale wa mwamposa
Kama tumelogwa
Mbona Magufuli alikuwa ni CCM na mabadiliko tuliyashuhudia?
Hapa suala sio chama bali ni "Political Cartel's " waliojichimbia nchini.wako ndani ya CCM pamoja na vyama vinginevyo vya upinzani nchini.
Uthibitisho ni kauli ya Godbless Lema wa Chadema kwamba alipigiwa simu na Jakaya Kikwete wa CCM kumtaarifu kifo cha CCM. Kisha akamtaka ajiandae kurudi nchini.
Wenye akili watanielewa.
 
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatugharimu.
Mkuu Mimi naona kumfananisha Dr Raisi mama yetu Samia na Magofuli unakosea.Sawa Magufuli alitenda yake mazuri lakini Mama naona is The best.Kwanza ni Mwanamke Jasiri sana sijawahi ona, Magufuli aliogopa Wapinzani mpaka kikarataza maandamano na mikutano ya Wapinzani, lakini Mama ameruhusu Wapinzani waandamane bila tatizo lolote,pia kumbuka Mama anatafuta pesa ya kuendesha miradi mikubwa ya Nchi bila kuathiri biashara za watu.Hofu za wanasiasa wa upinzani kutoa maoni yao au kuikosoa serikali zimeisha, kwani hata wakifanya hivyo hawadhuriki. Lakini pia Wengi waliodhulumiwa pesa zao kimakosa kipindi kile Mama kawarudishia.Hila swala la umeme lisionekane sana kumharibia Mama yetu mpaka kusahau mazuri aliyofanya.Kumbuka pia kipindi hiki cha mvua kimeharibu miundo mbinu mingi ya Tanesco, kama vile Nguzo kuanguka, hivyo basi swala la mgao wa umeme limeathiriwa na vitu vingi. Mimi niseme tusimjaji kwa sababu ya uwanawake wake bali tumjaji kwa utendaji wake uliotukuka.
 
Awamu ya sita ilianza mwaka 2021 baada ya Rais magufuli kufariki.

Ilianza kwa mbwembwe na huku mambo yakionekana yanaenda.

Kwanini kadri siku zinavyo kwenda , mambo yanazidi kuzorota?

Watalaam wanasema, hii inatokana na kwamba, miaka ya mwanzo ya awamu ya sita walitembelea nguvu ya Magufuli, baada ya miaka miwili hivi nguvu ya magufuli imepungua sasa na sasa ndio tunaonja awamu ya sita ambayo mambo mengi yanazorota sana.

Mfano, umeme kukatika katika haijawahi kutokea kwa kiwango hiki toka tupate uhuru ambapo hatuna umeme wakati wa mvua, na cha ajabu hakuna mwenye jawabu kila mtu anaongea tuu.

Inaonekana kuna ombwe la kiuongozi na kunahitajika adjustment ya haraka kupata kiongozi/ viongozi wa nchi watakao tutoa kwenye hali hii.

Nchi imekosa mwelekeo, kila mtu anafanya anavyo taka, kila mtu analalamika hadi mkuu wa nchi, taasisi za serikali na mihimili haina msaada, huduma za jamii zimezorota kiasi kwamba hata akitokea kichaa akasema anatatua migogoro ya ndoa watu wanamkimbilia .

Tuna miaka miwili mbele na awamu ya sita, nini kifanyike, hatuwezi kuendelea kukaa gizani kila siku kwa sababu tuu kuna viongozi wanajilazimisha kuwa viongozi?

Tunwajiri fundi kwa kigezo cha skills alizo nazo, vigezo vingine vitatugharimu.
Aaagh! TANESCO!?

Ame kweli mmeamua kututenda.
IMG_20240203_175455.jpg
 
Back
Top Bottom