johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,969
- 141,982
Nafahamu kwamba ACT wazalendo imeungana na CCM kupitia serikali ya mapinduzi Zanzibar hivyo huwezi kukiita ni Chama Cha Upinzani tena
Swali langu ni kwamba; Ukiondoa Chadema walioandamana Juzi kuna Chama kingine cha Upinzani chenye Uhai?
Sabato njema 😄
Swali langu ni kwamba; Ukiondoa Chadema walioandamana Juzi kuna Chama kingine cha Upinzani chenye Uhai?
Sabato njema 😄