johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,020
- 142,059
Siasa na Uchumi vinaenda sawia na Siasa Safi ndio hupelekea Uchumi bora
Kinara wa Siasa za Tanzania kwa sasa ni kijana mdogo kabisa mwenye maono ya Kisayansi Komredi Makonda
Tuzidi kumuombea huyu aka Magu mdogo
Baadae mlale Unono 😄😄
Kinara wa Siasa za Tanzania kwa sasa ni kijana mdogo kabisa mwenye maono ya Kisayansi Komredi Makonda
Tuzidi kumuombea huyu aka Magu mdogo
Baadae mlale Unono 😄😄