Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Kuna kitu nashindwa elewa, umeme unakatika kila baada ya masaa mawili, full mgao!
TANESCO wakatuambia kuna mgao kwa sababu ya mabwawa kuisha maji, sasa hivi kila sehemu mvua zinanyesha bado tu kuna mgao tena mkali!
Sasa nashindwa elewa je swala la umeme limemshinda rais kama ilivyomshinda bandari?
NB: Naandika hii post nikiwa gizani na simu inakaribia kuisha chaji! Inauma sana!
TANESCO wakatuambia kuna mgao kwa sababu ya mabwawa kuisha maji, sasa hivi kila sehemu mvua zinanyesha bado tu kuna mgao tena mkali!
Sasa nashindwa elewa je swala la umeme limemshinda rais kama ilivyomshinda bandari?
NB: Naandika hii post nikiwa gizani na simu inakaribia kuisha chaji! Inauma sana!