Viongozi wa dini wana nafasi ya muhimu kusaidia harakati za kuidai Tanganyika

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,694
6,396
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake.

Katika mapambano ya awali, viongozi wa dini walishiriki japo si kwa uwazi sana.

Historia inaonesha kuwa viongozi wa dini kutoka dini ya Kiislamu na Catholic walishiriki pakubwa katika kuwahamasisha watu wao umuhimu wa kujitawala. Madhalani, mapadri wa Catholic walizitumia Biblia kuwafundisha waumini wao ubaya wa kutawaliwa na faida za kujitawala.

Kuna masimulizi kuwa Mmisionari wa Kikatoliki alikuwa akikutana kwa siri na viongozi wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ya Kikristo na kushauriana jinsi ya kuwaandaa watu wao kwa ajili ya kudai uhuru.

Kwa jinsi ambavyo Tanganyika imeendelea kufichwa kwenye koti la Tanzania, ni dhahiri kuwa kutahitajika Elimu kwa Watanganyika ili waone umuhimu na faida ya kudai kurejeshewa nchi yao. Naamini viongozi wa dini wanajua athari za jina la nchi moja kumezwa na jina la nchi nyingine.

Nitoe wito kwa viongozi wetu wa dini kufuata nyayo za Desmond Tutu aliyesimama kidete pamoja na wananchi wa Afrika Kusini kupaza sauti hadi ubaguzi wa rangi ukafutiliwa mbali.

Askofu Zakaria Kakobe alishajaribu, lakini hapaswi kuishia hapo. Aendelee kuelimisha hadi somo lieleweke.

Tafadhalini sana viongozi wa dini. Waelimishemi kwa upendo waumini wenu cha kufanya ili nchi yao ya Tanganyika iweze kurejeshwa.
 
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake.

Katika mapambano ya awali, viongozi wa dini walishiriki japo si kwa uwazi sana.

Historia inaonesha kuwa viongozi wa dini kutoka dini ya Kiislamu na Catholic walishiriki pakubwa katika kuwahamasisha watu wao umuhimu wa kujitawala. Madhalani, mapadri wa Catholic walizitumia Biblia kuwafundisha waumini wao ubaya wa kutawaliwa na faida za kujitawala.

Kuna masimulizi kuwa Mmisionari wa Kikatoliki alikuwa akikutana kwa siri na viongozi wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ya Kikristo na kushauriana jinsi ya kuwaandaa watu wao kwa ajili ya kudai uhuru.

Kwa jinsi ambavyo Tanganyika imeendelea kufichwa kwenye koti la Tanzania, ni dhahiri kuwa kutahitajika Elimu kwa Watanganyika ili waone umuhimu na faida ya kudai kurejeshewa nchi yao. Naamini viongozi wa dini wanajua athari za jina la nchi moja kumezwa na jina la nchi nyingine.

Nitoe wito kwa viongozi wetu wa dini kufuata nyayo za Desmond Tutu aliyesimama kidete pamoja na wananchi wa Afrika Kusini kupaza sauti hadi ubaguzi wa rangi ukafutiliwa mbali.

Askofu Zakaria Kakobe alishajaribu, lakini hapaswi kuishia hapo. Aendelee kuelimisha hadi somo lieleweke.

Tafadhalini sana viongozi wa dini. Waelimishemi kwa upendo waumini wenu cha kufanya ili nchi yao ya Tanganyika iweze kurejeshwa.
View attachment 2891573
Mliozaliwa na mnaoijua Tanganyika mko wachache mno na hamna ushawishi wa hoja za maana kuwin mindset za waliozaliwa Tanzania ambao ni wengi zaidi...

so,
ni kupoteza muda tu na nguvu bure Kabisa 🐒
 
Mliozaliwa na mnaoijua Tanganyika mko wachache mno na hamna ushawishi wa hoja za maana kuwin mindset za waliozaliwa Tanzania ambao ni wengi zaidi...

so,
ni kupoteza muda tu na nguvu bure Kabisa 🐒
Nikupe tu taarifa mkuu kuwa iko siku utaamka na kukuta bendera ya Tanganyika inapepea na huku wimbo wa Taifa la Tanganyika ukiimbwa.
 
Nikupe tu taarifa mkuu kuwa iko siku utaamka na kukuta bendera ya Tanganyika inapepea na huku wimbo wa Taifa la Tanganyika ukiimbwa.
labda kwenye ndoto ya kwenye kidala 🤣

mindset ya Tanganyikan yaiwezi fua dafu mbele ya mindset ya Tanzanians🤣

kwamba unamueleza nini na akufuate kama sio malalamiko, mihemko na ghadabu🤣

au unamueleza historia 🤣
ili isaidie nini sasa 🤣
 
Mliozaliwa na mnaoijua Tanganyika mko wachache mno na hamna ushawishi wa hoja za maana kuwin mindset za waliozaliwa Tanzania ambao ni wengi zaidi...
Ndio mleta mada anashauri mfundishwe, hizo mindset za kipumbavu mnaweza kuzifuta mkielimika.

If you don't know your history, you don't know where you are; and you most probably won't know where to go from where you are.
 
Kama ambavyo wapigania uhuru wa awali waliiwezesha Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya amani, hata sasa njia za kidiplomasia zinaweza kusaidia Tanganyika kurejeshewa uhuru wake.

Katika mapambano ya awali, viongozi wa dini walishiriki japo si kwa uwazi sana.

Historia inaonesha kuwa viongozi wa dini kutoka dini ya Kiislamu na Catholic walishiriki pakubwa katika kuwahamasisha watu wao umuhimu wa kujitawala. Madhalani, mapadri wa Catholic walizitumia Biblia kuwafundisha waumini wao ubaya wa kutawaliwa na faida za kujitawala.

Kuna masimulizi kuwa Mmisionari wa Kikatoliki alikuwa akikutana kwa siri na viongozi wa dini ya Kiislamu na madhehebu mengine ya Kikristo na kushauriana jinsi ya kuwaandaa watu wao kwa ajili ya kudai uhuru.

Kwa jinsi ambavyo Tanganyika imeendelea kufichwa kwenye koti la Tanzania, ni dhahiri kuwa kutahitajika Elimu kwa Watanganyika ili waone umuhimu na faida ya kudai kurejeshewa nchi yao. Naamini viongozi wa dini wanajua athari za jina la nchi moja kumezwa na jina la nchi nyingine.

Nitoe wito kwa viongozi wetu wa dini kufuata nyayo za Desmond Tutu aliyesimama kidete pamoja na wananchi wa Afrika Kusini kupaza sauti hadi ubaguzi wa rangi ukafutiliwa mbali.

Askofu Zakaria Kakobe alishajaribu, lakini hapaswi kuishia hapo. Aendelee kuelimisha hadi somo lieleweke.

Tafadhalini sana viongozi wa dini. Waelimishemi kwa upendo waumini wenu cha kufanya ili nchi yao ya Tanganyika iweze kurejeshwa.
View attachment 2891573
Ni swala la muda tu, Tanganyika itarejea siku moja.
 
Ndio mleta mada anashauri mfundishwe, hizo mindset za kipumbavu mnaweza kuzifuta mkielimika.

If you don't know your history, you don't know where you are; and you most probably won't know where to go from where you are.
✅🙏🙏😀
 
Ndio mleta mada anashauri mfundishwe, hizo mindset za kipumbavu mnaweza kuzifuta mkielimika.

If you don't know your history, you don't know where you are; and you most probably won't know where to go from where you are.
mie na wengineo mamilioni tulozaliwa Tanzania we know each and every thing about our beautiful land Tanzania..
Hiyo ingine mnajua nyie find your way...🐒
We will fight and defend it with all our hearts and energy against puppets and terrorist who will try to shake us or endangers the peace and stability of our very beautiful country Tanzania...🐒
 
Maneno huumba!

Matokeo yanaweza yasitokee leo, lakini hayataacha kutimia.

Ibariki Tanganyika kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Ibariki nchi ya Tanganyika na watu wake.

Na abarikiwe kila aibarikiye nchi nzuri ya Tanganyika, na kila mwenye hila juu ya Tanganyika, hila hizo zimrudie yeye na kizazi chake.

AMINA!
 
Back
Top Bottom